Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
Kuna miongozo kibao hadi kufikia kumwadhibu mwanafunzi ila walimu wasio elimika ndiyo hudhani adhabu hutolewa tu kiholela.Shuleni wanafunzi hawachapwi?
Utaratibu wa kumwadhibu mwanafunzi ni mchakato mrefu na iliwekwa hivyo ili kuzuia adhabu holela.
Mkuu wa wilaya hana mandate yoyote ya kumwadhibu ama kumpiga mtoto/raia.