King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Nikiona Jina magoti hapo hapo jina la gogoki2014 wa Twitter linakuja na la Mangula.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani sio mbaya, mabaya ni matendo ya kishetani. Mara kadhaa shetani kaongea na Mungu, enzi ya Ayoub, na hata wakati wa Yesu, akamtembeza mji mzima akamuonyesha fahari. Shetani anaweza kutubu, akakuacha wewe ukienda motoniMnapoambiwa shetani hana rafiki muwe mnaelewa
Wazaramo ni wavivu, ndiyo maana ardhi nzuri yenye rutuba ipo hata kabla ya Magoti kuzaliwa na kuteuliwa kuwa DC lkn wanakisarawe ni maskini wa kutupwa. Wamekalia kucheza taarabu na kuendekeza ngono tu. Namuona Magoti akichukuwa mstari uliyo sahihi kwa kukataza ngoma na taarabu.Kisarawe ina hali ya hewa nzuri, na inaweza kulisha Dar es Salaam.
Ukiwawekea makucha katika ngozi zao, utaona macho yao makali.
Bc hy njia ya kupata hizo bikra n mbayaWatu wanataka mabikra 72 wakifka mbinguni af kiongozi mmoja anawabania
Basi usilie tena humu na mambo ya kisaraweShetani sio mbaya, mabaya ni matendo ya kishetani. Mara kadhaa shetani kaongea na Mungu, enzi ya Ayoub, na hata wakati wa Yesu, akamtembeza mji mzima akamuonyesha fahari. Shetani anaweza kutubu, akakuacha wewe ukienda motoni
SubhanAllah 🙏🤔Petro ni mzee wa kazi chafu ,Mzee Mangula chupu chupu kwa kazi ya mikono yake huyu mwamba.
Eti chief una shida gani?Ugaidi wenu pelekeni huko na sio hapa nchini
Nimekuona mjinga na jitu la hovyo kabisa uliposema ni mabaki ya Jamaa aliyeenda zake . Wewe ni jinga kweli na hivi punde utaenda zako piaNaona kama Magoti anataka kupandisha mabega juu kuliko ya aliyemteua. Maji ya mto huwa hayapandi juu zaidi kupita chanzo chake, bali huteremka chini.
Naona Magoti anajiona ni mnyampara kama wale wa enzi ya ukoloni. Hana uongozi shirikishi na jamii aliyoikuta. Najua na yeye ni mabaki ya yule jamaa aliyeenda zake, na ndiye alimuibua.
Sakata la mkaa, anaweza kulitatua kwa ushirikishaji wa kamati za mazingira zilizo mpaka ngazi ya vijiji. Wananchi wakawa sehemu ya utekelezaji kwa kuwa wao ndio wanawajua wauza mkaa. Sasa mtu ana mkaa fungu moja anaenda kupikia nyumbani kabeba kwa pikipiki, nalo ni kosa?
Masuala mengine pia, hata ya kiimani, waite watu, washirikishe. Watanzania wana akili.
Uongozi ni ushirikishwaji, ukiwashirikisha watanzania, hawana neno, waite, kunywa nqo kahawa, waeleze jambo lako, sikia maoni yao, fikieni uamuzi wa pamoja. Lakini ukivimba, mwenye mamlaka kwa niaba yao anaweza kuku-recall. Hata SSH mwenyewe havimbii watu na kuwatishia ubabe.
Kisarawe ni moja kati ya wilaya tulivu, utulivu huo upewe tafsiri ya maendeleo. Mkuu wa Wilaya aombe mbegu za korosho, parachichi, apiganie zao la mbaazi, ufugaji wa kisasa, elimu. Tembea na hayo.
Kisarawe ina hali ya hewa nzuri, na inaweza kulisha Dar es Salaam.
Ukiwawekea makucha katika ngozi zao, utaona macho yao makali.
Pia soma
- Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam
- Kisarawe: DC Petro Magoti ameutaka Msikiti unaotoa elimu ya dini kwa watoto 96, kuwarudisha walipowatoa sababu ya Mazingira Mabovu ya malazi
- Petro Magoti kupiga marufuku pikipiki kubeba mkaa, nimewaza Mtanzania wa hali ya chini na namna sahihi ya kuwa na hekima juu ya sera ya mazingira
- Petro Magoti kupiga marufuku pikipiki kubeba mkaa, nimewaza Mtanzania wa hali ya chini na namna sahihi ya kuwa na hekima juu ya sera ya mazingira
- Kisarawe: DC Magoti apiga marufuku shughuli za ngoma kuhusisha wanafunzi
Huyu ni chawa wa chura kiziwi anajiona ana haki kuliko watu wengineNimekuona mjinga na jitu la hovyo kabisa uliposema ni mabaki ya Jamaa aliyeenda zake . Wewe ni jinga kweli na hivi punde utaenda zako pia
Dini ikizidi sana unakua mpumbavuNaona kama Magoti anataka kupandisha mabega juu kuliko ya aliyemteua. Maji ya mto huwa hayapandi juu zaidi kupita chanzo chake, bali huteremka chini.
Naona Magoti anajiona ni mnyampara kama wale wa enzi ya ukoloni. Hana uongozi shirikishi na jamii aliyoikuta. Najua na yeye ni mabaki ya yule jamaa aliyeenda zake, na ndiye alimuibua.
