DC Magoti wa Kisarawe akumbushwe, Rais hakupeleka nyampara au mtawala Kisarawe, alipeleka kiongozi

DC Magoti wa Kisarawe akumbushwe, Rais hakupeleka nyampara au mtawala Kisarawe, alipeleka kiongozi

Naona kama Magoti anataka kupandisha mabega juu kuliko ya aliyemteua. Maji ya mto huwa hayapandi juu zaidi kupita chanzo chake, bali huteremka chini.

Naona Magoti anajiona ni mnyampara kama wale wa enzi ya ukoloni. Hana uongozi shirikishi na jamii aliyoikuta. Najua na yeye ni mabaki ya yule jamaa aliyeenda zake, na ndiye alimuibua.

Sakata la mkaa, anaweza kulitatua kwa ushirikishaji wa kamati za mazingira zilizo mpaka ngazi ya vijiji. Wananchi wakawa sehemu ya utekelezaji kwa kuwa wao ndio wanawajua wauza mkaa. Sasa mtu ana mkaa fungu moja anaenda kupikia nyumbani kabeba kwa pikipiki, nalo ni kosa?

Masuala mengine pia, hata ya kiimani, waite watu, washirikishe. Watanzania wana akili.

Uongozi ni ushirikishwaji, ukiwashirikisha watanzania, hawana neno, waite, kunywa nqo kahawa, waeleze jambo lako, sikia maoni yao, fikieni uamuzi wa pamoja. Lakini ukivimba, mwenye mamlaka kwa niaba yao anaweza kuku-recall. Hata SSH mwenyewe havimbii watu na kuwatishia ubabe.

Kisarawe ni moja kati ya wilaya tulivu, utulivu huo upewe tafsiri ya maendeleo. Mkuu wa Wilaya aombe mbegu za korosho, parachichi, apiganie zao la mbaazi, ufugaji wa kisasa, elimu. Tembea na hayo.

Kisarawe ina hali ya hewa nzuri, na inaweza kulisha Dar es Salaam.

Ukiwawekea makucha katika ngozi zao, utaona macho yao makali.

Pia soma
Sijawahi kujua kwamba wewe ni Bogus kiasi hiki mkuu nimekuvua nyota zote maaana una hulka za mihemko ya kimatabaka hutumii Logic hata chembe.
 
ni ajabu sana kwamba kuna ndugu zetu katika imani, wanatetea wale watoto kurundikwa vile kama maguruwe, mazingira hayaruhusu watu wengi vile kulala pale. uchafu wa chooni umesambaa vichakani na mwengine wameuelekeza toka chooni kwenda eneo la open space. mtaumwa vipindupindu mfe kama kuku na mngerudi kwa serikali hii hii.

kwanza ametufunua wengi, icho kilikuwa kilinge cha kufundisha ugaidi, ndio maana wanachukua watoto failure ambao hawana ubongo ili wawalishe sumu vizuri. serikali iwe makini.
 
Naona kama Magoti anataka kupandisha mabega juu kuliko ya aliyemteua. Maji ya mto huwa hayapandi juu zaidi kupita chanzo chake, bali huteremka chini.

Naona Magoti anajiona ni mnyampara kama wale wa enzi ya ukoloni. Hana uongozi shirikishi na jamii aliyoikuta. Najua na yeye ni mabaki ya yule jamaa aliyeenda zake, na ndiye alimuibua.

Sakata la mkaa, anaweza kulitatua kwa ushirikishaji wa kamati za mazingira zilizo mpaka ngazi ya vijiji. Wananchi wakawa sehemu ya utekelezaji kwa kuwa wao ndio wanawajua wauza mkaa. Sasa mtu ana mkaa fungu moja anaenda kupikia nyumbani kabeba kwa pikipiki, nalo ni kosa?

Masuala mengine pia, hata ya kiimani, waite watu, washirikishe. Watanzania wana akili.

