DC mteule ndugu "Mchopanga" alisoma shahada ya kwanza bila kuwa na matokeo ya kidato cha sita licha ya kuisoma kwa miaka mitatu

DC mteule ndugu "Mchopanga" alisoma shahada ya kwanza bila kuwa na matokeo ya kidato cha sita licha ya kuisoma kwa miaka mitatu

Niliposoma gazeti la MWANANCHI la leo ni kuwa yupo DC mmoja mteule ambaye anatokea kwenye tasnia ya wasanii ambaye alienda nchini India kwenye chuo kikuu cha Bangalore akisomea shahada ya kwanza kwenye mambo ya sanaa huku matokeo yake ya kidato cha sita yakiwa hayajatoka.

Kwa mujibu wa gazeti hilo ni kuwa Mchopanga huyo alipata udhamini na moja kwa moja kwenda kwenye masomo hayo kuanzia mwaka 2005 hadi mwaka 2009 ambapo aliondoka nchini na kudahiliwa chuoni hapo bila ya kuwa na matokeo hayo.

Upo uwezekano kuwa kwenye elimu ya huyu DC mteule kuna utata na usanii na hata shahada yake ni ya mambo ya usanii.

Anajisemea kuwa anatarajia kwenda chuo kikuu cha Dar es Salaam kusomea shahada ya pili kwenye mahusiano ya umma.

NB: Wapo marafiki zangu kibao waliotokea hapo Bangalore na kujitapa kuwa wana shahada ila walipoambiwa kuleta vyeti wengi wao ni ukweli walitunukiwa shahada zao za kwanza kwa kutumia matokeo ya vyeti vya kidato cha nne kama "Direct entry qualifications" na huenda Mchopanga ni mmoja wao. Je NACTE wameanza lini kuthibitisha kuwa shahada za aina hii ni credible kwa nchi yetu?
TCU na si NACTE
 
Mnashangaa kitu gani?

Kwani kusoma chuo kikuu mpaka usome Form Six?

Prof Mwandosya Mark J, hakusoma Form Six, Bali alisoma DIT Halafu akaenda udsm baadae Aston university

Wahindi kule Posta watoto wao wanasoma ulaya vyuo vikuu vya dollar 50,000 kwa mwaka walisoma form Six?

Wahindi wangapi wanafanya kazi Agha khan na Muhimbili tena mabingwa lakini mbona hawakusoma Form Six

Kenya wanaishia Form Four na kwenda chuo kikuu

Mimi niliwahi fanya kazi nikiwa mwaka wa pili chuo Kikuu na Nilimpata ajira rasmi bila hata matokeo ya mwaka wa pili,

Watu wanaangalia uwezo wa Mtu sio cheti

Kuna vyuo unafanyishwa mitihani kabla ya kuingia ukiweza hata ukiwa darasa la saba Unaanza masomo

Elimu hii ya Form Six ni kuwapotezea watoto muda na maisha ya kutafuta Pesa tu

Miaka miwili Form Five na Six, Mtoto anaweza kujifunza utaalamu wa programming na akawa nguli

Miaka miwili inatosha mtoto kusoma Software mbalimbali na kuwa nguli

Form six ni mfumo wa Uganda na Tanzania wa kishamba sana

Ukiwa na pesa na upo vizuri mtoto unamsomesha kuanzia chekechea ulaya unalipa dollar 60,000 kama Milioni 120 Kwa mwaka

Ukiwa na pesa huna haja ya kusoma elimu yetu hii ya kitanzania ya kupotezeana muda,

Mtoto akimaliza Form Four unamtafutia College Marekani au Uingereza anajifunza mambo ya maana hata mwaka baadae unamlipia chuo kikuu huko huko

Angalia wahindi kule Posta na ni matajiri jinsi watoto wao wanavyokuwa smart kichwani baada ya Form Four, Mtoto anapelekwa college ulaya bei dollar za kutosha


Wabongo tatizo pesa, Watanzania wachache wana uwezo wa kumlipia mtoto ada Milioni 200 kwa mwaka au Milioni 100 kwa mwaka

Watanzania Tuendelee na Bodi yetu ya mikopo huku tukilia lia Retention fee

Ahaaaa
Kusoma Form six siyo lazima ila inategemea na system ya elimu uliyopita.

Mfano: Kuna watu hawatumii mtaala wa NECTA hao huwezi kuwalazimisha wapite form six,

Je, Mchopanga kasoma mtaala tofauti ?

Kuna watu baada ya form 4 hupitia njia za vyuo vya kati ( cheti, diploma, bachelor ). Je kapita mfumo huo ?

Kama hajapita mfumo uliopo na unaoleweka hio ni fraud kama fraud nyingine.

Halafu unaleta upumbavu eti Kenya wanaishia form 4 mbona hujasema, Kenya wanasoma mpaka darasa la 8 huku sisi ni darasa la 7 ?
 
yaani ni bora kama huna uwezo wa kusoma ulaya ukasoma hapa hapa tu.

