De Agosto ni kama Ihefu iliyo changamka, kikosi chao ni majanga

wanapendaga kulinganisha utasikia al hilal kashinda kwa mbinde shidi ya waimba kwaya wa ethiopia waliocheza na simba , simba amabayo tunaifungaga?
simba akishinda taifa kwa teams kama ahly , berkane basi nao wanaamini ni rahisi sana
Nafurahi kuona Simba wamecha kujilinganisha na utupwinyo.
Ndugu yako akiwa mbishi unamuacha apigwe tu. Akili zikikaa sawa watakuja tuwafundishe.
 
wanapendaga kulinganisha utasikia al hilal kashinda kwa mbinde shidi ya waimba kwaya wa ethiopia waliocheza na simba , simba amabayo tunaifungaga?
simba akishinda taifa kwa teams kama ahly , berkane basi nao wanaamini ni rahisi sana
Nafurahi kuona Simba wamecha kujilinganisha na utupwinyo.
Ndugu yako akiwa mbishi unamuacha apigwe tu. Akili zikikaa sawa watakuja tuwafundishe.
 
Mmeanza. Unaumia ukitokea chumba gani?
 
Agg 1-2🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mambumbumbu wenzangu toka MAKOLOKOLO FC chonde chonde tusijisahau sana maana mwisho wa safari yetu hauko mbali sana [emoji28]
 
Wewe ni kiazi umepoteza kumbukumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…