MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Anaeuliza upo wapi, kiwango chake cha kujali ni kikubwa mnoooManinaaaaaa πππππ
Wewe huyo nikujuae mimi au..
Wa kubembeleza mtuuu..
Kwanza ogopa mdada anakuuliza ety upo wapi ahahahaha
Mshahamisha magoli kwamba tumekuwa wabahili.Ngoja nianze kumuheshimu babe wangu daah kumbe kuna wanaume wabahili hivi ptuuuuuu
Nawaogopa sana nyie....Anaeuliza upo wapi, kiwango chake cha kujali ni kikubwa mnooo
Tunapigwa sanaa na Serikali ipo kimyaaπ₯π₯π₯Wapi huko uji wanauza afu tano.
We mwambie niambie, akikuomba pesa mwambie Sina, au ninayo lakini sintokupa.Hili swali la babe nikwambie kitu?
Inabidi u-copy akili za socrates na Plato kwa muda ukikurupuka tuu wallet itanuna
30,000/- ni nyingi sana itategemea na kipato chako na akiba yako.Minaona huna pesa tu mkuu, 30k sio ya kumnyima mwanamke mazee...
Hii raha ya kutoa pesa itakuwa ni raha mpya.Hivi hamuoni raha kusaidia wapenzi wenu pesa? Vijana wa 2000 tabu tupu. Mwanaume ni kumsaidia mwanamke matumizi. Acheni ujinga watoto wadogo.
Kataeni mademu joblessπππWe mwambie niambie, akikuomba pesa mwambie Sina, au ninayo lakini sintokupa.
Yaani inatakiwa akitaka kukuomba pesa awaze zaidi ya mara 20. Yani ajue wewe kwenye pesa nimgumu. Kuna Manzi anasema yaani nikizungumzia habari za pesa mwisho hauwi mzuri.Yaan kunipa mpaka ujisikie na sio napokua nashida. Namwambia ndio pesa ningumu sana kutafuta kwahio kabla sijakupa naomba mizimu kwanza mpaka iruhusu.π
Mkeo hakuombi pesa, bali ni wajibu wako mwanaume kuhudumia familia yako. Hata sisi tukioa tutahudumia familia kwa kuhakikisha mahitaji yote ya msingi yanapatikana kwa wakati. Naleo hii ndio tunaiandaa hio kesho ya kuhudumia mke. Atakaeweza vumilia ugumu huu tulionao basi anaweza pandishwa cheo kutoka Dem mpaka mke.me naona hapa kuna watu wa aina mbili, waliooa/kuolewa na ambao wapo tu ktk mahusiano tu.. kwahyo mtoa mada kwa bandiko lako ww unaonekana bado hujaoa, wale waliooa watakubaliana na mm kuwa kumpa pesa mke wako ni raha sana tena huwa ukitoa pesa mwenyew unajihisi kukamilika kama mwanaume
Am kind of a woman ambae nnasapoti my man, ukiwa hauna I provide (huku nikitingisha wigi) πΉNawaogopa sana nyie....
Ndo wale mnakomba komba kila kitu an hata nauli hamuachi dadek zenyuuu πππππππ
Mkuu wanaomba sio majobless, bali nihulka yao kuomba omba.Kataeni mademu joblessπππ
Safi sana "brooh"! ππAm kind of a woman ambae nnasapoti my man, ukiwa hauna I provide (huku nikitingisha wigi) πΉ
Waongoza mjadala imewagusa maana wamezoea kuhonga.πmtoa mada naona mods wameingilia kati wamemla kichwa
Siogopi kuvunja mahusiano na wanawake wa sampuli hiiπππMkuu wanaomba sio majobless, bali nihulka yao kuomba omba.View attachment 3078769
Kuna demu tumegombana kama week mbili jana nimeamka nakuta mis call kama zote......kumpigia piga story akaanza utapeli wa amenimic mara anipigie video call....badae katikati ya story akanichomekea kirungu....nikacheka nikamwambia hiyo pesa ninayo lakini sikupi akajichekesha akakata simu ajanicheki tenaMkuu wanaomba sio majobless, bali nihulka yao kuomba omba.View attachment 3078769