Hii hukumu imenifikirisha sana, anyways wacha tusonge mbele! Naamini ndani ya CCM wengi wanaumia kimoyo moyo tu basi tu!
Sasahivi yeye kaolewa gerezaniHuyu anajifariji wananchi wakiamuwa hana lolote sema watu wanapiga kazi ila huwa wanabadilika kama kinyonga lema pale ni kwao mzaliwa Wa kijiji cha Mronga na Bomangombe ni wilayani anakuwaje mhalifu?
Hapo alikuwa juu ya sheria mzeeUyu sabaya anasahau km kuna kesho
Unasema?Sabaya utamzeesha mzee Mbowe,punguza makali comrade
Sabaya kaonewa?Leo Sabaya. Kesho unaweza onewa wewe.
Una record mazungumzo ya Rais!!??Huyu jamaa ujana na Testosterone zilikuwa nyingi kuliko maarifa. Ukiwa unatumwa kufanya uhalifu hakikisha unakusanya ushahidi ili siku moja wanaokutuma wakikugeuka ushahidi uliokusanya unakuwa ndiyo bima yako. Kama ni kweli alitumwa kufanya alichofanya, angerekodi hata mazungumzo ya simu ya aliyemtuma kufanya uhalifu na maovu. Au kama alikutana naye uso kwa uso angerekodi mazungumzo kimya kimya awe nayo.
Unataka kusema Sabaya kaenda jela kwa bahati mbaya?Jela haina mwenyewe...
Tuweke akiba ya maneno. ...
Wacha kutufundisha wogaJela haina mwenyewe...
Tuweke akiba ya maneno. ...
Wote wenye roho mbaya na ujambazi walioamini wanaweza kufanya lolote weshika adabu. Mbwa kama nyieHii hukumu imenifikirisha sana, anyways wacha tusonge mbele! Naamini ndani ya CCM wengi wanaumia kimoyo moyo tu basi tu!
Pole sana. Unapenda iwe hivyo, lakini si kama upendavyo. Huna information za madudu ya Sabaya ndiyo maana unapata taabu kujaribu kuona kama "wanafanya hivyo.... Ili sijui iwe nini...... Hizi case ziko tofauti sana mkuu. Hii ya Sabaya ilikua wazi sana. Leo tr 18/10 anapandishwa tena kizimbani kwa case za uhujumu uchumi akiwa kwenye suti mpya.Ukiangalia deep hii hukumu haimuhusu sabaya kuna mtu anaandaliwa kulimwa sa ili malalamiko yasiwe mengi wanajifanya kumsweka sabaya ili kusema sheria haichagui chama....hahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
hii kadi haujamwokoa asile nvua hamsa sate ? mbona ?Na tapeli namba moja eti undercover? View attachment 1270910
Ina maana hukuona kwamba matendo yake yangeilazimu mahakama kutoa hukumu kama hiyo?? Ni kipindi cha mwendakuzimu tu ndiyo hili lisingewezekana kwa sababu mahakama isingekua huru. Nani kwanza angemfungulia kesi mtoto mpendwa?Kwani atakuwa kada wa kwanza kufungwa?!!! Khaaa [emoji15][emoji15][emoji15]
Mahakama haina mwenyewe....haki ikitendeka inatendeka tu ....
TUWEKE AKIBA YA MANENO KUNA KESHO PIA....
Jela haina mwenyewe....
Hatimaye yule mamba uliyemtahadharisha keshamtia kimyiani.!Sabaya wewe Mwenyewe umesahau kesi yako kujifanya Usalama wa Taifa.
Ulifaa uwe Jela ukitumikia kifungo ,dhidi ya jinai ulizotenda kwa kujifanya Usalama wa Taifa.
Kumbuka usitukane Mamba kabla hujavuka Mto,
Bado nakuona wewe ni Mfungwa wa Kesho.
Tena kifungo cha miaka 30, bado aseme CCM iko naye?? Jumbe Brown..kada akifungwa maana yake ni kwamba CCM imemtosa, na haina haja naye tena.
Ha ha ha ha ha nani atazeeka Sasa jombaaa kumbuka komredi wako yupo KisongoSabaya utamzeesha mzee Mbowe,punguza makali comrade
Nikusahihishe kidogo hapa. Ulitakiwa useme Mungu ni BWANA wa vita.Mungu ni Mungu wa Vita.
Nimeamini sasaAkizungumza Na Wazee 300 wa wilaya Ya Hai nyumbani kwake Uzunguni Bomang'ombe DC Sabaya Ametangaza onyo Kali dhidi ya Wahalifu wa kisiasa ambao kwa mara zote wamekuwa wakiitumia wilaya Hio Kama sehemu ya kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa kufanya siasa za kihalifu ili wapate kiki.
Ole Sabaya Ametoa Onyo ilo la mwisho dhidi ya Wahalifu,Hili linawadia Siku chache baada ya Kukamatwa kwa Mbunge wa Arusha Mjini Lema ambae alikutwa akipanga uhalifu katika nyumba moja uko Dorcas Bomang'ombe Hai Kisha kuruka ukuta baada ya kuona polisi,
Tayari Ole Sabaya alishawashikilia Wahalifu wa kisiasa wakiwemo Mashinji,Owenya na wengine wengi ambao walijaribu kuleta taharuki wilayani humo.
View attachment 1271868
Kabisa, na bado havijaisha. Kuna kama viwili vimebaki mtaani, ila time will tell, vinapukutishwa soon.Vimeo nchi hii ni vingi.
Sabaya kaonewa?