DC Simalenga: Yule binti hakupigwa kama inavyosimuliwa, nilimpa warning. Nilitaka kumpiga nikamshika Mkono akaomba Msamaha!

DC Simalenga: Yule binti hakupigwa kama inavyosimuliwa, nilimpa warning. Nilitaka kumpiga nikamshika Mkono akaomba Msamaha!

Kumbe uko kisiasa

Sasa mbona mkitiwa adabu kwa kutandikwa risasi " miguuni" mnalalamika dunia nzima?
Ww jamaa buana nimekuuliza swari lakini unajizungusha tu.
Nimekuuliza ni adhabu gani huwa unampa mtoto wako pale anapo kosea ili na ss wengine tujifunze kwako lakini hunipi jibu zaidi ya ngonjera.
 
Angempiga mke wangu ningezaa naye mapacha.
Yeye anampiga mtu kama nani?
Inatakiwa chawa mmoja aoneshwe mfano.
 
Kwa nini alitaka kumpiga na alitaka kumpiga kama nani....!?

Lazima kulikuwa na witness wengi tu, hivyo kama hawatatishwa ukweli utajulikana. Yaani kitendo cha yeye kushika mkono tena mtoto wa kike... Yaani ni kosa kubwa sana.

Hiki kiburi cha Wakuu wa Wilaya toka enzi za JPM inabidi kidhibitiwe. Nakumbuka akina Chalamila waliwahi piga watoto wa watu halafu kuna watu wakawa defend. Sasa haya ndiyo matokeo yake.

Enzi za JK kuna Mkuu wa Wilaya alimtandika viboko mwalimu wa shule ya msingi.... Kikwete alimtimua kazi kesho yake.

Sitashangaa kusikia ana negotiate dau ili atoke salama. Kwa hiyo matokeo ya uchaguzi nafikiri tayari yameshajulikana.
Kwa nini alitaka kumpiga na alitaka kumpiga kama nani....!?

Lazima kulikuwa na witness wengi tu, hivyo kama hawatatishwa ukweli utajulikana. Yaani kitendo cha yeye kushika mkono tena mtoto wa kike... Yaani ni kosa kubwa sana.

Hiki kiburi cha Wakuu wa Wilaya toka enzi za JPM inabidi kidhibitiwe. Nakumbuka akina Chalamila waliwahi piga watoto wa watu halafu kuna watu wakawa defend. Sasa haya ndiyo matokeo yake.

Enzi za JK kuna Mkuu wa Wilaya alimtandika viboko mwalimu wa shule ya msingi.... Kikwete alimtimua kazi kesho yake.

Sitashangaa kusikia ana negotiate dau ili atoke salama. Kwa hiyo matokeo ya uchaguzi nafikiri tayari yameshajulikana.
si yule DC wa Geita alikuwa anaitwa Albert Mnali alikuwa mwanajeshi mstaafu.Kumbukeni mama yetu Mhe Salma alikuwa mwalimu hivyo mama aliona wamedhalilishwa mzee akaamua kumtoa DC.Hata hivyo huyo DC alipata shavu sehemu ingine tena mshangae sasa
 
Karibu kila siku kwenye kipindi cha Nipashe Radio 1 hukosi taarifa inayomuhusu kutokea Songwe ila ukifuatilia nyingi zinahusu kugombezana, Mikwala mara kapiga marufuku hiki au kile mpaka nikajiuliza Ina maana hiyo wilaya hakuna mazuri yanayopaswa kuripotiwa? Au Mkuu wake kila siku yeye ni kugombana na wananchi wake!?
ITV wanaendekeza urafiki, sio huyo tu kuna Dc Gondwe wa kinondoni, kila akiongea na wananchi anafoka, utadhani anaongea na watoto wake nyumbani.

