Pre GE2025 DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Pre GE2025 DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Siamini kama haya maneno yanatoka kinywani mwa kiongozi mkubwa.

Naomba tumsikilize kwa makini anavyo wadharau wapiga kura na anavyo jimwambafai kushiriki kwenye uchaguzi wa 2020.

Kama viongozi wetu wapo hivi sioni kama uadilifu unaoimbwa na wenzake utakuja kutimia.

Asante sana CCM, idumu.

"Na mimi naomba niwahakikishie, mimi niko very tough, kama kuna mtu ambaye siyo mwoga ni mimi! Wote hapa madiwani mwaka 2020 hayuko diwani aliyepiga kampeni hapa nyumba kwa nyumba, hakuna!

"Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 siyo kwamba yalikuja yenyewe automatically kwasababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana, ni mazingira ambayo yalikuwa, yametengenezwa na serikali ndio iliyofanya kazi ile ya wewe kupita bila kupingwa.

"Na kuna watu mnafahamu kilichotokea kwenye mapori huko na sehemu zingine na mimi nilihusika kwenye majimbo fulani fulani, sasa mazingira yale ni serikali ndiyo iliyofanya ile kazi, diwani huna ujanja wowote kwenye kata yako ya kwamba utashinda bila serikali, HAKUNA.

"Na usije ukajidanganya ndio maana sisi sasa hivi tumeshafanya kazi huko kubwa sana, ya kuchakata huko kwenye kata, vijiji, vitongoji vyote, taarifa zile zote tunazo, hali ya mambo jinsi ilivyo, tunaendaje.."



Pia soma:

dah? Allah atuhifadhi. Mimi nashangaa sana mtu kutumia mbinu chafu kuiba kura au lolote ili ashinde ili iwe nini?nani kaishi kaishi katika dunia hii milele? hata ukiiba kura au kudhulumu nini kitasaidia? Kama utafurahi ni muda mchache sana lkn majuta yaankuwa makunbwa mbele . kikubwa Ukifa utaenda kusema nini kwa muumba wako? Allah aniepushe na mambo kama haya, nisaysikie tu kupitia media lkn nisiyakiribie kabisa ktk maisha yangu - Aaamin
 
DC mstafu wa Longido, bwana Ng'umbi kasema tayari washakamilisha na kuchakata maandalizili ya chaguzi kuanzia vijiji hadi kwenye kata kwahyo matokea wanayo teyari.

Ushauri wangu kwakua watanzania wachache wapo busy na Yanga na Simba ,ila vyama vya siasa na wapenda demokrasia wapo chagueni yafuatayo.

(1) Kufanya maandamano yasiyo na kikomo mpaka tume huru ipatikane au sheria mpya ya tume huru itumike

(II) Kupinga TAMISEM kutosimamia uchaguzi tena kwa njia ya maandamano na siyo kwenda mahakamani, kwakua mahakama zimeshapewa maelekezo sababu ata kesi mliyofungua haitakuwa na maana.

(III) Kutoshiriki uchaguzi kabisa
NB: Maandamano yawe ya amani ambapo vyama vyote vishiriki na wanaharakati siyo kuishia kutoa matamko ambayo hayana faida na hayajawahi kusikirizwa, pazeni sauti zaidi
 
Kwa wananchi. Inaonyesha hawaogopi wananchi na wako tayari kusema wanaiba kwa sababu wanajua sisi wananchi ni matutusa. Haiwezi kuwa dharau kwa serikali kwa sababu wao siku zote ni wezi na wako pale kula na kustarehe.
Siyo kweli serikali ipo kwaajili ya kula na kustarehe.
 
Siamini kama haya maneno yanatoka kinywani mwa kiongozi mkubwa.

Naomba tumsikilize kwa makini anavyo wadharau wapiga kura na anavyo jimwambafai kushiriki kwenye uchaguzi wa 2020.

Kama viongozi wetu wapo hivi sioni kama uadilifu unaoimbwa na wenzake utakuja kutimia.

Asante sana CCM, idumu.

"Na mimi naomba niwahakikishie, mimi niko very tough, kama kuna mtu ambaye siyo mwoga ni mimi! Wote hapa madiwani mwaka 2020 hayuko diwani aliyepiga kampeni hapa nyumba kwa nyumba, hakuna!

"Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 siyo kwamba yalikuja yenyewe automatically kwasababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana, ni mazingira ambayo yalikuwa, yametengenezwa na serikali ndio iliyofanya kazi ile ya wewe kupita bila kupingwa.

"Na kuna watu mnafahamu kilichotokea kwenye mapori huko na sehemu zingine na mimi nilihusika kwenye majimbo fulani fulani, sasa mazingira yale ni serikali ndiyo iliyofanya ile kazi, diwani huna ujanja wowote kwenye kata yako ya kwamba utashinda bila serikali, HAKUNA.

