Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
- Thread starter
- #281
Hata kama mmetengua uteuzi wake lakini Marco Ng’umbi kasema ukweli mchungu.
Kauthibitishia Umma mambo matatu-;
1. Kathibitisha kuwa Maccm hatakubaliki,
2. Kathibitisha kuwa maccm huwa yanaiba Kura,
3. Kathibitisha kuwa Serikali huwa inateka watu na kuwatupa kwenye mapori.
View: https://x.com/nulphin/status/1830306886001770912?t=NGqfrJJv7P81empQfZHQ5Q&s=19
Huyo mi mwana ukoo wa mfalme unaanzaje kumgusa?