De Agosto ni kama Ihefu iliyo changamka, kikosi chao ni majanga

De Agosto ni kama Ihefu iliyo changamka, kikosi chao ni majanga

wanapendaga kulinganisha utasikia al hilal kashinda kwa mbinde shidi ya waimba kwaya wa ethiopia waliocheza na simba , simba amabayo tunaifungaga?
simba akishinda taifa kwa teams kama ahly , berkane basi nao wanaamini ni rahisi sana
Nafurahi kuona Simba wamecha kujilinganisha na utupwinyo.
Ndugu yako akiwa mbishi unamuacha apigwe tu. Akili zikikaa sawa watakuja tuwafundishe.
 
wanapendaga kulinganisha utasikia al hilal kashinda kwa mbinde shidi ya waimba kwaya wa ethiopia waliocheza na simba , simba amabayo tunaifungaga?
simba akishinda taifa kwa teams kama ahly , berkane basi nao wanaamini ni rahisi sana
Nafurahi kuona Simba wamecha kujilinganisha na utupwinyo.
Ndugu yako akiwa mbishi unamuacha apigwe tu. Akili zikikaa sawa watakuja tuwafundishe.
 
Hawa de agosto wana shida kubwa sana kwenye squad yao na defence line yao, wamewapa simba mwanya wa kutamba kwakuwa awana maarifa yoyote wanapofika kwenye 18 ya mpinzani, wanagongeana pasi katikati lakini zinakosa uhatari wowote kwenye umaliziaji, ni moja ya mechi nyepesi sana kwa simba, hongera yenu unapokutana na timu ya hivi unaipa inachostahili kwakuwa sio kila mara utakutana na timu zinazocheza mpira wa namna hii, binafsi yangu niliifuatilia hii timu nikaona namna wanavyopata ushindi kiduchu sana na wa tabu icho ni kiashilia cha ubovu wa squad yao, wamepata nafasi kama 3 za kuweka mpira kambani lakini ubutu wao umewagharimu
Mmeanza. Unaumia ukitokea chumba gani?
 
Timu yako ni ya 75 angalia namba 28 ni nani
JamiiForums89545235.jpg
 
Hawa De Agosto wana shida kubwa sana kwenye kikosi chao na mstari wao wa ulinzi, wamewapa Simba mwanya wa kutamba kwakuwa hawana maarifa yoyote wanapofika kwenye 18 ya mpinzani.

Wanagongeana pasi katikati lakini zinakosa uhatari wowote kwenye umaliziaji, ni moja ya mechi nyepesi sana kwa Simba. Hongera yenu unapokutana na timu ya hivi unaipa inachostahili kwakuwa siyo kila mara utakutana na timu zinazocheza mpira wa namna hii.

Binafsi yangu niliifuatilia hii timu nikaona namna wanavyopata ushindi kiduchu sana na wa tabu icho ni kiashilia cha ubovu wa kikosi chao, wamepata nafasi kama 3 za kuweka mpira kambani lakini ubutu wao umewagharimu.
Agg 1-2🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mambumbumbu wenzangu toka MAKOLOKOLO FC chonde chonde tusijisahau sana maana mwisho wa safari yetu hauko mbali sana [emoji28]
 
Hawa De Agosto wana shida kubwa sana kwenye kikosi chao na mstari wao wa ulinzi, wamewapa Simba mwanya wa kutamba kwakuwa hawana maarifa yoyote wanapofika kwenye 18 ya mpinzani.

Wanagongeana pasi katikati lakini zinakosa uhatari wowote kwenye umaliziaji, ni moja ya mechi nyepesi sana kwa Simba. Hongera yenu unapokutana na timu ya hivi unaipa inachostahili kwakuwa siyo kila mara utakutana na timu zinazocheza mpira wa namna hii.

Binafsi yangu niliifuatilia hii timu nikaona namna wanavyopata ushindi kiduchu sana na wa tabu icho ni kiashilia cha ubovu wa kikosi chao, wamepata nafasi kama 3 za kuweka mpira kambani lakini ubutu wao umewagharimu.
Wewe ni kiazi umepoteza kumbukumbu
 
Back
Top Bottom