Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Kukata miti na kuchoma mikaa inatakiwa kupigwa marufuku nchi nzima.Idadi ya chawa wa kumpamba inajulikana, ila ujumbe umemfikia
Jitahidi uwe na akiliKukata miti na kuchoma mikaa inatakiwa kupigwa marufuku nchi nzima.
Huyu Magoti ni mfano wa kuigwa kwa viongozi wote.
Juzi tu amebaini na kuzuia watoto waliokuwa wanarundikwa na kulazwa msikitini, eti wanafundishwa kuhifadhi Quruani.
Huyu Magoti ni kati ya viongozi wachache mahiri kabisa.
Nijitahidi vipi ili niwe na akili?Jitahidi uwe na akili
Haya sasa huyo DC wenu kapeleka mifuko ya siment lijengwe bweni watoto warudi. Sijui mtasemaje sasaWatoto wapelekwe shule kusoma elimu dunia, ikiwezekana kwa kutandika viboko wazazi wao waliowatelekeza.
Mbona kashasanda tayari, umeona alichofanya leo pale msikitini?Wazee wa Kisarawe si mnajifanya wachawi?
Kwa taarifa yenu endeleeni kumchokonoa huyo mwamba mtagundua hamjui.
Wanaomjua hawakai naye kwenye vikao.
Kafanyaje mkuu?Mbona kashasanda tayari, umeona alichofanya leo pale msikitini?
Wanisamehe kwa kosa gani?Kabinue masaburi kwenye kaburi za babu zako wakusamehe
Kapeleka cement mifuko 300 kwenye vile vituo alivyofungia akitaka mabweni yaanze kujengwa watoto warudi wapate elimu ya diniKafanyaje mkuu?
Ushaenda kubarikiwa ndoa yako ya jinsia moja huko kwa askofu?huo ukanda umejaa magaidi na hata hao watoto wamewachukua strategic areas za kurecruit magaidi. unaona ni Kondoa, tanga, mtwara, Lindi, singida, morogoro. ilitakiwa ifuate kigoma. huko kote ni recruits za magaidi na watakuja kusumbua sana hii nchi mbeleni.
Just another imbecileMiguu ya nani?