Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

Kama huna unasema sina
Kumpa mtu hela sio lazima awe mchumba yeyote mwenye uwezo unamsaidia

Hawa ni wachoyo na roho mbaya zimewajaa
Unamwambia mtu unampenda halafu anakosa chakula unashindwa kumnunulia na hela unayo.
Kwaiyo nyie ni watoza ushuru 🤣
 
Hela sio kwamba hatuna tunazo lakini sio zakumpa mwanamke, tunaandaa kesho yetu. Tukiwa na wake tutahudumia familia lakini sio hawa mbuzi.
Wapi nimesema hamna hela? Soma vizuri uelewe. Nimesema kama hutaki kumpa si usimtongoze, atapata kwa wanaotoa. Baki na chululu yako naye abaki na kitumbua chake. Case closed.
 
😂😂😂😂😂 Yaani ndo mana unakuta watu kila siku kuumwa magonjwa ya akili kumbe ni hawa hawa wanasababisha aiseeee.....

Sema kua mkaksi yahitaji moyo wa chuma
Kaka hutokaa ukomw kutozwa ushuru na hilo nafikiri tumewekwa ulazima 🤣🤣🤣
 
Kwahiyo wewe hiyo mb000ooo yako ukailoweke tu umalize useme ahsante au sio nyk zk
😂😂😂🙌🙌🙌 Yaaani wewe usingekua mbabe mbabe hvo naimani jamaa angekua anainjoi sana aiseee...

Wewe inabidi ushukuru tuu kwa lolote lile pesa kama pesa utapewa tuu..

Serious sisi tunapenda sana kutoa pesa kwa willing ila sio vile mnavotaka nyie
 
😂😂😂🙌🙌🙌 Yaaani wewe usingekua mbabe mbabe hvo naimani jamaa angekua anainjoi sana aiseee...

Wewe inabidi ushukuru tuu kwa lolote lile pesa kama pesa utapewa tuu..

Serious sisi tunapenda sana kutoa pesa kwa willing ila sio vile mnavotaka nyie
🤣🤣🤣Hili swala
 
Shikilia vizuri, kelele zote hapo kaombwa 30 tu, wakati wenyewe wanawaomba tamu zao
Kwani huwa mnauzaga hio kitu.

MMpewa Bure, toeni Bure

Vingenevyo mtangaze mko kibiashara. Ili tukija tuje kibiashara.

Mnaweka charges kwenye kitu chenye kuupa utu wako thamani.

U can't be serious.

Mimi Hela napenda niwe natoa mwenyewe Kwa moyo wangu ila ukianza omba omba ovyo inanifikirisha sana na kuanza kukuchukulia Kwa namna nyingine kabisa.
 
😂😂😂🙌🙌🙌 Yaaani wewe usingekua mbabe mbabe hvo naimani jamaa angekua anainjoi sana aiseee...

Wewe inabidi ushukuru tuu kwa lolote lile pesa kama pesa utapewa tuu..

Serious sisi tunapenda sana kutoa pesa kwa willing ila sio vile mnavotaka nyie
Mi sio mbabe, nabembeleza kuliko maelezo nna mapenzi hadi sio poa.....Na za ndani hapa tz hatuzidi kumi 😹
 
Kwani huwa mnauzaga hio kitu.

Mpewa Bure, toeni Bora.

Vingenevyo mtangaze mko kibiashara. Ili tukija tuje kibiashara.

Mnaweka charges kwenye kitu chenye kuupa utu wako thamani.

U can't be serious.

Mimi Hela napenda niwe natoa mwenyewe Kwa moyo wangu ila ukianza omba omba ovyo inanifikirisha sana na kuanza kukuchukulia Kwa namna nyingine kabisa.
Maraoooooh siwezi toa uchi bure🤣🤣🤣na huyu ni mnajiita wapenzi
 
anakupiga Blow J- Dawa ya meno colgate original 7000

Sabuni ya kuogea katoni - 10.000

Shampoo ya nywele plus hair lotion- 14,000 kama ana dryer home

Kama hutaki kugharamia kanunue dada poa 🙏🏾
 
Mabroo mnazingua mjue 😀😀😀😀.. elfu 30 ni bill ya umeme na maji mwezi mzima hapa geto kwangu, halafu kuna nguchiro mwenye nguvu na akili timamu kuweza kufanya kazi, anidai wala hajanisaidia kuitafuta anataka nimpe kirahisi rahisi tu, that's is totaly bulshit.
Hakuna mwanaume mwenye nguvu ya kumnyima mwanamke hela mazee, and that's nature...🤣
Sema kwakua saizi haujazipata tu...
 
Back
Top Bottom