sana yani, siwezi lalamika hata kiduchu, nimeshangaa tu secta zote anazimuduNimefurahi kusikia hilo my dada, karibu kwenye uzi wa kuafodiana natumaini dirty head anakuafodi vyema[emoji40] (joke)
Ewaaah, kwa maneno haya hakika umetekwa ukatekeka. My wish ni kukuona ukiwa happy siku zote.sana yani, siwezi lalamika hata kiduchu, nimeshangaa tu secta zote anazimudu
ninavyoelewa mimi wengi wetu kuna sekta tuko vzr zingine tunafeli ila kwa dirty head yuko vizuri pande zote
nazidi kufurahia mema ya nchi
Sawa[emoji6][emoji3][emoji16]Women deserve no mercy ..
Ndo tatizo liko hapo!kila mmoja anapaswa kuwajibika inavyotatikana !Ha ha ha, sina hizo mambo.
Shida yangu kila mmoja a-play part inayomhusu.
Bahati mbaya sana tuko kwenye era ambayo kila upande haujui nini unakihitaji kwenye mahusiano.
Unaweza kuta mtu anaamua kuzingua tu kwa sababu zisizoeleweka pamoja na kwamba yuko kwenye mahusiano ambayo anapata 80% ya anachohitaji.
yaan halafu kuna masaaa namuomba aniteke vizuri na ninafurahia tuEwaaah, kwa maneno haya hakika umetekwa ukatekeka. My wish ni kukuona ukiwa happy siku zote.
If you are not there I will pick ulipoishia. Ndo maana na sisi wanawake wa siku hizi tunatafuta vyetu siku mume hayupo au kashindwa kuprovide kwa sababu zisizozulika tunasaidia. Ila usitegemee uko hapo na nguvu zako ukae ulegeze miguu mimi nikuletee sahau. Utatoa nitakusaidia ninapoweza na nikishindwa usilalamike maana sikukutuma unioe. Ukishindwa kabisa katafute mwanamke mtakaegawana nusu kwa nusu mpaka kumbebea tumbo akiwa na mimba.Acha tabia za kimaskini wanawake wenzio walishainuka zamani ata wanaume sasa hivi tunahitaji wanawake wenye power ya economy kuliko chura!
Mtazalishwa mno kwa kujidai na chura zenu uchwara..! Naturally men we created to care our family in our presence but if we are not there for any reason??
Ndo tatizo liko hapo!kila mmoja anapaswa kuwajibika inavyotatikana !
Ila kwa sasa utakuta Dada anahudumiwa ila bado anazingua mpk washangaa
Kwani nyinyi mwajionaje.?Say wallah??
Wacha weeh, na wote tuseme amen.yaan halafu kuna masaaa namuomba aniteke vizuri na ninafurahia tu
amen kubwa kabisa maana ananifaa wakati wa shida na rahaWacha weeh, na wote tuseme amen.
NakaziaNeno AFFORD bado linahusisha pesa.
Tunajiona tunatakiwa kuhurumiwa kama sisi tunavyowahurumia na kuwapenda nyie
Khaa!?Khaaaaah