Pre GE2025 DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inasikitishaa Sanaa,ninachojua Kila kitu kinamwanzo na mwishoo. Sina chama nimuumini wa maendeleo kwenye nchi hiki alicholopoka hakina tija kwenye nchii. Ningefurahi Sanaa kushudia nchi inaongozwa na upizani siku Moja nikiwa Hai. #Yanamwisho.
 
Tukisema hapa JF tunafungiwa na melo,mods wake kazi yao ni kukaza shingo tu. Ona sasa ccm wenyewe wanathibitisha kua ni majizi ya kura na kuteka watu uko mapolini. Kama mnanifungia nifungieni tu CCM ni majizi sugu.wakiongozwa na KIZIMKAZI.
 
Kurujuani inafanya kazi na bado
 
Imemtokea puani sasa arudi akalime nyanya kama Ally Hapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…