Uongozi ni ushirikishwaji, ukiwashirikisha watanzania, hawana neno, waite, kunywa nqo kahawa, waeleze jambo lako, sikia maoni yao, fikieni uamuzi wa pamoja. Lakini ukivimba, mwenye mamlaka kwa niaba yao anaweza kuku-recall. Hata SSH mwenyewe havimbii watu na kuwatishia ubabe.

Kisarawe ni moja kati ya wilaya tulivu, utulivu huo upewe tafsiri ya maendeleo. Mkuu wa Wilaya aombe mbegu za korosho, parachichi, apiganie zao la mbaazi, ufugaji wa kisasa, elimu. Tembea na hayo.

Kisarawe ina hali ya hewa nzuri, na inaweza kulisha Dar es Salaam.

Ukiwawekea makucha katika ngozi zao, utaona macho yao makali.

Pia soma
Yaani niliposoma kwenye utangulizi ukimshutumu Magufuli ambaye hata hakumteua kwenye nafasi hiyo nikasikia kichefuchefu.

Wewe ni MPUMBAVU kama wapumbavu wengine wasio na akili!!

Nyie ndio mnapoteza huyo mama Kwa kukwepesha Kila anachostahili kuwajibika nacho.

Jinga Moja hivi
 
huo ukanda umejaa magaidi na hata hao watoto wamewachukua strategic areas za kurecruit magaidi. unaona ni Kondoa, tanga, mtwara, Lindi, singida, morogoro. ilitakiwa ifuate kigoma. huko kote ni recruits za magaidi na watakuja kusumbua sana hii nchi mbeleni.
 
Yaani niliposoma kwenye utangulizi ukimshutumu Magufuli ambaye hata hakumteua kwenye nafasi hiyo nikasikia kichefuchefu.

Wewe ni MPUMBAVU kama wapumbavu wengine wasio na akili!!

Nyie ndio mnapoteza huyo mama Kwa kukwepesha Kila anachostahili kuwajibika nacho.

Jinga Moja hivi
Mkojo, umekula hata lunch kweli?
 
Hoja za Petro zote zina mashiko Tena kwa jamii ya kiislam ya kisarawe.
1. Suala pikipiki kubeba mkaa. Labda kama huoni ila wale jamaa wanosafirisha mkaa kwa pikipiki Wana hatarisha sana usalama wa watumia Barbara . Mzigo wa kubebwa na Kenta tani tatu unabebwa na boda. Boda inafungwa magunia kiasi kwamba dereva haoni nyuma kitu ambacho ni hatari sana.

2. Kupiga marufuku wanafunzi kucheza au kuchezwa ngoma. Amezuia kuchezwa au kucheza hizo ngoma nyakati za shule. Ameshauri wakati wa masomo watoto waende shule ngoma zichezwe muda ambao hautaathiri masomo. Hapo tatizo lipo wapi? Maoni yangu binafsi hizi ngoma ni za kishenzi tuu watoto wanafundishwa usharati kuliko maadili.

3. Watoto msikini. Kama bado unalalamika hili la watoto kuanzia miaka mi3 kulazwa mazingirq mabovu msikitini kisa wazazi wao wameridhia, basi unastahili kupimwa akili na mkojo kabisa.

Magoti yupo sahihi na huyu bwana nimefahamu tangu chuo nilisoma nae ni mtu aliyeenyooka sana. Nilikuwa namchallenge sana ukada wake alikuwa anamtazamo tofauti na ccm wengi japo yeye alikuwa ni kada.kindakindaki.
Magoti hana kosa, anasimamia sheria inasema nini.

Ila watu wanapenda kuishi kwa mazoea na kuoneana huruma.
 
Naona kama Magoti anataka kupandisha mabega juu kuliko ya aliyemteua. Maji ya mto huwa hayapandi juu zaidi kupita chanzo chake, bali huteremka chini.

