Ndugu wa shujaa Hamza warejeshewe dhahabu zilizo porwa na mapolisi, tuanzie hapo.
kama kweli unazijua hizo dhahabu njoo polisi utoe maelezo fasaha, vinginevyo na wewe ni Gaidi uliyekuwa unashirikiana na Gaidi Hamza.
Hamza alifilisika kitambo alikuwa anaganga njaaa tu, Migodi yenyewe ni migodi ile au matuta ya viazi?!
Jeshi letu la Polisi Chunguzeni na mfuatilie nyenendo za baadhi ya wafuasi wa Chadema baadhi yao ni Magaidi. Mwenyekiti wao alisha wafundisha ugaidi
 
Hii inaitwa funika kombe mwanaharamu apite! Mbowe tunaemjua tunaambiwa ni Gaidi, sembuse marehemu Hamza tena ana asili ya Kisomali! 🤣
Nahisi mapolisi wana hamu ya kuona ugaidi halisi kama ktk nchi za wenzetu
 
Kama Taifa tunalenga wapi?Mama yuko busy kupiga mapicha ili kuitangaza nchi ya Tanzania,kuvutia watalii na wawekezaji,huku, Polisi wako busy kuichafua nchi kwamba Mbowe alitoa tshs laki 6 kufadhili ugaidi na Hamza alikua gaidi , huyu ni mmiliki halali wa silaha 😃😃😃
 
Hakuna polisi atakaye hatarisha maisha yake - eti akukamate hai wakati umeua polisi mwenzake. Polisi hawawezi kukuamini kama utawaacha salama.
 
Hakuna polisi atakaye hatarisha maisha yake - eti akukamate hai wakati umeua polisi mwenzake. Polisi hawawezi kukuamini kama utawaacha salama.
Hamza aliwaua Polisiccm wawili tu wale wengine waliuana wenyewe kwa wenyewe kwa mjibu wa seleman 0715132277 msiri mkubwa wa Polisiccm mpigie atakupa story mwanzo mwisho
 
Hamza aliwaua Polisiccm wawili tu wale wengine waliuana wenyewe kwa wenyewe kwa mjibu wa seleman 0715132277 msiri mkubwa wa Polisiccm mpigie atakupa story mwanzo mwisho
Tupe na wewe yako tukupigie.
 



VIDEO: DCI asema uchunguzi wao umebaini Hamza alikuwa gaidi


Ndugu wa Hamza washangazwa na uchunguzi wa Polisi

Alisema hilo limebainika kupitia uchunguzi wao uliofanyika kwa kuzingatia mambo matatu ambayo ni kutaka kutambua Hamza Mohammed ni nani, nini kilimsukuma kufanya tukio lile na kutaka kutambua mshiriki mwingine katika tukio hilo.

“Na katika uchunguzi huu, polisi ilibaini Hamza alikuwa akiishi kisiri huku akiwa amegubikwa na viashiria vyote vya ugaidi,” alidai Wambura.

“Amekuwa akijifunza mambo mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii ambayo kwa kipindi kirefu amekuwa akijifunza mambo ya kigaidi kwa kuangalia mitandao inayoonyesha matendo hayo na magaidi wengi hujifunza kupitia mitandao hiyo.”

Hata hivyo, Wambura pia alikanusha taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zinazodai kwamba Hamza aliwashambulia askari hao kwa sababu walimdhulumu madini yake na kusema katika uchunguzi huo, wamebaini Hamza hakuwa na madini wala fedha.

“Hakuwa katika nafasi yoyote ya kumiliki madini wala pesa, mbali ya kwamba watu wengi wameongea kuwa alikuwa anamiliki migodi ya madini kule Chunya na maeneo ya Makongolosi.

Uchunguzi wetu umebaini hali hiyo ya maisha ilikwisha simama muda mrefu,” alisema.
 
Zilipendwa hii, polisi ni watuhumiwa lakini wanamchunguza mtuhumiwa mwenzao? shame government
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…