MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Vibonde wakati ni Timu iliyofika robo fainali mara nne katika michuano mbalimbali ya afrika katika kipindi Cha miaka ya hivi karibuni.Point yangu ni kama vibonde wetu Simba wameweza kuifunga De Agosto, kwa Yanga ingekuwaje? Si ingekuwa 9-0 nyingine tena
Vibonde wakati ni Timu iliyofika robo fainali mara nne katika michuano mbalimbali ya afrika katika kipindi Cha miaka ya hivi karibuni.
Ninyi ambao sio vibonde mmefika wapi? Kama tu timu mwenzenu kutoka Afrika Mashariki ambaye mko nae CECAFA mnasema Ngumu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji109][emoji109][emoji109] je mngepangiwa timu kutoka hapo Zambia au Kongo mngesemaje? Hiii bargosha
Nazungumzia current state ya timu mzee, sio historiaVibonde wakati ni Timu iliyofika robo fainali mara nne katika michuano mbalimbali ya afrika katika kipindi Cha miaka ya hivi karibuni.
Ninyi ambao sio vibonde mmefika wapi? Kama tu timu mwenzenu kutoka Afrika Mashariki ambaye mko nae CECAFA mnasema Ngumu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji109][emoji109][emoji109] je mngepangiwa timu kutoka hapo Zambia au Kongo mngesemaje? Hiii bargosha
Nazungumzia current state ya timu mzee, sio historia
Currently Yanga ni timu tishio sana, ambayo ikikutana na Simba kipigo ni lazima, sasa vuta picha ndio ingekutana na huyo De Agosto asyefungwa hadi na vibonde?
Jibu hoja kwa hoja, sio kuitana majina, mbona nyie mliitwa mbumbumbu tena na kiongozi wenu mwandamizi?Hakika aliewaita utopolo alikuwa na akili.sana
Hapa ndipo mafuta na maji yanapotengana, ukikubali kwamba kuna sehemu unafeli ndio mafanikio yanapoanzia hapo sio kutafuta visingizio.Hawa De Agosto wana shida kubwa sana kwenye kikosi chao na mstari wao wa ulinzi, wamewapa Simba mwanya wa kutamba kwakuwa hawana maarifa yoyote wanapofika kwenye 18 ya mpinzani.
Wanagongeana pasi katikati lakini zinakosa uhatari wowote kwenye umaliziaji, ni moja ya mechi nyepesi sana kwa Simba. Hongera yenu unapokutana na timu ya hivi unaipa inachostahili kwakuwa siyo kila mara utakutana na timu zinazocheza mpira wa namna hii.
Binafsi yangu niliifuatilia hii timu nikaona namna wanavyopata ushindi kiduchu sana na wa tabu icho ni kiashilia cha ubovu wa kikosi chao, wamepata nafasi kama 3 za kuweka mpira kambani lakini ubutu wao umewagharimu.
Jibu hoja kwa hoja, sio kuitana majina, mbona nyie mliitwa mbumbumbu tena na kiongozi wenu mwandamizi?
Wewe jamaa Ile beki Yao yenye Rasta nadhani Ni bobo Kuna beki gani ya kati pale yanga ya kulinganisha Na Yule mwamba au Ile winga iliyokuwa ikikabwa Na Mo Hussein Kuna winga Kama Ile yanga acheni unaziHawa De Agosto wana shida kubwa sana kwenye kikosi chao na mstari wao wa ulinzi, wamewapa Simba mwanya wa kutamba kwakuwa hawana maarifa yoyote wanapofika kwenye 18 ya mpinzani.
Wanagongeana pasi katikati lakini zinakosa uhatari wowote kwenye umaliziaji, ni moja ya mechi nyepesi sana kwa Simba. Hongera yenu unapokutana na timu ya hivi unaipa inachostahili kwakuwa siyo kila mara utakutana na timu zinazocheza mpira wa namna hii.
Binafsi yangu niliifuatilia hii timu nikaona namna wanavyopata ushindi kiduchu sana na wa tabu icho ni kiashilia cha ubovu wa kikosi chao, wamepata nafasi kama 3 za kuweka mpira kambani lakini ubutu wao umewagharimu.