laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
Ameolewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]Ningeshangaa sana usingekuwepo hapa😀.
Mkuu pangani ilivyo inahitaji maombi sana. Kuna mama mmoja alikuwa Mbunge wa viti maalum anaitwa Amina Mwidau alijitahidi sana kuiinua Pangani.Mbona anajisifia hivyo? Kuna ishara za umaskini kuondoka huko Pangani? Au amefanya nini huko Pangani cha kustaajabisha?
Uchochezi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1]Naambiwa ana miaka 23, Lakini Umbo na Sura utafikiri wa miaka 35.
Akifikisha 30 sijui atakuwaje!
Ndio maana wengine hatupendi kutaja miaka yetu, tunaonekana Wazee kisura na kimaumbo kumbe kimiaka bado mabarobaro.
Pangani Pazuri PanavutiaMkuu pangani ilivyo inahitaji maombi sana. Kuna mama mmoja alikuwa Mbunge wa viti maalum anaitwa Amina Mwidau alijitahidi sana kuiinua Pangani.
[emoji117] Mbunge wa Pangani Jumaa Aweso ni mdogo sana umri wake hauzidi miaka 30 na mkuu wa wilaya ya Pangani pia ni mdogo sana.
ana miaka mingapi?
Miaka 23Ana miaka kumi na ngapi?
Kada mwenzako kamuulizeAmeolewa?