DC Magoti wa Kisarawe akumbushwe, Rais hakupeleka nyampara au mtawala Kisarawe, alipeleka kiongozi

DC Magoti wa Kisarawe akumbushwe, Rais hakupeleka nyampara au mtawala Kisarawe, alipeleka kiongozi

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Naona kama Magoti anataka kupandisha mabega juu kuliko ya aliyemteua. Maji ya mto huwa hayapandi juu zaidi kupita chanzo chake, bali huteremka chini.

Naona Magoti anajiona ni mnyampara kama wale wa enzi ya ukoloni. Hana uongozi shirikishi na jamii aliyoikuta. Najua na yeye ni mabaki ya yule jamaa aliyeenda zake, na ndiye alimuibua.

Sakata la mkaa, anaweza kulitatua kwa ushirikishaji wa kamati za mazingira zilizo mpaka ngazi ya vijiji. Wananchi wakawa sehemu ya utekelezaji kwa kuwa wao ndio wanawajua wauza mkaa. Sasa mtu ana mkaa fungu moja anaenda kupikia nyumbani kabeba kwa pikipiki, nalo ni kosa?

Masuala mengine pia, hata ya kiimani, waite watu, washirikishe. Watanzania wana akili.

Uongozi ni ushirikishwaji, ukiwashirikisha watanzania, hawana neno, waite, kunywa nqo kahawa, waeleze jambo lako, sikia maoni yao, fikieni uamuzi wa pamoja. Lakini ukivimba, mwenye mamlaka kwa niaba yao anaweza kuku-recall. Hata SSH mwenyewe havimbii watu na kuwatishia ubabe.

Kisarawe ni moja kati ya wilaya tulivu, utulivu huo upewe tafsiri ya maendeleo. Mkuu wa Wilaya aombe mbegu za korosho, parachichi, apiganie zao la mbaazi, ufugaji wa kisasa, elimu. Tembea na hayo.

Kisarawe ina hali ya hewa nzuri, na inaweza kulisha Dar es Salaam.

Ukiwawekea makucha katika ngozi zao, utaona macho yao makali.

Pia soma
 
Naona kama Magoti anataka kupandisha mabega juu kuliko ya aliyemteua. Maji ya mto huwa hayapandi juu zaidi kupita chanzo chake, bali huteremka chini.

Naona Magoti anajiona ni mnyampara kama wale wa enzi ya ukoloni. Hana uongozi shirikishi na jamii aliyoikuta. Najua na yeye ni mabaki ya yule jamaa aliyeenda zake, na ndiye alimuibua.

Sakata la mkaa, anaweza kulitatua kwa ushirikishaji wa kamati za mazingira zilizo mpaka ngazi ya vijiji. Wananchi wakawa sehemu ya utekelezaji kwa kuwa wao ndio wanawajua wauza mkaa. Sasa mtu ana mkaa fungu moja anaenda kupikia nyumbani kabeba kwa pikipiki, nalo ni kosa?

Masuala mengine pia, hata ya kiimani, waite watu, washirikishe. Watanzania wana akili.

Uongozi ni ushirikishwaji, ukiwashirikisha watanzania, hawana neno, waite, kunywa nqo kahawa, waeleze jambo lako, sikia maoni yao, fikieni uamuzi wa pamoja. Lakini ukivimba, mwenye mamlaka kwa niaba yao anaweza kuku-recall. Hata SSH mwenyewe havimbii watu na kuwatishia ubabe.

Kisarawe ni moja kati ya wilaya tulivu, utulivu huo upewe tafsiri ya maendeleo. Mkuu wa Wilaya aombe mbegu za korosho, parachichi, apiganie zao la mbaazi, ufugaji wa kisasa, elimu. Tembea na hayo.

Kisarawe ina hali ya hewa nzuri, na inaweza kulisha Dar es Salaam.

Ukiwawekea makucha katika ngozi zao, utaona macho yao makali.
Mnapoambiwa shetani hana rafiki muwe mnaelewa
 
waislamu wa tanzagiza hasa wale ma elite wananufaika sana na ujinga na umaskini wa waislamu(weusi) na ndiyo maana watasabotage juhudi zozote zinazofanyika kuwakomboa, wanataka wabakie wakikariri kurani huku wao (waislamu maelite) wakisoma na kupeleka watoto wao Christian Western nations kupata Christian education, waislamu maelite wanaompinga Mkuu wa Wilaya ambaye amejitolea kuwasaidia waislamu weusi wa chini wanaokandamizwa na kutumiwa na waislamu maelite wapate Christian Western Education ili wajikomboe kamwe hawawezi kupeleka watoto wao kwenye hizo shule za kukariri kurani, evil people …
 
Back
Top Bottom