😊😊😊Dear crush ninakusabahi nikiwa nyuma ya keyboard,uhali gani?🥰🥰
Nikiuona mwandiko wako basi roho yasuudhika barabara(jamani mniombee)😊😊hallelujah.
Usivyopenda malumbano🥰🥰 ndio kabisaaaaa😍😍.
Wana jf mkianza kunifokea tafadhali mpunguze sauti msije mkanikatisha ndoto yangu buree🥳🥳.
Ukichanganya na braiding hii, Lina uwezo wa kukufishisha sayari ya Mars bila rocketGenye la asubuhi nasikia lina nguvu ya kuhamisha mlima
Ah Mm bado nimelala sasa nikajua bado asubuhi 😂We nae niko Tanzania na sio Pakistan.
Tanzania hakuna asubuhi ya 12:27 mkuu
Sijambo kabisa, u hali gani wewe?Hujambo ndugu yangu
Ni vema kumuogopa mkuu la hasha utakutwa tarangire umechomwa mkuki wa shingo wengi humu ni ma spy Wana collect identityDear crush
Hata mm nakuelewa kinyama nshawaza nikufate PM sema nikimuelewa mdada gafla naanza kumuogopa
Huyu tunaishi naye kwenye software tuNi vema kumuogopa mkuu la hasha utakutwa tarangire umechomwa mkuki wa shingo wengi humu ni ma spy Wana collect identity
Tumekumbushana mkuu si unajua kikao Cha wanaume kilisahau baadhi ya mamboHuyu tunaishi naye kwenye software tu
Na hii mvua sasaWewe haina haja ya pm ninakufungia safari kukufuata huko ulipo😁😁