raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
HakikaUkweli una gharimu maisha ya watu wengi sana
Ukweli gani?.Ukweli una gharimu maisha ya watu wengi sana
Haikupaswa kuishia hapo ilibdi apelekwe ahojiwe kuhusu aliyoyasema maana yeye kama kiongozi anajua ukweli wa alichokisemaMh.Rais havumilii ujinga....
Kudos mh.Rais SSH[emoji2956]
Hiki hapa alichofanyaAlifanyaje?
Alitoa kauli gani?.Alizingua na kauli zake
Vyeo vya kuteuliwa ni shida sana, muulize NapeKazi kwelikweliView attachment 3084396
Hii hapaAlitoa kauli gani?.
Hujui alichokiongea huyo mkuu wa wilaya?Ukweli gani?.
Hapana mkuu.Hujui alichokiongea huyo mkuu wa wilaya?