Kenya, South Africa, Uganda pia ni better options.
Hakuna cha bora kusoma Ulaya wala wapi kote hovyo tu. Mbona waliosoma huko koote hatuoni maajabu yao?

Msomi gani ana maajabu nchi hii?
 
Niliposoma gazeti la MWANANCHI la leo ni kuwa yupo DC mmoja mteule ambaye anatokea kwenye tasnia ya wasanii ambaye alienda nchini India kwenye chuo kikuu cha Bangalore akisomea shahada ya kwanza kwenye mambo ya sanaa huku matokeo yake ya kidato cha sita yakiwa hayajatoka.

Kwa mujibu wa gazeti hilo ni kuwa Mchopanga huyo alipata udhamini na moja kwa moja kwenda kwenye masomo hayo kuanzia mwaka 2005 hadi mwaka 2009 ambapo aliondoka nchini na kudahiliwa chuoni hapo bila ya kuwa na matokeo hayo.

Upo uwezekano kuwa kwenye elimu ya huyu DC mteule kuna utata na usanii na hata shahada yake ni ya mambo ya usanii.

Anajisemea kuwa anatarajia kwenda chuo kikuu cha Dar es Salaam kusomea shahada ya pili kwenye mahusiano ya umma.

NB: Wapo marafiki zangu kibao waliotokea hapo Bangalore na kujitapa kuwa wana shahada ila walipoambiwa kuleta vyeti wengi wao ni ukweli walitunukiwa shahada zao za kwanza kwa kutumia matokeo ya vyeti vya kidato cha nne kama "Direct entry qualifications" na huenda Mchopanga ni mmoja wao. Je NACTE wameanza lini kuthibitisha kuwa shahada za aina hii ni credible kwa nchi yetu?
Cheo cha DC hata mtu ambae hajaenda shule anaweza kupewa, it is not a professional post!
 
Hakuna cha bora kusoma Ulaya wala wapi kote hovyo tu. Mbona waliosoma huko koote hatuoni maajabu yao?

Msomi gani ana maajabu nchi hii?
Huoni maajabu yao kwenye maisha yao, yako au wapi ?

Unawajua kina Mufuruki, Mo Dewji ?
 
Kusoma Form six siyo lazima ila inategemea na system ya elimu uliyopita.

Mfano: Kuna watu hawatumii mtaala wa NECTA hao huwezi kuwalazimisha wapite form six,

Je, Mchopanga kasoma mtaala tofauti ?

Kuna watu baada ya form 4 hupitia njia za vyuo vya kati ( cheti, diploma, bachelor ). Je kapita mfumo huo ?

Kama hajapita mfumo uliopo na unaoleweka hio ni fraud kama fraud nyingine.

Halafu unaleta upumbavu eti Kenya wanaishia form 4 mbona hujasema, Kenya wanasoma mpaka darasa la 8 huku sisi ni darasa la 7 ?
Acheni wivu. Wote mliosoma hamna kitu kipya kicwani ndiyo maana inakuwa ngumu kuwatofautisha na mchopanga.
 
Acheni wivu. Wote mliosoma hamna kitu kipya kicwani ndiyo maana inakuwa ngumu kuwatofautisha na mchopanga.
Wewe jamaa ni taahira. Siko hapa kusema kama huyo DC anafaa au hafai. Masuala ya uteuzi anayajua aliyewateua, na hakuna details sifa za mtu kuwa DC.

Hapa tunazungumzia elimu.
 
Dah, umeongea ukweli mtupu mm nimesoma DIT yaani full kukaririshwa tu madesa, laiti ningekuwa na uwezo wa kifedha nisingekubali kusoma bongo
Ninavyofahamu mimi engineering ni almost hesabu tupu sasa wewe ulikaririshwaje? Mtu anakaririshwa kusolve mfano integration? Hivi bila kusoma nadharia kwanza huo ufundi utauelewaje au ufundi kwako ni kurepair vitu vilivyoharibika tu bila kujumuisha pia design?

Watu mafundi wa kulaumu tu lakini hawawezi kutoa solution nini kifanyike.

Ukimaliza levo fulani ya elimu bila kuwa na uelewa wa ngazi hiyo wa kulaumiwa ni wewe sio chuo.
 
Niliposoma gazeti la MWANANCHI la leo ni kuwa yupo DC mmoja mteule ambaye anatokea kwenye tasnia ya wasanii ambaye alienda nchini India kwenye chuo kikuu cha Bangalore akisomea shahada ya kwanza kwenye mambo ya sanaa huku matokeo yake ya kidato cha sita yakiwa hayajatoka.

Kwa mujibu wa gazeti hilo ni kuwa Mchopanga huyo alipata udhamini na moja kwa moja kwenda kwenye masomo hayo kuanzia mwaka 2005 hadi mwaka 2009 ambapo aliondoka nchini na kudahiliwa chuoni hapo bila ya kuwa na matokeo hayo.