Naona Magoti anajiona ni mnyampara kama wale wa enzi ya ukoloni. Hana uongozi shirikishi na jamii aliyoikuta. Najua na yeye ni mabaki ya yule jamaa aliyeenda zake, na ndiye alimuibua.

Sakata la mkaa, anaweza kulitatua kwa ushirikishaji wa kamati za mazingira zilizo mpaka ngazi ya vijiji. Wananchi wakawa sehemu ya utekelezaji kwa kuwa wao ndio wanawajua wauza mkaa. Sasa mtu ana mkaa fungu moja anaenda kupikia nyumbani kabeba kwa pikipiki, nalo ni kosa?

Masuala mengine pia, hata ya kiimani, waite watu, washirikishe. Watanzania wana akili.

Uongozi ni ushirikishwaji, ukiwashirikisha watanzania, hawana neno, waite, kunywa nqo kahawa, waeleze jambo lako, sikia maoni yao, fikieni uamuzi wa pamoja. Lakini ukivimba, mwenye mamlaka kwa niaba yao anaweza kuku-recall. Hata SSH mwenyewe havimbii watu na kuwatishia ubabe.

Kisarawe ni moja kati ya wilaya tulivu, utulivu huo upewe tafsiri ya maendeleo. Mkuu wa Wilaya aombe mbegu za korosho, parachichi, apiganie zao la mbaazi, ufugaji wa kisasa, elimu. Tembea na hayo.

Kisarawe ina hali ya hewa nzuri, na inaweza kulisha Dar es Salaam.

Ukiwawekea makucha katika ngozi zao, utaona macho yao makali.

Pia soma
Huyu mkuu wa wilaya ebu apewe mda ,naona kama mbele anaweza fanya vizuri, ile ya watoto wa madrasa ,kuna kitu nimeona kipo ndani yake ambacho ni kizuri .

Si mtetei ila tumpe mda ,tabia chafu ya mtu huwa haijifichi
 
Naona kama Magoti anataka kupandisha mabega juu kuliko ya aliyemteua. Maji ya mto huwa hayapandi juu zaidi kupita chanzo chake, bali huteremka chini.

Naona Magoti anajiona ni mnyampara kama wale wa enzi ya ukoloni. Hana uongozi shirikishi na jamii aliyoikuta. Najua na yeye ni mabaki ya yule jamaa aliyeenda zake, na ndiye alimuibua.

Sakata la mkaa, anaweza kulitatua kwa ushirikishaji wa kamati za mazingira zilizo mpaka ngazi ya vijiji. Wananchi wakawa sehemu ya utekelezaji kwa kuwa wao ndio wanawajua wauza mkaa. Sasa mtu ana mkaa fungu moja anaenda kupikia nyumbani kabeba kwa pikipiki, nalo ni kosa?

Masuala mengine pia, hata ya kiimani, waite watu, washirikishe. Watanzania wana akili.

Uongozi ni ushirikishwaji, ukiwashirikisha watanzania, hawana neno, waite, kunywa nqo kahawa, waeleze jambo lako, sikia maoni yao, fikieni uamuzi wa pamoja. Lakini ukivimba, mwenye mamlaka kwa niaba yao anaweza kuku-recall. Hata SSH mwenyewe havimbii watu na kuwatishia ubabe.

Kisarawe ni moja kati ya wilaya tulivu, utulivu huo upewe tafsiri ya maendeleo. Mkuu wa Wilaya aombe mbegu za korosho, parachichi, apiganie zao la mbaazi, ufugaji wa kisasa, elimu. Tembea na hayo.

Kisarawe ina hali ya hewa nzuri, na inaweza kulisha Dar es Salaam.

Ukiwawekea makucha katika ngozi zao, utaona macho yao makali.

