TheCrocodile
JF-Expert Member
- May 31, 2021
- 1,199
- 3,307
Ku.ma la mamaake sasa akafirwe na manyampara wa jela.Jionee mwenyewe kauli ya kishujaa kutoka kwa kiongozi wa zamani wa uvccm Arusha , iliyomfanya Magufuli kumuongezea Majukumu .
Mengine yaliyotokea ni bahati mbaya tu
View attachment 1975715
Wahenga waliwahi kunena, Maji yakisha mwagika hayazoleki.Tumsamehe kwani umri ulimponza
Kuna kitu watu hawaelewi!Hii hukumu imenifikirisha sana, anyways wacha tusonge mbele! Naamini ndani ya CCM wengi wanaumia kimoyo moyo tu basi tu!
Ukiniambia mbowe kaonewa ntakuelewa lakini sio sabaya, huwezi vamia maduka ya watu na silaha halafu useme umetumwa na mamlaka, sabaya alikuwa mpuuziLeo Sabaya. Kesho unaweza onewa wewe.
TU!!!!!lakini aliaminiwa na JPM
Kwani alikuwa msaluti? Mbona ana gwanda?
Waliomshangilia Leo ndio pia wanamshangilia....uvccm oyeeeeJionee mwenyewe kauli ya kishujaa kutoka kwa kiongozi wa zamani wa uvccm Arusha , iliyomfanya Magufuli kumuongezea Majukumu .
Mengine yaliyotokea ni bahati mbaya tu
View attachment 1975715
Muda ule alikua anamuona nyapala LIVEAliponidondosha kwenye ajitetee
Je Chadema imefutika??Lengo ni kumfuraisha Magufuli,kuifuta chadema
Lakini mbona chadema bado ipo ?
Gambe la madarakani Lina stimu mbaya kuliko ngadaJionee mwenyewe kauli ya kishujaa kutoka kwa kiongozi wa zamani wa uvccm Arusha , iliyomfanya Magufuli kumuongezea Majukumu .
Mengine yaliyotokea ni bahati mbaya tu
View attachment 1975715
Hi picha inaongea maneno zaidi ya elfu moja, huenda NI kweli kuna Jeshi limeanzishwa na chama fulani NGULI
Mtu akishahukumiwa..na kuwa confirmed mhalifu
Jf isiruhusu thread zozote zile za kumpamba au kumtetea
Kuwepo na moral standards hapa JF
Maxence Melo
Ujinga mtup hakuna cha shujaa hapoJionee mwenyewe kauli ya kishujaa kutoka kwa kiongozi wa zamani wa uvccm Arusha , iliyomfanya Magufuli kumuongezea Majukumu .
Mengine yaliyotokea ni bahati mbaya tu
View attachment 1975715
Kuna jela za kujitafutia mwenyewe kwa upumbavu wako. Utatumiaje madaraka yako kukomoa wapinzani wako?Jela haina mwenyewe...
Tuweke akiba ya maneno. ...
Jela haina mwenyewe...
Tuweke akiba ya maneno. ...
Huyu jamaa ujana na Testosterone zilikuwa nyingi kuliko maarifa. Ukiwa unatumwa kufanya uhalifu hakikisha unakusanya ushahidi ili siku moja wanaokutuma wakikugeuka ushahidi uliokusanya unakuwa ndiyo bima yako. Kama ni kweli alitumwa kufanya alichofanya, angerekodi hata mazungumzo ya simu ya aliyemtuma kufanya uhalifu na maovu. Au kama alikutana naye uso kwa uso angerekodi mazungumzo kimya kimya awe nayo.