Sakata la mkaa, anaweza kulitatua kwa ushirikishaji wa kamati za mazingira zilizo mpaka ngazi ya vijiji. Wananchi wakawa sehemu ya utekelezaji kwa kuwa wao ndio wanawajua wauza mkaa. Sasa mtu ana mkaa fungu moja anaenda kupikia nyumbani kabeba kwa pikipiki, nalo ni kosa?
Masuala mengine pia, hata ya kiimani, waite watu, washirikishe. Watanzania wana akili.
Uongozi ni ushirikishwaji, ukiwashirikisha watanzania, hawana neno, waite, kunywa nqo kahawa, waeleze jambo lako, sikia maoni yao, fikieni uamuzi wa pamoja. Lakini ukivimba, mwenye mamlaka kwa niaba yao anaweza kuku-recall. Hata SSH mwenyewe havimbii watu na kuwatishia ubabe.
Kisarawe ni moja kati ya wilaya tulivu, utulivu huo upewe tafsiri ya maendeleo. Mkuu wa Wilaya aombe mbegu za korosho, parachichi, apiganie zao la mbaazi, ufugaji wa kisasa, elimu. Tembea na hayo.
Kisarawe ina hali ya hewa nzuri, na inaweza kulisha Dar es Salaam.
Ukiwawekea makucha katika ngozi zao, utaona macho yao makali.
Pia soma
- Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam
- Kisarawe: DC Petro Magoti ameutaka Msikiti unaotoa elimu ya dini kwa watoto 96, kuwarudisha walipowatoa sababu ya Mazingira Mabovu ya malazi
- Petro Magoti kupiga marufuku pikipiki kubeba mkaa, nimewaza Mtanzania wa hali ya chini na namna sahihi ya kuwa na hekima juu ya sera ya mazingira
- Petro Magoti kupiga marufuku pikipiki kubeba mkaa, nimewaza Mtanzania wa hali ya chini na namna sahihi ya kuwa na hekima juu ya sera ya mazingira
- Kisarawe: DC Magoti apiga marufuku shughuli za ngoma kuhusisha wanafunzi
Kwamba sumu sio hatari, ila hatari ni madhara ya sumu? Mkuu hiyo mifano ulioweka hapo haiendani kabisa na hoja yako. Ifute tafadhaliShetani sio mbaya, mabaya ni matendo ya kishetani. Mara kadhaa shetani kaongea na Mungu, enzi ya Ayoub, na hata wakati wa Yesu, akamtembeza mji mzima akamuonyesha fahari. Shetani anaweza kutubu, akakuacha wewe ukienda motoni
waislam na shetani mbona ni nduguMnapoambiwa shetani hana rafiki muwe mnaelewa
Imagine yuko vile lakini ni mbabe jee angekuwa normal si angekuwa anapiga watu mitama ovyo mitaani?Kwa umbo lake lazima afanye ubabe ili aonekane
HahahahahaImagine yuko vile lakini ni mbabe jee angekuwa normal si angekuwa anapiga watu mitama ovyo mitaani?
Huyo we mwache tu!!Naona kama Magoti anataka kupandisha mabega juu kuliko ya aliyemteua. Maji ya mto huwa hayapandi juu zaidi kupita chanzo chake, bali huteremka chini.
Naona Magoti anajiona ni mnyampara kama wale wa enzi ya ukoloni. Hana uongozi shirikishi na jamii aliyoikuta. Najua na yeye ni mabaki ya yule jamaa aliyeenda zake, na ndiye alimuibua.
Sakata la mkaa, anaweza kulitatua kwa ushirikishaji wa kamati za mazingira zilizo mpaka ngazi ya vijiji. Wananchi wakawa sehemu ya utekelezaji kwa kuwa wao ndio wanawajua wauza mkaa. Sasa mtu ana mkaa fungu moja anaenda kupikia nyumbani kabeba kwa pikipiki, nalo ni kosa?
Masuala mengine pia, hata ya kiimani, waite watu, washirikishe. Watanzania wana akili.
Uongozi ni ushirikishwaji, ukiwashirikisha watanzania, hawana neno, waite, kunywa nqo kahawa, waeleze jambo lako, sikia maoni yao, fikieni uamuzi wa pamoja. Lakini ukivimba, mwenye mamlaka kwa niaba yao anaweza kuku-recall. Hata SSH mwenyewe havimbii watu na kuwatishia ubabe.
Kisarawe ni moja kati ya wilaya tulivu, utulivu huo upewe tafsiri ya maendeleo. Mkuu wa Wilaya aombe mbegu za korosho, parachichi, apiganie zao la mbaazi, ufugaji wa kisasa, elimu. Tembea na hayo.
Kisarawe ina hali ya hewa nzuri, na inaweza kulisha Dar es Salaam.
Ukiwawekea makucha katika ngozi zao, utaona macho yao makali.
Pia soma
- Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam
- Kisarawe: DC Petro Magoti ameutaka Msikiti unaotoa elimu ya dini kwa watoto 96, kuwarudisha walipowatoa sababu ya Mazingira Mabovu ya malazi
- Petro Magoti kupiga marufuku pikipiki kubeba mkaa, nimewaza Mtanzania wa hali ya chini na namna sahihi ya kuwa na hekima juu ya sera ya mazingira
- Petro Magoti kupiga marufuku pikipiki kubeba mkaa, nimewaza Mtanzania wa hali ya chini na namna sahihi ya kuwa na hekima juu ya sera ya mazingira
- Kisarawe: DC Magoti apiga marufuku shughuli za ngoma kuhusisha wanafunzi