DC wa Kinondoni Godwin Gondwe hivi ile IQ yako Kubwa ninayoijua imepotelea wapi?

DC wa Kinondoni Godwin Gondwe hivi ile IQ yako Kubwa ninayoijua imepotelea wapi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani unahojiwa na Radio One kupitia Mtangazaji wao Godfrey Monyo kuhusu Kukosekana kwa Maji Wilaya anayoishi GENTAMYCINE ya Kinondoni badala ya Kujibu Kiufasaha na Kiutaalam Wewe unaanza Kujibu Kisiasa Kisiasa huku muda wote ukibabaika babaika tu.

Godwin Gondwe ( DC Kinondoni ) nakufahamu vyema kama mwana Tasnia na Mhadhiri mzuri sana na Kichwani uko vyema mno ( Intelligent ) ila nashangaa tokea uteuliwe huko Serikalini ile IQ yako Kubwa ninayoiheshimu siioni tena.

Yaani 'Intellectual' kama Wewe Kamarada ( Comrade ) wangu DC Kinondoni Godwin Gondwe unaamini kuwa huu Uhaba wa Maji uliosababisha huu Mgawo wa Maji unatokana na Ukame wa Maji kule Mto Ruvu Mkoani Pwani?

DC Gondwe unaniangusha mno tu!!!
 
Lini aliwahi kuwa na IQ kubwa?

Kifupi hicho unachokiona leo ndio IQ yake ilipoishia hapo hakuna kipya.

Bahati mbaya huwa tunawapima watu kwakuongea ongea tu kwente publuc na sio uwezo wao kwenye matokeo.
 
Bahati mbaya huwa tunawapima watu kwakuongea-ongea tu kwente publIc na sio uwezo wao kwenye matokeo...
 
Yaani unahojiwa na Radio One kupitia Mtangazaji wao Godfrey Monyo kuhusu Kukosekana kwa Maji Wilaya anayoishi GENTAMYCINE ya Kinondoni badala ya Kujibu Kiufasaha na Kiutaalam Wewe unaanza Kujibu Kisiasa Kisiasa huku muda wote ukibabaika babaika tu.

Godwin Gondwe ( DC Kinondoni ) nakufahamu vyema kama mwana Tasnia na Mhadhiri mzuri sana na Kichwani uko vyema mno ( Intelligent ) ila nashangaa tokea uteuliwe huko Serikalini ile IQ yako Kubwa ninayoiheshimu siioni tena.

Yaani 'Intellectual' kama Wewe Kamarada ( Comrade ) wangu DC Kinondoni Godwin Gondwe unaamini kuwa huu Uhaba wa Maji uliosababisha huu Mgawo wa Maji unatokana na Ukame wa Maji kule Mto Ruvu Mkoani Pwani?

DC Gondwe unaniangusha mno tu!!!
Mkuu wake wa kazi katangaza mgao wa maji , uzalishaji upo chini 64% , na unaendelea kushuka kadri ukame unavyoshika hatamu ...ulitaka Godwin Gondwe ajibu nini cha zaidi ikiwa high command ilishalitolea ufafanuzi.

Kuongezea lolote ni kujitakia Kufukuzwa kazi
 
Mkuu wake wa kazi katangaza mgao wa maji , uzalishaji upo chini 64% , na unaendelea kushuka kadri ukame unavyoshika hatamu ...ulitaka Godwin Gondwe ajibu nini cha zaidi ikiwa high command ilishalitolea ufafanuzi ... Kuongezea lolote ni kujitakia Kufukuzwa kazi
Kwani akifukuzwa Kazi huko Serikalini atashindwa Kurejea rasmi Tumaini / Mwenge University kuendelea na Kazi yake ya awali ya Kukufunzi / Kuhadhiri?

Mishahara ya DC's na Lectures wa Universities haipishani kivile labda tu uniambie DC anakuwa tu na hiyo Hadhi ya Uheshimiwa na siyo vingine.

Unaonekana ni Muoga sana Mkuu!!!!!
 
Hata wewe GENTAMYCINE siku ukipewa V8 ambayo gharama ya mafuta na service sio juu yako, hutakua na ufahamu uliokua nao Sasa.
Unamkumbuka Makonda, Unamkumbuka Bashiru, from a respected lecturer to....unamkumbuka 7bay, unamkumbuka Ali Hepi mkulima wa nyanya kwa sasa. Mifano Ni mingi
 
Hata wewe GENTAMYCINE siku ukipewa V8 ambayo gharama ya mafuta na service sio juu yako, hutakua na ufahamu uliokua nao Sasa.
Unamkumbuka Makonda, Unamkumbuka Bashiru, from a respected lecturer to....unamkumbuka 7bay, unamkumbuka Ali Hepi mkulima wa nyanya kwa sasa. Mifano Ni mingi
Nawakumbuka Wote Mkuu ila huyo ( huyu ) Ali Hepi kama ulivyomuandika hapa simjui ni nani?
 
Ukijiona uko kwenye position fulani na hauna solutions ya matatizo, wewe ni zuzumagic, kaa pembeni, pisha wengine wafanye kazi.

Tumechoka kuwa na viongozi wazembe, wasio na maono, wapo tu ofisini ili wapigwe na ac, kisha waingie kwenye ma vi yeite yenye ac, kisha walipwe mishahara mikubwa na marupupu bure.

Mkuu wa wilaya kazi yako ni nini? Umeshindwa kutenga eneo la kujengwa tanki la maji ya akiba yatakayovunwa kutoka kwenye mvua na kuhifadhiwa yakatumika wakati wa ukame?

Mama Samia akikunyima hela sisi wananchi tutachanga.

Godwin Gondwe umefeli
Yaani unahojiwa na Radio One kupitia Mtangazaji wao Godfrey Monyo kuhusu Kukosekana kwa Maji Wilaya anayoishi GENTAMYCINE ya Kinondoni badala ya Kujibu Kiufasaha na Kiutaalam Wewe unaanza Kujibu Kisiasa Kisiasa huku muda wote ukibabaika babaika tu.

Godwin Gondwe ( DC Kinondoni ) nakufahamu vyema kama mwana Tasnia na Mhadhiri mzuri sana na Kichwani uko vyema mno ( Intelligent ) ila nashangaa tokea uteuliwe huko Serikalini ile IQ yako Kubwa ninayoiheshimu siioni tena.

Yaani 'Intellectual' kama Wewe Kamarada ( Comrade ) wangu DC Kinondoni Godwin Gondwe unaamini kuwa huu Uhaba wa Maji uliosababisha huu Mgawo wa Maji unatokana na Ukame wa Maji kule Mto Ruvu Mkoani Pwani?

DC Gondwe unaniangusha mno tu!!!
 
Back
Top Bottom