Pia soma
Hakuna DC pale, tatizo la kugawa vyeo kama Biscut, asilima 100 ya wakuu wa wilaya ni hawana uwezo na huyo magoti ndio balaa tupu, ashujuru tu kwamba ni kiongozi katika Taifa lililo jaaa wajinga. Yaani wanacho jua ni kuamrisha, habari zao usipo kutana na habari ya Kuamrisha utakutana na ya kupiga marufuku, kuonya, kutishia,
 
Magoti hana kosa, anasimamia sheria inasema nini.

Ila watu wanapenda kuishi kwa mazoea na kuoneana huruma.
Sheria inasema nini? Hao raia wana kazi mbdala wameisha rafutiwa? CVM inawekeza kwenye projects za vitu kutafutabsifa inaachana na project za watu.

Raia wanahitaji Projects za kuondoa umasikini wa vipato vyao, hizo project hazipo, sana sana zipo za Barabara, Madaraja na umeme.
 
Huyu mkuu wa wilaya ebu apewe mda ,naona kama mbele anaweza fanya vizuri, ile ya watoto wa madrasa ,kuna kitu nimeona kipo ndani yake ambacho ni kizuri .

Si mtetei ila tumpe mda ,tabia chafu ya mtu huwa haijifichi
Afanye vizuri kivipi? Sikiliza mmezoea kiki san, mmezoea kamera, anacho fanya kama kawa ni kuueza na akili za wajinga wa hili Taifa, Taifa lina wajinga asilimia 90
 
waislamu wa tanzagiza hasa wale ma elite wananufaika sana na ujinga na umaskini wa waislamu(weusi) na ndiyo maana watasabotage juhudi zozote zinazofanyika kuwakomboa, wanataka wabakie wakikariri kurani huku wao (waislamu maelite) wakisoma na kupeleka watoto wao Christian Western nations kupata Christian education, waislamu maelite wanaompinga Mkuu wa Wilaya ambaye amejitolea kuwasaidia waislamu weusi wa chini wanaokandamizwa na kutumiwa na waislamu maelite wapate Christian Western Education ili wajikomboe kamwe hawawezi kupeleka watoto wao kwenye hizo shule za kukariri kurani, evil people …
Hizo ni imani zao, na Serikali haina Dini, na kama kuna sheria wanavunja wanapaswa kushitakiwa kama hakuna sheria wanavunja basi waachwe
 
Naona kama Magoti anataka kupandisha mabega juu kuliko ya aliyemteua. Maji ya mto huwa hayapandi juu zaidi kupita chanzo chake, bali huteremka chini.

Naona Magoti anajiona ni mnyampara kama wale wa enzi ya ukoloni. Hana uongozi shirikishi na jamii aliyoikuta. Najua na yeye ni mabaki ya yule jamaa aliyeenda zake, na ndiye alimuibua.

Sakata la mkaa, anaweza kulitatua kwa ushirikishaji wa kamati za mazingira zilizo mpaka ngazi ya vijiji. Wananchi wakawa sehemu ya utekelezaji kwa kuwa wao ndio wanawajua wauza mkaa. Sasa mtu ana mkaa fungu moja anaenda kupikia nyumbani kabeba kwa pikipiki, nalo ni kosa?

Masuala mengine pia, hata ya kiimani, waite watu, washirikishe. Watanzania wana akili.

Uongozi ni ushirikishwaji, ukiwashirikisha watanzania, hawana neno, waite, kunywa nqo kahawa, waeleze jambo lako, sikia maoni yao, fikieni uamuzi wa pamoja. Lakini ukivimba, mwenye mamlaka kwa niaba yao anaweza kuku-recall. Hata SSH mwenyewe havimbii watu na kuwatishia ubabe.

Kisarawe ni moja kati ya wilaya tulivu, utulivu huo upewe tafsiri ya maendeleo. Mkuu wa Wilaya aombe mbegu za korosho, parachichi, apiganie zao la mbaazi, ufugaji wa kisasa, elimu. Tembea na hayo.

Kisarawe ina hali ya hewa nzuri, na inaweza kulisha Dar es Salaam.

