Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kwa nini wanaumia jambazi wa kutumia silaha kuhukumiwa?
Hii hukumu imenifikirisha sana, anyways wacha tusonge mbele! Naamini ndani ya CCM wengi wanaumia kimoyo moyo tu basi tu!