Katoa siri ya maccm kupita bila kupingwaKaongea nini huyo mkuu wa wilaya
Ova
Ameleta taharuki Tu. Hata kama ni ukweli ila hakupaswa kuropoka hovyo Hususani kwa cheo chakeKwahiyo sikuhizi Mh. Rais hataki wananchi waambiwe ukweli kuhusu uchafu wa Serikali? Au anataka kusikia mama anapiga mwingi basi.
Ile hoja ya kupinga TAMISEMI kusimamia uchaguzi "ushahidi wake ndio huu"
Tangu lini mchawi kutoa siri za wachawi wenzie wakamwacha hai?
Labda kama angekuwa Mkuu wa MkoaHivi hakunaga msamaha
Kazingua au kazindua wa waliokuwa wamelala wakati wa chafuzi?Alizingua na kauli zake
Kua jasiri ndio nini?Haya yeye ni jasiri, haogopi kitu aendelee sasa kua jasiri
Kazingua kwa boss wake. Kwako anaweza akawa Sawa.Kazingua au kazindua wa waliokuwa wamelala wakati wa chafuzi?
Na wale aliowaua kule Maporini itakuwaje? Akamatwe basi
Unaambiwa mpaka sasa walishamaliza kila kitu yatayofuata ni kiini macho tuDC katurahisishia kazi, hakuna haja ya kupanga foleni huko kupigwa jua.....nitatulia ndani
KuzinguaKua jasiri ndio nini?
Kusema kwake ukweli kumemponza kwenye zama hizi za utawala uliobatilikaAlizingua na kauli zake