wakatanta
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 2,594
- 3,158
Umezaliwa jana?Vp alihudumu enz za kuku ngendu wa chato au enz za vasco jakaya gama?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezaliwa jana?Vp alihudumu enz za kuku ngendu wa chato au enz za vasco jakaya gama?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ndio maana
Ajabu kafa.Nin cha ajabu?
Nin cha ajabu?
Aliyekufa ni Manumba tunayemjua wengi au huyu Manumbi unayemjua peke yako na labda na Familia yako tu?R.I.P Manumbi
Ajabu kafa.
Tusijisahau hapa duniani tunapita tuu..
Binadamu unafikia mahali unajiona Mungu mtu!
nawewe ujifunze kwamba hata makatili wanazeeka pia,sio utia huruma muda wote
Je huyo katili anajua kama kuna uzee na fainali yake chini ardhi?nawewe ujifunze kwamba hata makatili wanazeeka pia,sio utia huruma muda wote.
wadutya au sunlise niko igulwa mkuuAsante mkuu kwa taarifa ukitoka kuzika karibu hapa masumbwe ule michembe kidogo na watoto wakinyarwanda nakuandalia maeneo ya ushirombo
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Je huyo katili anajua kama kuna uzee na fainali yake chini ardhi?
Nakuoa somo... Tenda mema hata kama kazi yako inakusukuma ufanye ubaya wewe toa haki..
Mwanadamu anatokana na udongo na udongoni ndio malalio yake..
ina maana na huyu ni ule ugonjwa kinzani???RIP Robert Manumba
Tuliambia takwimu zinapikwa. Zitakuwa hazijawiva.
Tahadhari wandugu.
Hakuvifungulia mashtaka ya ugaidi hivyo vidudu?kuna wakati aliwahi kuugua malaria kali iliyofika hadi eti vidudu elfu 50 , inasemekana aliponea Johannesburg .