Ukiwawekea makucha katika ngozi zao, utaona macho yao makali.

Pia soma
I see!

Viongozi bora kumbe bado wapo, nimeshtushwa na kufurahi mno baada ya kupata taarifa ya mambo mazuri anayotekeleza Mheshimiwa Petro Magoti.

Tunahitaji viongozi kama huyu.
Huyu bwana atafutiwe cheo cha juu zaidi, ameuoversize u DC.
 
Afanye vizuri kivipi? Sikiliza mmezoea kiki san, mmezoea kamera, anacho fanya kama kawa ni kuueza na akili za wajinga wa hili Taifa, Taifa lina wajinga asilimia 90
Mawazo yangu yaheshimiwe ,siandiki kwa mehemuko ,wena unavyo mtafakari ni tofahuti ninavyo mtafakari , naheshim mawazo yako nawe heshim mawazo yangu , wenda nipo sahii au sipo sahii
 
Sheria inasema nini? Hao raia wana kazi mbdala wameisha rafutiwa? CVM inawekeza kwenye projects za vitu kutafutabsifa inaachana na project za watu.

Raia wanahitaji Projects za kuondoa umasikini wa vipato vyao, hizo project hazipo, sana sana zipo za Barabara, Madaraja na umeme.
Kama hawana kazi mbadala ndo waachwe wahatarishe usalama wao na watumiaji wengine wa barabara?

Wewe kazi umetafutiwa na ccm?
 
Naona kama Magoti anataka kupandisha mabega juu kuliko ya aliyemteua. Maji ya mto huwa hayapandi juu zaidi kupita chanzo chake, bali huteremka chini.

Naona Magoti anajiona ni mnyampara kama wale wa enzi ya ukoloni. Hana uongozi shirikishi na jamii aliyoikuta. Najua na yeye ni mabaki ya yule jamaa aliyeenda zake, na ndiye alimuibua.

Sakata la mkaa, anaweza kulitatua kwa ushirikishaji wa kamati za mazingira zilizo mpaka ngazi ya vijiji. Wananchi wakawa sehemu ya utekelezaji kwa kuwa wao ndio wanawajua wauza mkaa. Sasa mtu ana mkaa fungu moja anaenda kupikia nyumbani kabeba kwa pikipiki, nalo ni kosa?

Masuala mengine pia, hata ya kiimani, waite watu, washirikishe. Watanzania wana akili.

Uongozi ni ushirikishwaji, ukiwashirikisha watanzania, hawana neno, waite, kunywa nqo kahawa, waeleze jambo lako, sikia maoni yao, fikieni uamuzi wa pamoja. Lakini ukivimba, mwenye mamlaka kwa niaba yao anaweza kuku-recall. Hata SSH mwenyewe havimbii watu na kuwatishia ubabe.

Kisarawe ni moja kati ya wilaya tulivu, utulivu huo upewe tafsiri ya maendeleo. Mkuu wa Wilaya aombe mbegu za korosho, parachichi, apiganie zao la mbaazi, ufugaji wa kisasa, elimu. Tembea na hayo.

Kisarawe ina hali ya hewa nzuri, na inaweza kulisha Dar es Salaam.

Ukiwawekea makucha katika ngozi zao, utaona macho yao makali.

Pia soma
Ndg mwache kiongozi afanye uongozi ,nq namna moja wapo ya kufanya uongozi ni kufanya maamuzi
 
I see!

Viongozi bora kumbe bado wapo, nimeshtushwa na kufurahi mno baada ya kupata taarifa ya mambo mazuri anayotekeleza Mheshimiwa Petro Magoti.

Tunahitaji viongozi kama huyu.
Huyu bwana atafutiwe cheo cha juu zaidi, ameuoversize u DC.
Idadi ya chawa wa kumpamba inajulikana, ila ujumbe umemfikia
 
Back
Top Bottom