Dear Men....

Haimaanishi pesa tu. Wapo wanaume wasiotoa pesa wanatunzwa. Huko ndo wanaafford kuwa kwenye relationship
Na mwanaume yoyote anaependwa kutunzwa huyo ni laana tu!mwanaume wa kweli hata km mkewe ana uwezo au kipato atajishughulisha ili tu aonekane na yeye anaparticipate in one way or anaothe
 
We are all expensive kazi kwao kuchagua pa kujiweka
Umeona eeehh!tafuta unaendana nae kwa kweli!the problem to some men!

Uwezo wao vitz but anataka kujimwambafy kwenye Prado! Ndo anapoumia hapoo!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bure kabisa wewe
[emoji134][emoji134][emoji134] kwani nimekosea? Basi kausha, ili asishtukie tukakosa deal hapa.
 
The problem ya wanaume wa sasa wasiojielewa wanahisi akikupa pesa umemfanya baba yake mzazi,hawajui kua asili ya mwanamke ni kupewa!

U can't change nature
Ndo maana kama huwezi kuhudumia nenda usipoweza kuhudumia ukae kwa amani. Mwanaume asiejua kuhudumia aisee apite kuleee
 
Na mwanaume yoyote anaependwa kutunzwa huyo ni laana tu!mwanaume wa kweli hata km mkewe ana uwezo au kipato atajishughulisha ili tu aonekane na yeye anaparticipate in one way or anaothe
Mwanaume anejitambua kabisa hawezi akakaa na mwanamke asimpe hata elfu 10 ya salon. Mwanaume anaeogopa kuhudumia mwanamke wake ipo siku atatunzwa yeye na akiachwa kutunzwa na wanawake atatunzwa na wanaume wenzie maana neno kuhudumia patna halitaki
 
Umeona eeehh!tafuta unaendana nae kwa kweli!the problem to some men!

Uwezo wao vitz but anataka kujimwambafy kwenye Prado! Ndo anapoumia hapoo!
Etiii. Anataka mtoto mzuri mwenye maisha yake ila kulipia hata umeme anasema mwanamke anapenda pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…