Dear Crush nakusabahi, u hali gani?

Dear Crush nakusabahi, u hali gani?

Chakorii

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
18,773
Reaction score
51,429
Dear crush ninakusabahi nikiwa nyuma ya keyboard,uhali gani?🥰🥰

Nikiuona mwandiko wako basi roho yasuudhika barabara(jamani mniombee)😊😊hallelujah.

Usivyopenda malumbano🥰🥰 ndio kabisaaaaa😍😍.

Wana jf mkianza kunifokea tafadhali mpunguze sauti msije mkanikatisha ndoto yangu buree🥳🥳.
 
Dear crush ninakusabahi nikiwa nyuma ya keyboard,uhali gani?🥰🥰

Nikiuona mwandiko wako basi roho yasuudhika barabara(jamani mniombee)😊😊hallelujah.

Usivyopenda malumbano🥰🥰 ndio kabisaaaaa😍😍.



Wana jf mkianza kunifokea tafadhali mpunguze sauti msije mkanikatisha ndoto yangu buree🥳🥳.
😊😊😊
 
Hakikisha ujumbe huu unamfikia huyo crush wako. Na auzingatie! 📌

Screenshot_20240629_123114_Gallery.jpg
 
Back
Top Bottom