Ha ha ha ha eti nimefura kwa hasira, usinichekeshe!!hata mimi naona.
mana ile 'statement' yko ulivuoitoa namm nkavuta taswira 'physically' mda huu unayatoa mneno hayo cjui una hali gan?.
mana jinsi ulivyofura kwa hasira mpk zimejitokeza katika maandishi..!!!!
kabisa naweza jaribu uoneWe unaweza?
Hela.
Mtu atajibu anaweza ila kiuhalisia hakuna anayependa, unajua kabisa mume wangu leo yupo sehemu ananjunju mimi ningeleta visa kila siku.We unaweza?
Ilikuwa ngumi ngumi kila siku akizidisha siku kwa mmoja asubuhi lazima kitimkeHawawezi kukaa kwa amani. Labda mume akawaroge awafanye mazezeta.
Haijamaliza hata mwaka. Agosti 2017 juzi tu hapokumbe ya juzi tu?
Acha kuzingua, pm zangu za kukuongeza mke wa pili huzijibuUkiacha suala la dini yake kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja ila kumkaribisha mke mwenzio hadharani hivi ni ushujaa uliotukuka. Hongera bi Zainab kwa kukubali mwenzio nyumbani.
View attachment 699033
View attachment 699031
Na nyie wengine mloolewa fanyeni kama Zainab mtupunguze tusio na ndoa mtaani.
Mie nahisi watakuwa wame differ hao sasa wanaachana ki aina. DC kupunguza makali ya watu kaamua kujifaragua kuwa ameridhiaMwanaume kukuolea, akuolee ushaish naye zaidi hata ya miaka kumi yaani hata akikuolewa ule wivu hunaa sio wakivile mshazoeana Sana sio akuolee ndoa hata mwaka bado hii Hapana.
Anajikosha bwana
mzigua, huyu mama mwongo, hakuna asiyekuwa na wivu, ANAFICHA AIBU TU YA KU RAP NA MKE MWENZA ! SI VIZURI KUZOZANA NA CHEO CHAKE YAKASAMBAA MITAANI, UNACHOFANYA UNAJIFANYA KUKUBALI NAHUJANingekua ni mimi pepo kwa style hii hapana.
Ha ha ha ha eti nimefura kwa hasira, usinichekeshe!!
Usifanye mchezo na kuletewa mke wa pili
Si kweli, hiyo ni propaganda ya kukandamiza wanawake.Ataiona pepo mwanamke anamyemkaribisha mwanamke mwenzake kuolewa na mume wake na kuishi naye katika wema.
Ahaaa wapi kwa kifupi siwezi nimewaachia wenzangu wenye huo moyo.kawaida tuu..
itaumia siku za mwanzoni ila baadae utazowea utajionea kawaida tu
Weka picha zao tulinganishe maana huyu mpya ni kifaa cha nguvu!Eiish. Kwani ye anashindwa nini?
Labda kapata kipozeo kingine huko anakokuwa busy, mumewe kumpa taarifa ya kuongeza mke akaona isiwe shida.Wasisingizie CCM. Wengine walikua busy na ACT? Mbona ndoa zao zipo imara bado