Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila kasema ukweli kazi kwao watajua wenyewe,kaona asije kufa na jambo moyoni siku mojaAlizingua na kauli zake
Ushajiandaa kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa?Jini kwa jino😂
Kuvumilia ujinga vipi, sema havumilii ukweli. Halafu bado kuna watu wanadanganya watu waende wakashiriki uchaguzi!Mh.Samia Suluhu Hassan Rais wetu bora asiyevumilia ujinga wa watendaji wake...
Jini kwa jinoHivi hakunaga msamaha
Yatawatokea huko huko mbele.. Nyambilisi hawa🤬🤬🤬🤬Ccm mbele kwa mbele
tunasubiri machozi ya mushambwaMh.Samia Suluhu Hassan Rais wetu bora asiyevumilia ujinga wa watendaji wake...
Kuzima upepo uliovuma atapangiwa kazi nyingine soon CCM usiichezee Ina Watu wakeAlizingua na kauli zake
Hakuna siri ya zaidi ya mtu mmoja.Ukweli utajitokeza tu haijalishi utachukua miaka mingapi.ni swala la muda tu.Yanayofanyika sirini yabaki sirini. Hata kwenye vyama vya upinzani kuna ya sirini yanafanyika na hayatakiwi kusemwa.
Ikitokea mmoja anasema ya sirini huyo sio mmoja kati ya wahitajika sirini, lazima aliwe kichwa.
This is how system works!
Alifanya km alivyofanya Nape kule naniu kutoa Siri ya kambi hadharani ni MwikoAlifanyaje?
Ccm haitaki msema kweli. Wezi hawaaAliongea ukweli wanavyofanya huko maporini ndio maana wanapata hizo teuzi..
Upi?Upumbavu wake umemponza.
siku zinakuja na siku zimefika yanayofanyika sirini yatahubiriwa juu ya jukwaaYanayofanyika sirini yabaki sirini. Hata kwenye vyama vya upinzani kuna ya sirini yanafanyika na hayatakiwi kusemwa.
Ikitokea mmoja anasema ya sirini huyo sio mmoja kati ya wahitajika sirini, lazima aliwe kichwa.
This is how system works!
Si unaona mpenda amani anawaondoa wezi wa kura jitokeze mwananchiAaaah sitaki kuchoka jua na vumbi wakati michakato tayari....
Kutoa siri.Upi?
ccm wamepatwa na taharukiAmeleta taharuki Tu. Hata kama ni ukweli ila hakupaswa kuropoka hovyo Hususani kwa cheo chake