SUCRE MARIACH
Senior Member
- Jan 27, 2010
- 104
- 27
Na wewe kwa akili yako hivi unaamini akina Nakaya,Rose Muhando wamechuja kisa walisaini mikataba na Sony au mtu kama D'banj kaisha kisanii kisa yupo lebo ya Kanye West? Tusiwe tunakariri kuwa msanini ataendelea kuwa juu milele na hawezi chuja kisanii yani zama zako kisanii zikipita huwa hazijirudii tena
Hahahah!! Mapovu ya mahaba yameanzaIla ingekua diamond pongez nyingi na mabusu tele
Na wewe kwa akili yako hivi unaamini akina Nakaya,Rose Muhando wamechuja kisa walisaini mikataba na Sony au mtu kama D'banj kaisha kisanii kisa yupo lebo ya Kanye West? Tusiwe tunakariri kuwa msanini ataendelea kuwa juu milele na hawezi chuja kisanii yani zama zako kisanii zikipita huwa hazijirudii tena
Mkuu nakusamehe bure kwakuwa hujui ulisemaloMtafikiri hiyo mikataba mnaionaga hahahhahah....mnajua kilichoandikwa ndani?? Hivi ali kiba mnawafananisha na akina nakaaya ...ku sign contract inategemea na wewe juhud zako sasa kama ume sign lebo kubwa halaf umekalisha makalio yako bila juhud binafs kuendelea kua juu unafikr utaacha kutokuangukaaa....tumien le akiliz kubwaaz ...alaaah
Umeelewa au umekopi tu na kupaste??? Wamekwambia "... For Ali kiba with other Sony artists"
Soma hii wewe
Huko kwenye mitandao ya kijamii kumechafuka habari ya Ali kusign deal na Sony wengi wakiamini huo ndio utakuwa mwanya wa msanii huyo kutoboa kimataifa.. Jambo ambalo mashabiki wake wanashindwa kuelewa ni kuwa huo unaweza kuwa anguko la King Kiba badala ya kuwa neema..
Kwanza kabisa kitu ambacho hawakielewi ni kuwa Ali hajasaini na Sony Music Ent. BMG (ishu yake sio 'global deal') bali amesaini na Sony Music Africa ambayo ni subsidiary ya Sony Music Entertainment!! Kwa ninavyoelewa Sony Music Africa wana sambaza mziki na kumanage wanamuziki ndani ya Africa pekee.. Sasa eidha Ali hajui alichosaini au chumvi inaongezwa kunogesha habari..
Kingine watu wanaona hii ni kama Bahati Ali amepata wanachoshindwa kuelewa ni kwamba wasanii wakubwa Africa huwa wanakataa kusign na hizi kampuni zenye asili ya marekani na ulaya kutokana na kampuni hizi kushindwa kutimiza malengo na kutoelewa mazingira ya soko la mziki Africa! Kwa mfano wasanii wote ambao wamewahi kusign na Sony karibia wote walikuja kufa kimuziki kutokana na Sony kushindwa kuwa market kutokana na kutoelewa mziki wa Africa; mfano wasanii kama Nakaaya Sumari, Nneke Egbuna (Nigeria), Luncvile (SA), Nathan Ro (SA) wote hawa wamepotea kwenye mziki..
Mfano mwingine ni msanii D'banj ambaye aliondoka Mavins na kujiunga na label ya GodLife chini ya kanye west, mpaka sasa D'banj anasafiria jina lake tu lakini kimuziki ameshuka vibaya sana!! Kampuni za kimarekani hazina record ya kuwatoa wasanii wa kiafrika na hii inatokana na kutoelewa industry yetu na ndio maana Psquare walikataa mabilioni waliyotaka kupewa ili wasign Convict records..
Kingine kinachosemwa na watu ni kwamba hizi kampuni zina mambo mengine makubwa zaidi kwahiyo inakuwa nguvu kwao kuwa serious sana na mwanamuziki mmoja mmoja; kwa mfano kampuni mama ya Sony Music Africa (Sony Entertainment BMG) ina zaidi ya label 25 ndogo ndogo kama hii aliyosign kiba na ina wasanii karibia katika kila nnchi ya ulaya, Asia na Amerika ya kusini. Wana zaidi ya wasanii elfu moja wanaowasimamia so inakuwa ngumu kwao kutoa macho kwa msanii mmoja mmoja na ndio maana wasanii wengi wakubwa wa Africa wanakataa kusign chini yao wanaona ni afadhali watengeneze timu zao wenyewe za management ambazo macho yao na attention yote itakuwa kwao wao kama wasanii..
Anyways, let me just assume management ya Ali inafahamu vitu ambavyo mimi sivifahamu na wamefanya research ya kutosha kabla ya kusign na hatimaye watatuprove wrong wote ambao tuko sceptical about this deal.!!
Kama kijana mwenzangu namtakia kilala kheri na mafanikio katika safari yake mpya...
Basi wasubiri majibu labda akili zitawarudi.Wanaelewa ila jeuri imewazidi
Nyie komaeni hivyo hivyo kijana kashasign dili jingineBasi wasubiri majibu labda akili zitawarudi.
