Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tuna tatizo la kudanganya umri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 423733 View attachment 423731 View attachment 423732 Anaitwa Zainaba Abdallah Issa,ni mkuu wa Wilaya mdogo kiumri kuliko wote Tanzania.Binti Issa ni Mkuu wa Wilaya ya Pangani iliyopo Mkoa wa Tanga.Moja ya changamoto kubwa anazokumbana nazo ktk Wilaya hiyo ni umasikini na ukosefu wa Elimu kwa wakazi wengi wa
Wilaya ya Pangani.
Yeye anakuwa mkuu wa Wilaya wa 21 toka kuanzishwa kwa Wilaya hiyo,na anasema mara baada ya kupangiwa kufanya kazi Wilaya hiyo watu wengi walimueleza kuwa anaenda kuongoza moja kati ya wilaya ngumu sana na iliyotopea kwa umasikini.
Ili kuendana na kasi ya maendeleo,Bi Zainabu ameamua kujikita katika elimu na hasa elimu ya mtoto wa kike,kwani katika eneo hilo elimu kwa watu na hasa mtoto wa kike imekuwa duni sana.Wilaya nzima ina shule za upili zipatazo 30's ambapo alipofika katika shule hizo zote,hapakuwepo na Shule yenye kidato cha tano na cha sita.
Amefanya juhudi za kuanzisha shule ya kidato cha tano na cha sita kwa kufanya upanuzi katika moja ya shule za Wilayani hapo.Miundo mbinu ni tatizo lingine,kwani wilaya hiyo haiunganishwi na maeneo muhimu kama jiji la Dsm.Umbali wa kutoka Pangani kwenda Handeni ni mrefu kuliko kutoka Pangani kwenda Dsm,lkn hakuna miundombinu inayounganisha Pangani na Dsm.
Kwa kushirikiana na mbunge Kijana wa Jimbo la Pangani,Mh.Zainabu A Iss amezindua wimbo wenye kuhamasisha elimu kwa mtoto wa kike ktk Wilaya ya Pangani,kwa kuwahimiza wazazi kutokuwaoza watoto wa kike wakiwa wadogo bali wawasisitize kupata elimu kwa lengo la kuondoa umasikini.
Hongera sana DC Zainabu .A. Issa,Kila la heri ktk kuwaletea wana Pangani maendeleo ya kweli.
Huyu alizunguka na mama samia suluhu kwenye campaign mwaka Jana watakuwa wana u karibu kindugu, na alisoma diploma Chuo cha kodiNgoja tutamuuliza
miaka 23 mkuuAna miaka mingapi?
hivi kafu ipo?mtatiro mbona hatumsikiiHawezi shinda 2020
CUF wana nguvu sana Pangani
Hata mwaka jana kashinda kwa figisu tu
Mi nakumbuka kuanza kumfahamu akiwa O'level kama sikosei Jangwani Sekondari.Kuna kipindi ITV kilikuwa kinarushwa Jpili mchana,kama "Debate" hivi...Huyu binti alikuwa akionekana sana akighani Mashairi,anaonekana ana uwezo mkubwa sana wa kukariri mambo.Huyu alizunguka na mama samia suluhu kwenye campaign mwaka Jana watakuwa wana u karibu kindugu, na alisoma diploma Chuo cha kodi
Mkuu 1999 alikuwa anasoma form one halafu leo ana miaka 23? kama ana miaka 23 alizaliwa mwaka 1993 ambapo 1999 alikuwa na miaka 6, 2002 alikuwa na miaka 9 na huyo hawezi kuwa mtoto wa sekondaryMi nakumbuka kuanza kumfahamu akiwa O'level kama sikosei Jangwani Sekondari.Kuna kipindi ITV kilikuwa kinarushwa Jpili mchana,kama "Debate" hivi...Huyu binti alikuwa akionekana sana akighani Mashairi,anaonekana ana uwezo mkubwa sana wa kukariri mambo.
Hiyo ilikuwa aeound 1999 to 2002,na hapo alikuwa kama sikosei form One au Two,sasa kusema sasa ana miaka 23,ina maana kipindi kile alikuwa ana miaka kumi akiwa Sekondari?
Yaani hapo hata mimi nimejaribu kutengeneza "Equation"....Nisaidie kui-balanceMkuu 1999 alikuwa anasoma form one halafu leo ana miaka 23? kama ana miaka 23 alizaliwa mwaka 1993 ambapo 1999 alikuwa na miaka 6, 2002 alikuwa na miaka 9 na huyo hawezi kuwa mtoto wa sekondary
Huyu atakua ameji Sitti Mtemvu aisee miaka hyo Niko primary hata sijafikiria secondary. Labda aliruka madarasa sana aisee kwa umri huo maana hana mda mrefu toka amalize diplomaMi nakumbuka kuanza kumfahamu akiwa O'level kama sikosei Jangwani Sekondari.Kuna kipindi ITV kilikuwa kinarushwa Jpili mchana,kama "Debate" hivi...Huyu binti alikuwa akionekana sana akighani Mashairi,anaonekana ana uwezo mkubwa sana wa kukariri mambo.
Hiyo ilikuwa aeound 1999 to 2002,na hapo alikuwa kama sikosei form One au Two,sasa kusema sasa ana miaka 23,ina maana kipindi kile alikuwa ana miaka kumi akiwa Sekondari?
Kwa kweli mimi namfahamu toka akiwa O'level,sasa hii ya miaka 23?hata mimi nimestuka.Huyu atakua ameji Sitti Mtemvu aisee miaka hyo Niko primary hata sijafikiria secondary. Labda aliruka madarasa sana aisee kwa umri huo maana hana mda mrefu toka amalize diploma
Ndugu acha matusi hatujielewi kivipi? Wao ndo hawajielewi maana wamekalili madesa lkn kwenye field ni emptyMbunge na mkuu wa wilaya ni vijana na wote wapo vizuri katika kujenga hoja tatizo lipo kwenye jamii wanayoiongeza bado haijitambui.
Lengo sio kuuza copy za nyimbo, lengo Ujumbe ufike naona wamefanikiwa vizuri sana..Huyu dogo nliona siku hiyo wanamfukuza na mawe kijiweni hadi noma,
Naona anataka kujirudi kivingine...any ways thats creativity
ILA NYIMBO NI MBAYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
HahahahaaaaaaaaaaaaManido yamedoro hivyo halafu unamwita dogo
Unajua hata mimi nilitaka kusema "Mbona kama jimama, au ndiyo habari za kujiachia achia mwili?"Udogo wake uko wapi? Mbona ana sura ya kizee hivyo?
Mbona jamaa yupo vizuri sana. Huwa anajenga hoja za maana na anapigania kweli wana Pangani. Alipambana na Mama Mwidau kwenye uchaguzi mkuu akambwaga