DC Ludigija: Kuna Meli inavujisha mafuta baharini, Watu wa Dar msinunue mafuta ya kwenye Madumu, yamechotwa Baharini

DC Ludigija: Kuna Meli inavujisha mafuta baharini, Watu wa Dar msinunue mafuta ya kwenye Madumu, yamechotwa Baharini

Siyo mafuta ni kinyesi cha ng'ombe tani bilion 25

IMG_0754.jpg
 
Kama si DC basi muwasilisha mada ndio ana shida sehemu!
Hebu fafanua ni madumu ya aina gani-Lita 1,3,5 au 20? Au madumu ya aina gani?
unatakiwaa ujiongeze wewe BINADAMU umeoewa uwezo mkubwa sana wa kung'amua mambo
zamani JAMII FORUMS
ukileta jambo ulikuwa huitajiki kutoa maelezo mengi 7bu watu wanakuwa washajua nini unamaanisha hukuhitajika kutumia nguvu nyingi kufafanua

sasa unashindwa kuelewa nini kinachomaanishwa

kwa lugha nyepesi usinunue mafuta ya mkononi inawezekana ikawa ndio hayo ya baharini yaliomwagika utaharibu injini ya gari yako
ukitaka mafuta nenda ununue kwenye kituo cha kuuzia mafuta (sheli)
 
Nunuwa mafuta kwenye filling station, usichoelewa hapo ni kitu gani?
Awali taarifa haikuwa inajitosheleza ndio maana nikaandika hivyo. Hapakuwa hata na maelezo wala video ila kwa sasa imesharekebishwa
 
Huyu DC Ni raia wa wapi
Lakini serikali imefikia wapi kuhusu wahusika wa sakata hilo la umwagaji mafuta

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wa wilaya ya Ilala Ngw'ilabuzu Ndatwa Ludigija ametahadharisha Wananchi wa Dar kwamba Wasinunue mafuta ya kwenye Madumu.

Kasema Pwani ya Dar kuna Meli inamwaga mafuta, fukwe zote zimejaa mafuta ambayo bado haijafahamika, hivyo watu wanachota na kwenda kuuza Mtaani. Mafuta haya yanaweza kuharibu Injini ya gari. Na wale wanaoishi jirani na Dar wawe makini. Mafuta haya yapo Mkuranga Bagamoyo na Tanga

Pia amepiga marufuku watu kutumia maji ya bahari hadi Uchunguzi utakapo kamilika. Haijajulikana mafuta yale yana mchanganyiko wa Vitu gani.


View attachment 2178278

The Horizon Deep
 
Huyu DC Ni raia wa wapi
Lakini serikali imefikia wapi kuhusu wahusika wa sakata hilo la umwagaji mafuta

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ni msukuma,na ndio kabila kubwa kabisa Tz na ndio zinaeafanya wanasiasa wa vyama vyote Tz kujipendekeza kanda ya ziwa hata Kama hawapapendi.
 
Hiii habari haihusiani na ya bomba la TAZAMA kufuka moshi???
 
Nashangaa hili tatizo wameshalitengeneza kwa kutuambia sababu ni vita ya Urusi na Ukraine, lakini naona bado wanaendelea kuliongezea sababu nyingine za hovyo ilimradi kuhalalisha uhaba wa mafuta.

Huyu Rais mtetezi wa wafanyabiashara aondoke tu, hana akili ya kuongoza hili taifa na hata wasaidizi na washauri wake pia nao hawana akili za kutuongoza, wote ni failure.
Inashangaza bado kuna watu kama wewe hawaamini kama mwendazake ameshakufa,
Mwacheni mama afanye kazi hizi kelele zenu hazibadilishi yaliotokea.
Nakusalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano........
 
Chini ya Mmakunduchi nchi inarudi kuwa shamba la bibi kwa kasi sana

Kipindi cha chuma cha pua hawakuthubutu kuchafua mito, bahari, nakadhalika; kwa ku-dump kemikali/&mafuta
Jiwe alikuwa kiongozi kweli wanaopinga ni hao vilambimkwidu
 
So wanaiacha meli iendelee kuvujisha mafuta baharini?
 
Hii nchi usalama wake ni kidogo sana.kama meli inaweza kumwaga mafuta mengi kiasi hicho baharini hadi yakasambaa eneo kubwa na mpaka taarifa inatolewa haijajulikana yanatokea wapi iko shida kubwa.
 
Back
Top Bottom