Kaka najua unaongea ukweli sana ila sijajua kama hakuna msanii aliyefanikiwa akiwa na sony....kufanikiwa kwa mtu hakutokani na matokeo taliyopita ila ni kufanya kazi kwa bidiii.....ulichoongea kina ukweli sana sana ila huyu ni ali kiba nikumuombea kwa mungu afanikiwe ili wengine nao wafuate nyayo zake....ali kiba atatakiwa kufanya kazi bora sana sana....jambo la kuwa na sony ni its easy kufanya kolabo maana una status tayari na sony watakuunganisha vizuri.....hili deal linaweza kuwa na distribution ya kazi zake tu,videos na mauzo ya albumHuko kwenye mitandao ya kijamii kumechafuka habari ya Ali kusign deal na Sony wengi wakiamini huo ndio utakuwa mwanya wa msanii huyo kutoboa kimataifa.. Jambo ambalo mashabiki wake wanashindwa kuelewa ni kuwa huo unaweza kuwa anguko la King Kiba badala ya kuwa neema..
Kwanza kabisa kitu ambacho hawakielewi ni kuwa Ali hajasaini na Sony Music Ent. BMG (ishu yake sio 'global deal') bali amesaini na Sony Music Africa ambayo ni subsidiary ya Sony Music Entertainment!! Kwa ninavyoelewa Sony Music Africa wana sambaza mziki na kumanage wanamuziki ndani ya Africa pekee.. Sasa eidha Ali hajui alichosaini au chumvi inaongezwa kunogesha habari..
Kingine watu wanaona hii ni kama Bahati Ali amepata wanachoshindwa kuelewa ni kwamba wasanii wakubwa Africa huwa wanakataa kusign na hizi kampuni zenye asili ya marekani na ulaya kutokana na kampuni hizi kushindwa kutimiza malengo na kutoelewa mazingira ya soko la mziki Africa! Kwa mfano wasanii wote ambao wamewahi kusign na Sony karibia wote walikuja kufa kimuziki kutokana na Sony kushindwa kuwa market kutokana na kutoelewa mziki wa Africa; mfano wasanii kama Nakaaya Sumari, Nneke Egbuna (Nigeria), Luncvile (SA), Nathan Ro (SA) wote hawa wamepotea kwenye mziki..
Mfano mwingine ni msanii D'banj ambaye aliondoka Mavins na kujiunga na label ya GodLife chini ya kanye west, mpaka sasa D'banj anasafiria jina lake tu lakini kimuziki ameshuka vibaya sana!! Kampuni za kimarekani hazina record ya kuwatoa wasanii wa kiafrika na hii inatokana na kutoelewa industry yetu na ndio maana Psquare walikataa mabilioni waliyotaka kupewa ili wasign Convict records..
Kingine kinachosemwa na watu ni kwamba hizi kampuni zina mambo mengine makubwa zaidi kwahiyo inakuwa nguvu kwao kuwa serious sana na mwanamuziki mmoja mmoja; kwa mfano kampuni mama ya Sony Music Africa (Sony Entertainment BMG) ina zaidi ya label 25 ndogo ndogo kama hii aliyosign kiba na ina wasanii karibia katika kila nnchi ya ulaya, Asia na Amerika ya kusini. Wana zaidi ya wasanii elfu moja wanaowasimamia so inakuwa ngumu kwao kutoa macho kwa msanii mmoja mmoja na ndio maana wasanii wengi wakubwa wa Africa wanakataa kusign chini yao wanaona ni afadhali watengeneze timu zao wenyewe za management ambazo macho yao na attention yote itakuwa kwao wao kama wasanii..
Anyways, let me just assume management ya Ali inafahamu vitu ambavyo mimi sivifahamu na wamefanya research ya kutosha kabla ya kusign na hatimaye watatuprove wrong wote ambao tuko sceptical about this deal.!!
Kama kijana mwenzangu namtakia kilala kheri na mafanikio katika safari yake mpya...
Asante mkuuNa wewe kwa akili yako hivi unaamini akina Nakaya,Rose Muhando wamechuja kisa walisaini mikataba na Sony au mtu kama D'banj kaisha kisanii kisa yupo lebo ya Kanye West? Tusiwe tunakariri kuwa msanini ataendelea kuwa juu milele na hawezi chuja kisanii yani zama zako kisanii zikipita huwa hazijirudii tena
.......Kwanza kabisa kitu ambacho hawakielewi ni kuwa Ali hajasaini na Sony Music Ent. BMG (ishu yake sio 'global deal') bali amesaini na Sony Music Africa ambayo ni subsidiary ya Sony Music Entertainment!! Kwa ninavyoelewa Sony Music Africa wana sambaza mziki na kumanage wanamuziki ndani ya Africa pekee.. Sasa eidha Ali hajui alichosaini au chumvi inaongezwa kunogesha habari......
...
"So sijauona mkataba lakini naweza kuimagine skeleton yake ikoje" hapa ndo umeprove failure huwezi kuimagine kitu kilichokuzidi uwezo afu unasema upo karibu na music industry ukiwa kama nani producer,manager,dj,distributor,au una dili na mikataba ya wasanii? Si lazima kuweka ujuaji kwenye kila kituKwanza sijasema eti nakaaya, rose n.k wamesaini Sony ambayo ni based Africa!! Nakaaya, rose, davido n.k walisaini na Sony Music Ent. BMG na kiba amesaini na Sony Music Africa ambayo ndio ina manage Keko n.k ( notice the difference) lakini all in all Sony zote hizi hazina reputation nzuri katika kumanage wasanii wa Africa..
Tuje kwenye hoja yako, ofcoz sijauona mkataba lakini waswahili wanasema 'hatakama kusoma hujui lakini macho ya kuona umepewa', kwa kifupi niko karibu sana na music industry kwasababu za kibiashara so I know all the sh*t that's in there and I know the rules.. So sijauona mkataba lakini naweza kuimagine skeleton yake ikoje!!
Mwache aendelee kufukuza upepo!