Upo uwezekano kuwa kwenye elimu ya huyu DC mteule kuna utata na usanii na hata shahada yake ni ya mambo ya usanii.

Anajisemea kuwa anatarajia kwenda chuo kikuu cha Dar es Salaam kusomea shahada ya pili kwenye mahusiano ya umma.

NB: Wapo marafiki zangu kibao waliotokea hapo Bangalore na kujitapa kuwa wana shahada ila walipoambiwa kuleta vyeti wengi wao ni ukweli walitunukiwa shahada zao za kwanza kwa kutumia matokeo ya vyeti vya kidato cha nne kama "Direct entry qualifications" na huenda Mchopanga ni mmoja wao. Je NACTE wameanza lini kuthibitisha kuwa shahada za aina hii ni credible kwa nchi yetu?
Hivi kwani ili uwe DC unahitaji kuwa na Degree??
 
Hapa tunazungumzia elimu.
Itakuwa hujui maana ya elimu. Rudi shule...

Yaani unasema aliyesoma hapa bongo hadi form 4 halafu akaenda nje kuchukua shahada huyo hajaelimika kwasabb hajasoma form 6?

Elimu humpa mtu maarifa. Kwahiyo unataka kusema maarifa yote yamefichwa form 6???

Mlienda shule kupata connection za ngono tu.
 
Sasa unataka matajiri wawili ili kuonesha kwamba elimu imewasaidia kutajirika? Acha kupotosha.
Unataka nifanye sensa kwamba wasomi wangapi wana mafanikio ?
Mbona huwataji akina Bakhresa Kishimba, Msukuma, Paul Nhwani, n.k
Huyo Bakheresa umeshapita kwenye website yake ( bakhresa.com ) uone wanaoendesha makampuni yake wana elimu gani na wamesoma wapi ?

Kwa taarifa yako angekuwa yeye ndio bado yuko front kwenye uendeshaji mpaka sasa angekuwa anaendesha Azam mgahawa.

Musukuma ni mtu aliepata bahati nasibu kwenye dhahabu, kitu ambacho kingeweza kumwangukia mtu yeyote bila kujali elimu yake.

Lakini utajiri wa kisomi kama wa Co-founder wa Kopagas hauwezi kuanguka kwa mtu kama Musukuma.
 
Itakuwa hujui maana ya elimu. Rudi shule...

Yaani unasema aliyesoma hapa bongo hadi form 4 halafu akaenda nje kuchukua shahada huyo hajaelimika kwasabb hajasoma form 6?

Elimu humpa mtu maarifa. Kwahiyo unataka kusema maarifa yote yamefichwa form 6???

Mlienda shule kupata connection za ngono tu.
Huna akili.
 
Unataka nifanye sensa kwamba wasomi wangapi wana mafanikio ?

Huyo Bakheresa umeshapita kwenye website yake ( bakhresa.com ) uone wanaoendesha makampuni yake wana elimu gani na wamesoma wapi ?

Kwa taarifa yako angekuwa yeye ndio bado yuko front kwenye uendeshaji mpaka sasa angekuwa anaendesha Azam mgahawa.

Musukuma ni mtu aliepata bahati nasibu kwenye dhahabu, kitu ambacho kingeweza kumwangukia mtu yeyote bila kujali elimu yake.

Lakini utajiri wa kisomi kama wa Co-founder wa Kopagas hauwezi kuanguka kwa mtu kama Musukuma.
Wasomi wa kibongo hawana kitu. Labda kama kuna bongo nyingine ktk sayari hii
 
Wewe mwenye akili una nn Cha tofauti? Taja kampuni ama kiwanda unachhomiliki. Au unamiliki comments za jamiiforums?
Siku nyingine usiwainamie watu ukifikiri kwasababu ni wasomi watakuacha. Utapelekewa motooooo🔥🔥🔥🔥🔥

Peleka moto🤣🤣🤣
 
Siku nyingine usiwainamie watu ukifikiri kwasababu ni wasomi watakuacha. Utapelekewa motooooo🔥🔥🔥🔥🔥

Peleka moto🤣🤣🤣
Haya Sasa. Huu ndiyo usomi wako Sasa? Umeishiwa hoja msomi uliyesoma mpk form 6 Kisha ukaenda chuo. Umeanza matusi.

Nimekupa challenge kwamba kama wewe ni msomi kweli una nini kinaonesha usomi wako?
 
Haya Sasa. Huu ndiyo usomi wako Sasa? Umeishiwa hoja msomi uliyesoma mpk form 6 Kisha ukaenda chuo. Umeanza matusi.

Nimekupa challenge kwamba kama wewe ni msomi kweli una nini kinaonesha usomi wako?
Unataka niorodheshe humu nina nini?
🤣🤣
 
Back
Top Bottom