Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mwanachama wa JamiiForums, aliandika kuhusu kinachondelea katika Shule ya Mandimu kuwa kuna Mwanafunzi ambaye anawadhalilisha Wanafunzi ikiwemo kuwapa adhabu kali kiasi cha kusababisha wengine waache Shule.
Shule hiyo inapatikana Kata ya Mungaa, Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida, Serikali imesema kuwa suala hilo limefika kwao na linafuatiliwa kwa ukaribu.
Kusoma hoja ya Mwanachama, bofya hapa ~ Serikali imchunguze Mwalimu huyu wa Shule ya Mandimu (Singida), matendo yake ni tishio kwa Wanafunzi
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Thomas Apson
Akizungumza na JamiiForums, Apson amesema “Suala hilo limetufikia, nikaituma taarifa hiyo kwa Mkurugenzi na Afisa Elimu ambao wanashughulikia.
Nimeelekeza ufanyike uchunguzi ili kama ni jambo la kweli basi hatua zichukuliwe dhidi ya huyo Mwalimu kwa kuwa kuacha suala hilo lipite bila kufanya maamuzi linaweza kuathiri Jamii yetu.
Mbona sisi Viongizi hatupigi watu hata kama wanatukosea, kuna taratibu zinazotakiwa kufanyika, kwani kama ni kweli hapo pia kuna kosa la Jinai.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Thomas Apson
Nitoe pongezi tu kwa JamiiForums kwa kuibuka hoja kama hizo kwa kuwa zinasaidia Serikali na Mamlaka nyingine kutambua nini kinachozungumzwa na Wananchi.
Polisi nao wanaweza kuwa na nafasi yao ya kufanya uchunguzi wa suala hilo kwa kuwa linahusisha Jinai.
Hivyo, uchunguzi unafanyika na inawezekana kesho (Novemba 15, 2024) tukawa tumepata mrejesho wa kinachoendelea.
Shule hiyo inapatikana Kata ya Mungaa, Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida, Serikali imesema kuwa suala hilo limefika kwao na linafuatiliwa kwa ukaribu.
Kusoma hoja ya Mwanachama, bofya hapa ~ Serikali imchunguze Mwalimu huyu wa Shule ya Mandimu (Singida), matendo yake ni tishio kwa Wanafunzi
Akizungumza na JamiiForums, Apson amesema “Suala hilo limetufikia, nikaituma taarifa hiyo kwa Mkurugenzi na Afisa Elimu ambao wanashughulikia.
Nimeelekeza ufanyike uchunguzi ili kama ni jambo la kweli basi hatua zichukuliwe dhidi ya huyo Mwalimu kwa kuwa kuacha suala hilo lipite bila kufanya maamuzi linaweza kuathiri Jamii yetu.
Mbona sisi Viongizi hatupigi watu hata kama wanatukosea, kuna taratibu zinazotakiwa kufanyika, kwani kama ni kweli hapo pia kuna kosa la Jinai.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Thomas Apson
Nitoe pongezi tu kwa JamiiForums kwa kuibuka hoja kama hizo kwa kuwa zinasaidia Serikali na Mamlaka nyingine kutambua nini kinachozungumzwa na Wananchi.
Polisi nao wanaweza kuwa na nafasi yao ya kufanya uchunguzi wa suala hilo kwa kuwa linahusisha Jinai.
Hivyo, uchunguzi unafanyika na inawezekana kesho (Novemba 15, 2024) tukawa tumepata mrejesho wa kinachoendelea.