DC mdogo kuliko wote Tanzania, ashirikiana na mbunge kuimba wimbo kuhamasisha Elimu Wilayani

DC mdogo kuliko wote Tanzania, ashirikiana na mbunge kuimba wimbo kuhamasisha Elimu Wilayani

Salamu kwenu;
Ni sahihi kweli mtu akishatimiza miaka 18,anaingia katika umri wa utu uzima.
Linapokuja suala la kuwa kiongozi inahitaji zaidi ya kuwafikia tu na umri wa utu uzima.
Kwa mfano,nafasi ya urais ililazimu watu waipiganie iwe kuanzia umri wa miaka 40. Ingawa kwa upande wangu huu umri bado haufai kushika nafasi ya juu kabisa kiuongozi.
Huyu DC,kwa umri wake huo kweli anatosha kuwa mwenyekiti wa baraza la usalama wa wilaya?
Jaribu kuifahamu ile kamati ya ulinzi ya wilaya.
Hata kama ni ukada kwa umri huo sidhani kama ameiva na kupewa hiyo nafasi.
Source; millardayo.com
Nawatakia siku kuu njema za noeli na mwaka mpya 2017
 
Mpalakugenda,asante kwa uzi.Mimi simfahamu huyu DC.Hata hivyo nina swali dogo kwako-Viongozi huzaliwa na vipaji vya uongozi au hutengenezwa kuwa viongozi?.Ukishanijibu hilo swali nitarudi kutoa comment yangu.
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
anaitwa nani, hata hivyo miaka 23 alikuwa bado, angalau 25
 
Mpalakugenda,asante kwa uzi.Mimi simfahamu huyu DC.Hata hivyo nina swali dogo kwako-Viongozi huzaliwa na vipaji vya uongozi au hutengenezwa kuwa viongozi?.Ukishanijibu hilo swali nitarudi kutoa comment yangu.
Hekima je?
 
Mpalakugenda,asante kwa uzi.Mimi simfahamu huyu DC.Hata hivyo nina swali dogo kwako-Viongozi huzaliwa na vipaji vya uongozi au hutengenezwa kuwa viongozi?.Ukishanijibu hilo swali nitarudi kutoa comment yangu.
Anaitwa Zainab Abdalah. Ni kweli viongozi huzaliwa na vipaji pia hutengenezwa. Nacho jaribu kuona hapo kwa umri wa 23yrs tena ndani ya chama kikongwe chenye wanachama wengi kuliko chama chochote. Je ni sahihi kwake kupewa u dc,kwa kuzingatia majukumu nav igezo vya Udc?
 
Anaitwa Zainab Abdalah. Ni kweli viongozi huzaliwa na vipaji pia hutengenezwa. Nacho jaribu kuona hapo kwa umri wa 23yrs tena ndani ya chama kikongwe chenye wanachama wengi kuliko chama chochote. Je ni sahihi kwake kupewa u dc,kwa kuzingatia majukumu nav igezo vya Udc?
Ahmed salim alipewa ubalozi wa Tanzania inchi misri Aiwa na umri wa 21yrs.
 

Attachments

  • 2016-12-23 14.35.42.png
    2016-12-23 14.35.42.png
    260.6 KB · Views: 60
Mfalme Manase wa Israeli alianza kutawala akiwa na miaka 15 huku Mfalme Yosia alianza kutawala akiwa na miaka nane ya kuzaliwa.
 
Ila wanadamu hatuna wema! wazee wakipewa nafasi za uongozi vijana wanalalamika kuwa serikali imewasahau inapendelea wazee, mara ooooo sisi tutapata lini mauzoefu na maujuzi mara hivi mara vile, sasa leo JPM kaamua kumpa kijana (binti) nafasi ya U DC na yenyewe tena tunaona amekosea! Hivi JPM awabebee kitenge gani,kaniki, cha KTM, cha Morogoro au Wax?????? maana hambebeki
 
Hapana YEHODAYA, Salim alizaliwa 1942, akapewa ubalozi 1963 akiwa na miaka 21.
Salim AHMED salim ALIANZA KUWA balozi wa CUBA akiwa na miaka 19 halafu akawa balozi wa misri akiwa na miaka 21.Alianza kazi ya ubalozi akiwa na miaka 19 kule CUBA
 
Salim AHMED salim ALIANZA KUWA balozi wa CUBA akiwa na miaka 19 halafu akawa balozi wa misri akiwa na miaka 21.Alianza kazi ya ubalozi akiwa na miaka 19 kule CUBA
Deputy Chief Representative of the Zanzibar Office based in Havana, Cuba 1961–1962..ubalozi aliuanza mwaka 1964 kule Misri. Somehow you are right my brother.
 
Back
Top Bottom