"Na usije ukajidanganya ndio maana sisi sasa hivi tumeshafanya kazi huko kubwa sana, ya kuchakata huko kwenye kata, vijiji, vitongoji vyote, taarifa zile zote tunazo, hali ya mambo jinsi ilivyo, tunaendaje.."



Pia soma:

Mungu fundi nyie
Hakuna siri chini ya juu
Mwamba katoa siri za jandoni
 
Kikubwa ambacho WAPINZANI wanatakiwa wafahamu ni kwamba KATIBA MPYA BORA na TUME HURU YA UCHAGUZI havitopatikana kwa URAHISI..ni lazima wawe na MIKAKATI mizito na waweke pembeni MASLAHI ya muda mfupi...Gharama zake ni KUBWA ila INAWEZEKANA!
 
Siamini kama haya maneno yanatoka kinywani mwa kiongozi mkubwa.

Naomba tumsikilize kwa makini anavyo wadharau wapiga kura na anavyo jimwambafai kushiriki kwenye uchaguzi wa 2020.

Kama viongozi wetu wapo hivi sioni kama uadilifu unaoimbwa na wenzake utakuja kutimia.

Asante sana CCM, idumu.

"Na mimi naomba niwahakikishie, mimi niko very tough, kama kuna mtu ambaye siyo mwoga ni mimi! Wote hapa madiwani mwaka 2020 hayuko diwani aliyepiga kampeni hapa nyumba kwa nyumba, hakuna!

"Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 siyo kwamba yalikuja yenyewe automatically kwasababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana, ni mazingira ambayo yalikuwa, yametengenezwa na serikali ndio iliyofanya kazi ile ya wewe kupita bila kupingwa.

"Na kuna watu mnafahamu kilichotokea kwenye mapori huko na sehemu zingine na mimi nilihusika kwenye majimbo fulani fulani, sasa mazingira yale ni serikali ndiyo iliyofanya ile kazi, diwani huna ujanja wowote kwenye kata yako ya kwamba utashinda bila serikali, HAKUNA.

"Na usije ukajidanganya ndio maana sisi sasa hivi tumeshafanya kazi huko kubwa sana, ya kuchakata huko kwenye kata, vijiji, vitongoji vyote, taarifa zile zote tunazo, hali ya mambo jinsi ilivyo, tunaendaje.."



Pia soma:

Swali langu ni Moja tu
Je aliongea uongo?
 
Bila DC, DED na DSO sidhani kama Kuna Diwani wa ccm anaweza kushinda. Hata DC kasema ukweli kama ulivyo.
At least kipindi Cha JK kulikua narudia at least kulikua na TRUE & FAIR ELECTION ndio maana hata wapinzani walipata nafasi
 
Siamini kama haya maneno yanatoka kinywani mwa kiongozi mkubwa.

Naomba tumsikilize kwa makini anavyo wadharau wapiga kura na anavyo jimwambafai kushiriki kwenye uchaguzi wa 2020.

Kama viongozi wetu wapo hivi sioni kama uadilifu unaoimbwa na wenzake utakuja kutimia.

Asante sana CCM, idumu.

"Na mimi naomba niwahakikishie, mimi niko very tough, kama kuna mtu ambaye siyo mwoga ni mimi! Wote hapa madiwani mwaka 2020 hayuko diwani aliyepiga kampeni hapa nyumba kwa nyumba, hakuna!

"Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 siyo kwamba yalikuja yenyewe automatically kwasababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana, ni mazingira ambayo yalikuwa, yametengenezwa na serikali ndio iliyofanya kazi ile ya wewe kupita bila kupingwa.

"Na kuna watu mnafahamu kilichotokea kwenye mapori huko na sehemu zingine na mimi nilihusika kwenye majimbo fulani fulani, sasa mazingira yale ni serikali ndiyo iliyofanya ile kazi, diwani huna ujanja wowote kwenye kata yako ya kwamba utashinda bila serikali, HAKUNA.

"Na usije ukajidanganya ndio maana sisi sasa hivi tumeshafanya kazi huko kubwa sana, ya kuchakata huko kwenye kata, vijiji, vitongoji vyote, taarifa zile zote tunazo, hali ya mambo jinsi ilivyo, tunaendaje.."



Pia soma:

WhatsApp Image 2024-09-01 at 20.40.42.jpeg

Amesema ukweli lakini Rais amemuonea kumtoa angelimuonya asiseme Siri za Serikali yake kuchakachukuwa kura za Wananchi. Kama Kuna usimamiz wa Kura kutoka nje CCM haiwezi kushinda hata katika Uchaguzi wa Madiwani siuze Uchaguzi Mkuu wa Rais. CCM Wanaiba kura za Wananchi na kuamuwa kumchaguwa Wanaye mtaka awe Kiongozi wao lakini sio Uchaguzi wa Wananchi wenyewe.




