Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Ahahah nakaziaMinaona huna pesa tu mkuu, 30k sio ya kumnyima mwanamke mazee...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahah nakaziaMinaona huna pesa tu mkuu, 30k sio ya kumnyima mwanamke mazee...
Tamu zao zipi?.Shikilia vizuri, kelele zote hapo kaombwa 30 tu, wakati wenyewe wanawaomba tamu zao
Ila hiyo siyo hela ya kumnyima mtu wakoSay no to KUMAPRENEURS.
Achane kuandekeza.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Inaonekana una uzoefu wa kutinduliwa macho ndio maana unajua chanzo.Izi mentality za kujilinganisha na wanawake ndio chanzo cha wanaume kutinduliwa macho
Acha kujilinganisha na mwanamke aseeee eti unapiga na hesabu kabisa za pesa atayopata kwa wanaume sasa unategemea nini aseeee utaliwa shauri yakoInaonekana una uzoefu wa kutinduliwa macho ndio maana unajua chanzo.
Tao hela muweze kuteleza kwenye uteleziTamu zao zipi?.
Utamu tunao sisi, wao wanatupa utelezi tu
Endelea kudanganyika kirahisi rahisi wanawake wakishamaliza kukutumia utaanza kutumiwa na mabashaAcha kujilinganisha na mwanamke aseeee eti unapiga na hesabu kabisa za pesa atayopata kwa wanaume sas unategemea nini aseeee utaliwa shauri yako
Kumbe wewe ndiye unayefosi mapenzi ya kununua? Umejidhihirisha.Akihitaji pesa AJE GHETO.
Alafu kwanini hutaki wanawake sasa unataka wanaume au.? maana unaleta wasiwasi aseeee me najua wanaume ni wadhaifu kwa wanawake na wana wahudumia kwasababu hawana mbadala wa utelezi wao sasa wewe unae kwepa wanawake aseeee napata wasiwasi na weweEndelea kudanganyika kirahisi rahisi wanawake wakishamaliza kukutumia utaanza kutumiwa na mabasha
Wanawake wana opportunities nyingi sana kuliko wanaume na bado unasema tuwasaidie pesa, sasa wanaume watasaidiwa na nani ili hali hawana upendeleo wowoteHivi hamuoni raha kusaidia wapenzi wenu pesa? Vijana wa 2000 tabu tupu. Mwanaume ni kumsaidia mwanamke matumizi. Acheni ujinga watoto wadogo.
Na hatupigi makelele.Wanaume tumesaidia wanawake (women empowerment) kuliko NGO au Serikali yoyote ile duniani,....
Kama una waonea wivu na wewe ungana nao uanze kuhongwa vijipesa maana utateseka sanaWanawake wana opportunities nyingi sana kuliko wanaume na bado unasema tuwasaidie pesa, sasa wanaume watasaidiwa na nani ili hali hawana upendeleo wowote
30k tu? 😂Mwenzenu nina ""aleji"" ya kuombwa hela
1. Ukiniomba hela basi ujue sura yako inabadilika kutoka Kuwa Beyonce kwenda Masudi sura mbaya..!!!!
2. Ukiniomba hela basi ujue hilo tako lako loteee linayeyuka, nakua silioni tenaaa ....!!!!
View attachment 3078610
Dear baby, ukiniomba hela hiyo meseji sijibu ng'ooooooo.
View attachment 3078613
Dear baby, hela zangu zipo kwa ajili ya kesho yangu ila sio kukuhonga wewe..!!!
I save for my business and not for the Blow J service you provide...!!!
I save for my future and not for pus*y service you provide...!!!
UZI TAYARI.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Endelea kuwapa.Minaona huna pesa tu mkuu, 30k sio ya kumnyima mwanamke mazee...
Hahaha, utadhani ukiwa mwanaume kuna sehemu asubuh ukiamka unaenda kupanga folen kupewa pesa kwa sababu wewe ni mwanaumeHakuna jambo linakera kama hawa nguchiro kuhisi kupewa pesa ni haki yao.
Yani jitu linajiwekea kuwa ni lazima ulipe hela likitaka.
kila kitu ukilinganisha ivo hutaishi, ebu mpe hio 30k acha ubahiliMtaji huo wa mwana kitaaa kuuzia karanga.
#YNWA
#YANGA_BINGWA