DC mdogo kuliko wote Tanzania, ashirikiana na mbunge kuimba wimbo kuhamasisha Elimu Wilayani

DC mdogo kuliko wote Tanzania, ashirikiana na mbunge kuimba wimbo kuhamasisha Elimu Wilayani

Huyu dogo nliona siku hiyo wanamfukuza na mawe kijiweni hadi noma,
Naona anataka kujirudi kivingine...any ways thats creativity

ILA NYIMBO NI MBAYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Mmmmh yaani wewe unachuki binafsi.....khaaaa eti wimbo mbaya.....duuuh.....wamejitahd sana Lee nafasi zao. .....wanastahili pongezi.
 
Kimbunga jamaa yuko vizuri sana wala sio kidg
Huyu jamaa nimemfuatilia sana na hakika nakuambia atafika mbali na anayebisha atakuja kuyakumbuka maneno yangu haya.
Kwa hivi sasa anapambana apate barabara ya Tanga - Pangani - Bagamoyo kupitia Saadan na Mungu yupo upande wake kwa kuwa nilisikia sehemu fulani kwamba hiyo barabara itajengwa kwa kiwango cha lami hivi karibuni. Niliwahi kumsikia pia akiwa na mkakati wa kushughulikia suala la maji. Ukiunganisha na mkakati wa elimu basi kamaliza.
 
Huyo MB ndugu, ana kazi ya kufanya kwakweeeli mana ni wanamchukia utadhani alitaka kuwalisha sumu
Hakumshinda yule Mama wa CUF
2020 CCM watamtosa kura za maoni
Nilikuwa huko,hata kusalimia wapiga kura hawezi
 
Huyu dogo nliona siku hiyo wanamfukuza na mawe kijiweni hadi noma,
Naona anataka kujirudi kivingine...any ways thats creativity

ILA NYIMBO NI MBAYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Nadhani ni approach nzuri kufikisha ujumbe kwa watu wake. wakazi wa ukanda ule ukiwaendea kuhusu elimu dunia hawakuelewi kirahisi.
 
Nampongeza kwa kuona tatizo la elimu.. Ukweli shida yetu kubwa kitaifa ni elimu. Nampongeza kwa sbb ajenda yao ya elimu si ya Chama Chao.. Kijana anajitahid sana lkn itabidi apanmbane kweli kwenye elimu elimu elimu... Kwake yeye atapata shida sana kuongoza pwani sbb wanapwani ata mtu akiwa amepungukiwa pesa kuoa mke wa pili anataka mbunge ndio amchangie... Na kijana ni miongoni mwa wabunge masikini zaidi...
 
Huyu jamaa nimemfuatilia sana na hakika nakuambia atafika mbali na anayebisha atakuja kuyakumbuka maneno yangu haya.
Kwa hivi sasa anapambana apate barabara ya Tanga - Pangani - Bagamoyo kupitia Saadan na Mungu yupo upande wake kwa kuwa nilisikia sehemu fulani kwamba hiyo barabara itajengwa kwa kiwango cha lami hivi karibuni. Niliwahi kumsikia pia akiwa na mkakati wa kushughulikia suala la maji. Ukiunganisha na mkakati wa elimu basi kamaliza.
Hawezi shinda 2020
CUF wana nguvu sana Pangani
Hata mwaka jana kashinda kwa figisu tu
 
Kwani ukada wa ccm una CV???
RC,DC,DED n.k. mkuu akifurahi anakupa ofa ofa sitaki niseme mengi kwa maana.....
 
Mbona jamaa yupo vizuri sana. Huwa anajenga hoja za maana na anapigania kweli wana Pangani. Alipambana na Mama Mwidau kwenye uchaguzi mkuu akambwaga
Mkuu mama Mwidau alipigwa bao la kisigino pale,
Ila dogo anavision kwakweli sema tu ndo vile ana damu ya kunguni hapo Pangani
 
Huyu dogo nliona siku hiyo wanamfukuza na mawe kijiweni hadi noma,
Naona anataka kujirudi kivingine...any ways thats creativity

ILA NYIMBO NI MBAYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Wimbo ni mzuri sana. Lakini sishangai kila mtu na anachopenda, inawezekana ulitaka waimbe taarabu ndiyo ingekufurahisha
 
Back
Top Bottom