4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Na mimi sasa niteuliwe ndani ya 24hrs nitumbuliwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona asanteHujui alichokiongea huyo mkuu wa wilaya?
Yanayofanyika sirini yabaki sirini. Hata kwenye vyama vya upinzani kuna ya sirini yanafanyika na hayatakiwi kusemwa.Anatumbuliwa kwa kusema ukweli?
Mkuu wa wilaya amesema ukweli, Nape alisema ukweli, Samia hataki watu wajue ukweli.
Sawa mkuuNimeona asante
Ahsante MM kwa msamiati murua.. mwanzo nilidhani ni typing errorWataanza kuchunga makanwa yao..walisahau ya Nape...
wingulamashahidi.org
Uchaguzi wa 2020 walichakachua matokeoAlitoa kauli gani?.
Ipo siku na haiko mbali watatutajia wapi walipoutupa mwili wa Ben Saanane na ni nani alimpiga risasi Tundu LissuNingeshangaa siku iishe hivihivi. Ila Mungu fundi nyie. Yaani wanajisema wenyewe bila kibano.
Kama Nape.Kaongea nini huyo mkuu wa wilaya
Ova