 
View attachment 3084716
Amesema ukweli lakini Rais amemuonea kumtoa angelimuonya asiseme Siri za Serikali yake kuchakachukuwa kura za Wananchi. Kama Kuna usimamiz wa Kura kutoka nje CCM haiwezi kushinda hata katika Uchaguzi wa Madiwani siuze Uchaguzi Mkuu wa Rais. CCM Wanaiba kura za Wananchi na kuamuwa kumchaguwa Wanaye mtaka awe Kiongozi wao lakini sio Uchaguzi wa Wananchi wenyewe.




View attachment 3084718
Hilo sio kosa la kumuonya, huyu ni jela kufukuza haitoshi, Kaua maporini inawezekana
 
Siamini kama haya maneno yanatoka kinywani mwa kiongozi mkubwa.

Naomba tumsikilize kwa makini anavyo wadharau wapiga kura na anavyo jimwambafai kushiriki kwenye uchaguzi wa 2020.

Kama viongozi wetu wapo hivi sioni kama uadilifu unaoimbwa na wenzake utakuja kutimia.

Asante sana CCM, idumu.

"Na mimi naomba niwahakikishie, mimi niko very tough, kama kuna mtu ambaye siyo mwoga ni mimi! Wote hapa madiwani mwaka 2020 hayuko diwani aliyepiga kampeni hapa nyumba kwa nyumba, hakuna!

"Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 siyo kwamba yalikuja yenyewe automatically kwasababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana, ni mazingira ambayo yalikuwa, yametengenezwa na serikali ndio iliyofanya kazi ile ya wewe kupita bila kupingwa.

"Na kuna watu mnafahamu kilichotokea kwenye mapori huko na sehemu zingine na mimi nilihusika kwenye majimbo fulani fulani, sasa mazingira yale ni serikali ndiyo iliyofanya ile kazi, diwani huna ujanja wowote kwenye kata yako ya kwamba utashinda bila serikali, HAKUNA.

"Na usije ukajidanganya ndio maana sisi sasa hivi tumeshafanya kazi huko kubwa sana, ya kuchakata huko kwenye kata, vijiji, vitongoji vyote, taarifa zile zote tunazo, hali ya mambo jinsi ilivyo, tunaendaje.."



Pia soma:

Hivi vijana wa siku hizi tunafanya nini kuiacha CCM madarakani!
 
Kwa nini ametenguliwa!? Kama ni kwa sababu ya kauli yake juu ya uchaguzi 2020, hapo ni wazi ameonewa, kwani aliyazungumza hayo kwenye vikao vya ndani vya makada wenziwe wa ccm. Na alikuwa anaongea ukweli. Kesho ikivuja taarifa ya kada mwingine ndani ya mikutano yao ya ndani itafanyiwa Kazi!?
 
DC mstafu wa Longido, bwana NG,umbi kasema teyari washakamilisha na kuchakata maandalizili ya chaguzi kuanzia vijiji hadi kwenye kata kwahyo matokea wanayo teyari.
Ushauri wangu kwakua watanzania wachache wapo busy na Yanga na Simba ,ila vyama vya siasa na wapenda demokrasia wapo chagueni yafuatayo.
(1)Kufanya maandamano yasiyo na kikomo mpaka tume huru ipatikane au sheria mpya ya tume huru itumike
(II)Kupinga TAMISEM kutosimamia uchaguzi tena kwa njia ya maandamano na siyo kwenda mahakamani, kwakua mahakama zimeshapewa maelekezo sababu ata kesi mliyofungua haitakuwa na maana.
(III)Kutoshiriki uchaguzi kabisa
NB: Maandamano yawe ya amani ambapo vyama vyote vishiriki na wanaharakati siyo kuishia kutoa matamko ambayo hayana faida na hayajawahi kusikirizwa, pazeni sauti zaidi






WhatsApp Image 2024-09-01 at 20.40.42.jpeg
 
DC amesema kile ambacho huwa wanafanya na ambacho wamejiandaa kufanya. Na ukisikiliza kwa makini wote waliopo hapo ni Madiwani wa CCM hivyo alijua ni kama kikao cha ndani tu. Kuna MCCM hapo kachoma utambi.
Jamaa kaonewa pakubwa. Je, kesho ikivuja taarifa nyingine ya kiongozi mkubwa wa ccm, au hata yake yeye Samia, atachukua hatua!? Hapa ni unafiki umefanyika, ila jamaa hana kosa.
 
Back
Top Bottom