Hivi vyeo vya Rc, na DC havina tofauti na vile vya kikoloni,

Unakuta Rc anakuja kwenye mkutano na wananchi ameambatana na 1) ofisa JWTZ, RPC, mkuu wa uhamiaji mkoa, TISS mkoa, Magereza, na Mgambo.
Sasa kama sio kuwatisha wananchi no nini?
Ukiuliza unaambiwa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi, na vyombo vyote viko chini yake, katika eneo lote la utawala,
 
Karibu kila siku kwenye kipindi cha Nipashe Radio 1 hukosi taarifa inayomuhusu kutokea Songwe ila ukifuatilia nyingi zinahusu kugombezana, Mikwala mara kapiga marufuku hiki au kile mpaka nikajiuliza Ina maana hiyo wilaya hakuna mazuri yanayopaswa kuripotiwa? Au Mkuu wake kila siku yeye ni kugombana na wananchi wake!?
Kabisa aisee ni aina ya wale viongozi wanaolazimisha mambo wakati uwezo wao mdogo. Jambo la kutumia akili na busara yeye anatumia kalipio. Ukisikia psychological hazard ndo hao sasa.

Tayari ashamwathiri huyo binti awe amempiga ama hajampiga kitendo cha kumshika mkono na kumtishia kumpiga hafai kuwa DC.
 
Taifa Maskini daima limejaa watu wenye Roho mbaya, kuombea mabaya wenzao kuomba wenzao wapate shida nk.
Mhe.DC ampige mtoto wa shule ngumi for what?? Somtimes tutumie akili badala ya kutanguliza Roho ya Uchawi.
 
...Alitakiwa Kwanza awe Nje ya Ofisi Uchunguzi Ukifanyika!...
Nchi ngumu hii mzee uwajibikaji wa viongozi ni zero, nchi inaongozwa na matamko. We subiri kusikia tamko ama ufafanuzi afu mambo yanaisha.
 
@johnthebaptist huyu DC amekulipa kiasi gani? Unaanzisha mada za kumsafisha kila mara,
Mwache abebe msalaba wake,
Akifukuzwa, au akibaki hupungukiwi na kitu, Labda kama wewe ndiye DC mwenyewe unajietea, maana humu tunatumia I'd fake,
Katetea nini sasa hapo?

Huyu anacopy na kupest habari za mitandaoni.

Habari kama hii nami nimeiona sehemu!
 
Taifa Maskini daima limejaa watu wenye Roho mbaya, kuombea mabaya wenzao kuomba wenzao wapate shida nk.
Mhe.DC ampige mtoto wa shule ngumi for what?? Somtimes tutumie akili badala ya kutanguliza Roho ya Uchawi.
Nadhani umerukia treni kwa mbele!

Picha za mwanafunzi anayedai kuumizwa jicho na Dc kwa kipigo pamoja na maelezo ya mashuhuda waliokuwepo uwanjani haujaziona popote?

Mambo yote hayo kama itakuwa ni ghushi, basi Tz tutakuwa tumefikia kiwango cha juu sana katika teknolojia ya mawasiliano!
 
Labda shule zenu za kayumba ndio wanachapa ,shule za school bus ni marufuku kumchapa mtoto.

DC alitaka ampige tena anafungua bakuli na kutoa kauli ya kijinga....Polisi tu haruhusiwi kupiga mtu ndiyo iwe DC?
Kuna shule moja ya school bus wanachapa watoto balaa, eti ili wafaulu
 
Umepanic sana Mkuu mpaka unakosea kila mahari kuandika.Tulia uchunguzi ufanyike,kama hukumpiga mwanafunzi utasalimika tu,otjerwise tunakufahamu kipaji chako cha uigizaji,hushindwa kitwist mambo wewe.
Kasema kavimba mashavu ? Ni kweli?
 
Ila hizi mambo bana saa ingine bora kukaa kimya tu inaweza kusaidia sana kuliko kuona unajitetea kumbe ndo unaharibu.
 
Back
Top Bottom