TANZIA DCI wa zamani, Robert Manumba afariki dunia

Unataka kusema kafariki sasa hivi?
Basi apumzike kwa amani
 
Chini ya uongozi wake Mwakyembe alitegeshewa sumu na kumfanya kunyonyoka ngozi na nywele mpaka leo hajawahi kutuambia ni akina nani walihusika

Hakuwahi kuweka bayana ni nani alimteka na kumtesa Dr. Ulimboka japo alijisifu lazima upelelezi ukamilike na wahalifu wakamatwe.
 
Mkurugenzi mstaafu wa makosa ya Jinai DCI Robert Manumba amefariki dunia usiku huu.

Taarifa zaidi zitakuja hivi punde
Hivi bado alikuwa ofisini ?!.

Tutendeane uema tu. Hakuna sababu za kubambikizana vyesi .

RIP DCI Manumba .
 
kuna wakati aliwahi kuugua malaria kali iliyofika hadi eti vidudu elfu 50 , inasemekana aliponea Johannesburg .
Eeh! Malaria parasites elfu hamsin kiongozi mwenye cheo kikubwa hvyo??

Au ndo mambo lya ugha zle za mgandamizo wa damu au kiharusi, kumbe Moto ushawaka long time?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…