DC Magoti wa Kisarawe akumbushwe, Rais hakupeleka nyampara au mtawala Kisarawe, alipeleka kiongozi

Idadi ya chawa wa kumpamba inajulikana, ila ujumbe umemfikia
Kukata miti na kuchoma mikaa inatakiwa kupigwa marufuku nchi nzima.

Huyu Magoti ni mfano wa kuigwa kwa viongozi wote.

Juzi tu amebaini na kuzuia watoto waliokuwa wanarundikwa na kulazwa msikitini, eti wanafundishwa kuhifadhi Quruani.

Huyu Magoti ni kati ya viongozi wachache mahiri kabisa.
 
Jitahidi uwe na akili
 
Wazee wa Kisarawe si mnajifanya wachawi?
Kwa taarifa yenu endeleeni kumchokonoa huyo mwamba mtagundua hamjui.
Wanaomjua hawakai naye kwenye vikao.
 
Watoto wapelekwe shule kusoma elimu dunia, ikiwezekana kwa kutandika viboko wazazi wao waliowatelekeza.
Haya sasa huyo DC wenu kapeleka mifuko ya siment lijengwe bweni watoto warudi. Sijui mtasemaje sasa
 
Wazee wa Kisarawe si mnajifanya wachawi?
Kwa taarifa yenu endeleeni kumchokonoa huyo mwamba mtagundua hamjui.
Wanaomjua hawakai naye kwenye vikao.
Mbona kashasanda tayari, umeona alichofanya leo pale msikitini?
 
Ushaenda kubarikiwa ndoa yako ya jinsia moja huko kwa askofu?
 
Kwa hili la mkaa amechemsha! Labda kama alikuwa na nia ya kupiga marufuku matumizi ya mkaa ili kuhifadhi misitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…