Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
We hauombagi?ππππ Wee pia unaombaga kwani...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We hauombagi?ππππ Wee pia unaombaga kwani...?
Minawapa sana mazee, na sinto acha kuwapa..πEndelea kuwapa.
Inabdi nijiweze mkuu ...Me siamini wewe wa namna hiyo..
Mbona wewe unajiweza bana.
Mi siombi mi mwanaume.....We hauombagi?
Endelea kuwapa, mm hata ya bando sitoi. Mtu anakazi analipwa mshahara anaomba ela mpaka ya bando.Minawapa sana mazee, na sinto acha kuwapa..π
π«‘π«‘π«‘π«‘π«‘Endelea kuwapa, mm hata ya bando sitoi. Mtu anakazi analipwa mshahara anaomba ela mpaka ya bando.
View attachment 3078688
Kumma si unaomba dia au nayo hauombi??? Make ishu ni kuombaMi siombi mi mwanaume.....
Je wewe jibu swali hapo juu unaomba au la...!?
Sana tena sana..Inabdi nijiweze mkuu ...
Dharau ndogo ndogo km hizi zinaumiza et
Anao wengi, uwezo wa kuwasaidia wote hana ndio maana inakua namna hiyo.Hivi hamuoni raha kusaidia wapenzi wenu pesa? Vijana wa 2000 tabu tupu. Mwanaume ni kumsaidia mwanamke matumizi. Acheni ujinga watoto wadogo.
Mleta huu Uzi kaleta mgogoro sasaπ€£Hataki kutumia hela πΉ
Mabroo mnazingua mjue ππππ.. elfu 30 ni bill ya umeme na maji mwezi mzima hapa geto kwangu, halafu kuna nguchiro mwenye nguvu na akili timamu kuweza kufanya kazi, anidai wala hajanisaidia kuitafuta anataka nimpe kirahisi rahisi tu, that's is totaly bulshit.Naona Vijana mnamwaga povu grade 1...π€£π€£
NguchiroπποΈMabroo mnazingua mjue ππππ.. elfu 30 ni bill ya umeme na maji mwezi mzima hapa geto kwangu, halafu kuna nguchiro mwenye nguvu na akili timamu kuweza kufanya kazi, anidai wala hajanisaidia kuitafuta anataka nimpe kirahisi rahisi tu, that's is totaly bulshit.
Majinga kabisa.Hahaha, utadhani ukiwa mwanaume kuna sehemu asubuh ukiamka unaenda kupanga folen kupewa pesa kwa sababu wewe ni mwanaume
Sio hawana kazi Bali ni tabia yao kuomba omba.Hivi wakuu hawa wa kuomba pesa hivi ni jobleseeee au...?
Maana ni kujizalilisha huku ujue
Naomba dia...Kumma si unaomba dia au nayo hauombi??? Make ishu ni kuomba
Hakika ni mgogoro, kuepuka migogoro ya hivi ni kuachana tu na wanawake.....Mleta huu Uzi kaleta mgogoro sasaπ€£
Nafanya shambulio au sioNaomba dia...
Ila kwa experience yangu wewe huombi either unakaba au unatishia mtu maisha....ππππππππππ Ubabe mwingi mno
Hawa sasa ni wadada ambao hawajiheshimu mkuu mdada kama huyu ni kukaa nae chini na kumwambia makavu live hiyo tabia ninya ukahabaaaSio hawana kazi Bali ni tabia yao kuomba omba.
View attachment 3078692