De Agosto ni kama Ihefu iliyo changamka, kikosi chao ni majanga

De Agosto ni kama Ihefu iliyo changamka, kikosi chao ni majanga

Hawa De Agosto wana shida kubwa sana kwenye kikosi chao na mstari wao wa ulinzi, wamewapa Simba mwanya wa kutamba kwakuwa hawana maarifa yoyote wanapofika kwenye 18 ya mpinzani.

Wanagongeana pasi katikati lakini zinakosa uhatari wowote kwenye umaliziaji, ni moja ya mechi nyepesi sana kwa Simba. Hongera yenu unapokutana na timu ya hivi unaipa inachostahili kwakuwa siyo kila mara utakutana na timu zinazocheza mpira wa namna hii.

Binafsi yangu niliifuatilia hii timu nikaona namna wanavyopata ushindi kiduchu sana na wa tabu icho ni kiashilia cha ubovu wa kikosi chao, wamepata nafasi kama 3 za kuweka mpira kambani lakini ubutu wao umewagharimu.
FB_IMG_1665343280966.jpg
 
Hawa De Agosto wana shida kubwa sana kwenye kikosi chao na mstari wao wa ulinzi, wamewapa Simba mwanya wa kutamba kwakuwa hawana maarifa yoyote wanapofika kwenye 18 ya mpinzani.

Wanagongeana pasi katikati lakini zinakosa uhatari wowote kwenye umaliziaji, ni moja ya mechi nyepesi sana kwa Simba. Hongera yenu unapokutana na timu ya hivi unaipa inachostahili kwakuwa siyo kila mara utakutana na timu zinazocheza mpira wa namna hii.

Binafsi yangu niliifuatilia hii timu nikaona namna wanavyopata ushindi kiduchu sana na wa tabu icho ni kiashilia cha ubovu wa kikosi chao, wamepata nafasi kama 3 za kuweka mpira kambani lakini ubutu wao umewagharimu.
Ata Al Hilal walipo ifunga simba 1 kwa 0 kule sudan ..huku bongo mkajifariji eti wakija kwa mkapa mtawapiga 4 o clock ..sijui itakuwaje Huko Sudan
 
wanapendaga kulinganisha utasikia al hilal kashinda kwa mbinde shidi ya waimba kwaya wa ethiopia waliocheza na simba , simba amabayo tunaifungaga?
simba akishinda taifa kwa teams kama ahly , berkane basi nao wanaamini ni rahisi sana
Waliona Simba inavyofikaga fainali inafanya kazi nyepesi.
Na wao kwakuwa wanabahatisha kuifunga Simba wakajiona nao wanajua.

Uzuri wa mpira kila kitu kinaonekana kwa macho.
Tunaelekeza machobm yetu Sudani.
 
Hawa De Agosto wana shida kubwa sana kwenye kikosi chao na mstari wao wa ulinzi, wamewapa Simba mwanya wa kutamba kwakuwa hawana maarifa yoyote wanapofika kwenye 18 ya mpinzani.

Wanagongeana pasi katikati lakini zinakosa uhatari wowote kwenye umaliziaji, ni moja ya mechi nyepesi sana kwa Simba. Hongera yenu unapokutana na timu ya hivi unaipa inachostahili kwakuwa siyo kila mara utakutana na timu zinazocheza mpira wa namna hii.

Binafsi yangu niliifuatilia hii timu nikaona namna wanavyopata ushindi kiduchu sana na wa tabu icho ni kiashilia cha ubovu wa kikosi chao, wamepata nafasi kama 3 za kuweka mpira kambani lakini ubutu wao umewagharimu.
Zalan fc ni mabingwa wa ligi yao huko somalia
 
Tuseme Al Hilal ni bora kuliko de agosto. De agosto na yanga nani bora sasa?
Yanga msimu huu ni bora kuliko De Agosto
Maana inajichapia Simba kirahisi tu, ila De Agosto Simba kwao ni mtihani mkubwa
 
Hawa De Agosto wana shida kubwa sana kwenye kikosi chao na mstari wao wa ulinzi, wamewapa Simba mwanya wa kutamba kwakuwa hawana maarifa yoyote wanapofika kwenye 18 ya mpinzani.

Wanagongeana pasi katikati lakini zinakosa uhatari wowote kwenye umaliziaji, ni moja ya mechi nyepesi sana kwa Simba. Hongera yenu unapokutana na timu ya hivi unaipa inachostahili kwakuwa siyo kila mara utakutana na timu zinazocheza mpira wa namna hii.

Binafsi yangu niliifuatilia hii timu nikaona namna wanavyopata ushindi kiduchu sana na wa tabu icho ni kiashilia cha ubovu wa kikosi chao, wamepata nafasi kama 3 za kuweka mpira kambani lakini ubutu wao umewagharimu.
La mkosaji hilo

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Hawa De Agosto wana shida kubwa sana kwenye kikosi chao na mstari wao wa ulinzi, wamewapa Simba mwanya wa kutamba kwakuwa hawana maarifa yoyote wanapofika kwenye 18 ya mpinzani.

Wanagongeana pasi katikati lakini zinakosa uhatari wowote kwenye umaliziaji, ni moja ya mechi nyepesi sana kwa Simba. Hongera yenu unapokutana na timu ya hivi unaipa inachostahili kwakuwa siyo kila mara utakutana na timu zinazocheza mpira wa namna hii.

Binafsi yangu niliifuatilia hii timu nikaona namna wanavyopata ushindi kiduchu sana na wa tabu icho ni kiashilia cha ubovu wa kikosi chao, wamepata nafasi kama 3 za kuweka mpira kambani lakini ubutu wao umewagharimu.
Unateseka ukiwa wapi utopolo?
 
Sawa,hao De agosto walikuwa wanapata ushindi kiduchu ukagundua ni wabovu,vipi utopolo walioshinda kwa kishindo mechi mbili klabu bingwa goli Tisa?
 
Back
Top Bottom