Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

20240824_090237.jpg
 
Wowote ule uliondani ya sheria zako.
Let's say umeweka msimamo wa kutokumpa demu wako hela,vipi kama na yeye akiwa na msimamo wa kutukukupa Papuchi coz humsaidii gharama ya vitu vidogo anapokwama?

Au yeye msimamo wake hautoheshimiwa?
 
Back
Top Bottom