Inasemekana alitandikwa kitu cha ncha kali , lakini wakaamua kusingizia malariaYani vitatu tu kwa wengine iwe shida ila kwake elfu 50 basi inaonekana alikuwa na kinga za kutosha.
Hivi bado alikuwa ofisini ?!.Mkurugenzi mstaafu wa makosa ya Jinai DCI Robert Manumba amefariki dunia usiku huu.
Taarifa zaidi zitakuja hivi punde
Poti wabheje sana Ngika ntapita hapo kwenye ile pub yetu yenye kigorofa cha mbao mbao Masumbwe mko juu mnatisha kana KIGALIAsante mkuu kwa taarifa ukitoka kuzika karibu hapa masumbwe ule michembe kidogo na watoto wakinyarwanda nakuandalia maeneo ya ushirombo
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Alistaafu 2013.Hivi bado alikuwa ofisini ?!.
Tutendeane uema tu. Hakuna sababu za kubambikizana vyesi .
RIP DCI Manumba .
[emoji16] Panaitwa Mang'ombe!! Warembo nje nje! Masumbwe yetu!Poti wabheje sana Ngika ntapita hapo kwenye ile pub yetu yenye kigorofa cha mbao mbao Masumbwe mko juu mnatisha kana KIGALI
Eeh! Malaria parasites elfu hamsin kiongozi mwenye cheo kikubwa hvyo??kuna wakati aliwahi kuugua malaria kali iliyofika hadi eti vidudu elfu 50 , inasemekana aliponea Johannesburg .
Hahaha kama Picnic Arusha ukienda Mpanda The Digital...Kigoma G Pub...Tabora Oxygen[emoji16] Panaitwa Mang'ombe!! Warembo nje nje! Masumbwe yetu!
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Watongelaga ongosha.πππBhageshi mapoleni sana ...
Yale Nzangaba getegete nakwiza Bhageshi to nshindekele oohMshilikaleWatongelaga ongosha.πππ
Ndoho tabhu tokonshindekeja.Yale Nzangaba getegete nakwiza Bhageshi to nshindekele oohMshilikale