De Agosto ni kama Ihefu iliyo changamka, kikosi chao ni majanga

De Agosto ni kama Ihefu iliyo changamka, kikosi chao ni majanga

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Hawa De Agosto wana shida kubwa sana kwenye kikosi chao na mstari wao wa ulinzi, wamewapa Simba mwanya wa kutamba kwakuwa hawana maarifa yoyote wanapofika kwenye 18 ya mpinzani.

Wanagongeana pasi katikati lakini zinakosa uhatari wowote kwenye umaliziaji, ni moja ya mechi nyepesi sana kwa Simba. Hongera yenu unapokutana na timu ya hivi unaipa inachostahili kwakuwa siyo kila mara utakutana na timu zinazocheza mpira wa namna hii.

Binafsi yangu niliifuatilia hii timu nikaona namna wanavyopata ushindi kiduchu sana na wa tabu icho ni kiashilia cha ubovu wa kikosi chao, wamepata nafasi kama 3 za kuweka mpira kambani lakini ubutu wao umewagharimu.
 
Hawa de agosto wana shida kubwa sana kwenye squad yao na defence line yao, wamewapa simba mwanya wa kutamba kwakuwa awana maarifa yoyote wanapofika kwenye 18 ya mpinzani, wanagongeana pasi katikati lakini zinakosa uhatari wowote kwenye umaliziaji, ni moja ya mechi nyepesi sana kwa simba, hongera yenu unapokutana na timu ya hivi unaipa inachostahili kwakuwa sio kila mara utakutana na timu zinazocheza mpira wa namna hii, binafsi yangu niliifuatilia hii timu nikaona namna wanavyopata ushindi kiduchu sana na wa tabu icho ni kiashilia cha ubovu wa squad yao, wamepata nafasi kama 3 za kuweka mpira kambani lakini ubutu wao umewagharimu
Pole sana utopolo a.k.a mavi fc
 
Hawa de agosto wana shida kubwa sana kwenye squad yao na defence line yao, wamewapa simba mwanya wa kutamba kwakuwa awana maarifa yoyote wanapofika kwenye 18 ya mpinzani, wanagongeana pasi katikati lakini zinakosa uhatari wowote kwenye umaliziaji, ni moja ya mechi nyepesi sana kwa simba, hongera yenu unapokutana na timu ya hivi unaipa inachostahili kwakuwa sio kila mara utakutana na timu zinazocheza mpira wa namna hii, binafsi yangu niliifuatilia hii timu nikaona namna wanavyopata ushindi kiduchu sana na wa tabu icho ni kiashilia cha ubovu wa squad yao, wamepata nafasi kama 3 za kuweka mpira kambani lakini ubutu wao umewagharimu
Unadhihirisha ile kauli ya Luc Eymael kuwa nyie ni nyani, mbwakoko na ni uneducated
 
Hawa de agosto wana shida kubwa sana kwenye squad yao na defence line yao, wamewapa simba mwanya wa kutamba kwakuwa awana maarifa yoyote wanapofika kwenye 18 ya mpinzani, wanagongeana pasi katikati lakini zinakosa uhatari wowote kwenye umaliziaji, ni moja ya mechi nyepesi sana kwa simba, hongera yenu unapokutana na timu ya hivi unaipa inachostahili kwakuwa sio kila mara utakutana na timu zinazocheza mpira wa namna hii, binafsi yangu niliifuatilia hii timu nikaona namna wanavyopata ushindi kiduchu sana na wa tabu icho ni kiashilia cha ubovu wa squad yao, wamepata nafasi kama 3 za kuweka mpira kambani lakini ubutu wao umewagharimu
Usijali utakutana nao kwenye shirikisho
 
Pole sana utopolo a.k.a mavi fc
Kosa la wazazi wako waliokulea ndio maana unatoa matusi, lakini nyeusi inabaki kuwa nyeusi uwezi kubadili chochote ili nikufurahishe unachokitaka wewe
 
Ila ingecheza na yanga ingeshinda I'm sure
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kabisaaa...watu wamepambana kushinda ugenini alafu mpuuzi mmoja anadhani ni rahisi kiasi hicho.
Nimekaa pale [emoji117]nasubiri kwa hamu marudiano yao
wanapendaga kulinganisha utasikia al hilal kashinda kwa mbinde shidi ya waimba kwaya wa ethiopia waliocheza na simba , simba amabayo tunaifungaga?
simba akishinda taifa kwa teams kama ahly , berkane basi nao wanaamini ni rahisi sana
 
Hawa de agosto wana shida kubwa sana kwenye squad yao na defence line yao, wamewapa simba mwanya wa kutamba kwakuwa awana maarifa yoyote wanapofika kwenye 18 ya mpinzani, wanagongeana pasi katikati lakini zinakosa uhatari wowote kwenye umaliziaji, ni moja ya mechi nyepesi sana kwa simba, hongera yenu unapokutana na timu ya hivi unaipa inachostahili kwakuwa sio kila mara utakutana na timu zinazocheza mpira wa namna hii, binafsi yangu niliifuatilia hii timu nikaona namna wanavyopata ushindi kiduchu sana na wa tabu icho ni kiashilia cha ubovu wa squad yao, wamepata nafasi kama 3 za kuweka mpira kambani lakini ubutu wao umewagharimu
Nafasi hizo wangepata magoli ungeongea haya?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
ila yetu yanatunyookea[emoji16][emoji16][emoji16].
Mseme mtakavyo sema
.nyie pambaneni na misondo iwavunje miguu.sisi tuachieni vibonde wetu
 
Back
Top Bottom