abigaildon17
Member
- Nov 4, 2010
- 92
- 32
Jamaa maneno yako mbn ya ajabu wa ubavuni ni mke wewe jamaa kama unatoa hela hiyo wewe sasa hivi hatuhongi kama vipi watfute vibabu..issue ni mapenzi na kupeana mapenzi tu habari za shida nin na nin peleka kwenu..uelewe demu sio mke..
Tuacheni utani,, wanaume wa siku hizi tunajitia aibu,,, kweli dada zangu wana kazi,, sasa mpenzi wako amekwama elfu 80 tu kumsaidia inshu,,, kweli nimeamini wanaume wanaisha,,
poleni sana dada zangu,,, kumpa mpenzi wako hela sio kosa muhimu awe na sababu inayoeleweka anaomba kwa ajili ya nini...
Elfu themanini tu mtu unatoka povu hadi kumtusi mtu jamii forums,, tena ameomba ubavu wako mnaolala wote kama mlivyozaliwa,, ukiumwa yeye ndo anakuuguza, ukiwa na stress ye ndo anakupa furaha,,,
Kusema kweli mmetudhalilisha jinsia me kwa hii post
"Hahahaha daaah mim ni muumin wa falsafa ya kutohonga lakini nimeshakubaliana na ukweli kwamba usipohonga unakimbiwa so mpango mzima akizingua nahamia kwengine mpaka kieleweke aisee"
mbona hueleweki au unacheki upepo unakoelekea??????????
Toa ujinga wako,mwanaume asifiwi kuonga
Sijaoa mkuu. Huyo ni demu tu wakupita. Nnao wengi sasa.
Jinsia yko tafadhali.
Mi mara ya kwanza kabisa kumpa mwanamke ela nilimpa sh 2000. Iliniuma sana maana nilikuwa nimepewa pocket money 5000, nimeshatumia 1500 na nilipotoa hiyo elfu 2 ikabaki 1500 ambayo nilitakiwa kuibajeti hadi shule itakapofungwa miezi 5 ijayo! Niliteseka sana ile term maana hata 1500 ilikuwa natumia naye tena:angry:
Nililaani sana na nikajiapiza sitakaa nihonge mwanamke... Pamoja na kujiapiza kote, ukiniambia saa hizi eti ndo natoa viburungutu.... kweli hii ni laana...
Hahahaahahahaahah! umenifanya nicheke sana, yaani pesa hiyo kidogo sana nafikiri ni ya perfume na Pedy .
Hata perfume haitoshi kwa sababu perfume nzuri iliyotulia harufu inaanzia laki na ishini
Mtu hujamwita wala hujamlazimisha akutongoze, bali manyege yake ndiyo yamemtuma. Sasa iweje akitakiwa awajibike analalama mpaka JF? Koma kutongoza tongoza kama utapigwa mizinga.
hayo ni mapenzi gani yasiyokuwa na urafiki, yasiyokuwa na huruma wala kusaidiana na kukbebeana mizigo huku duniani?
mapenzi sio ngono ujue ..mapenzi ni life partner mtembee pamoja kwa upendo katika hayas maisha hapa duniani.since maisha hapa duniani yana furaha na shida ni wajibu wenu kushare nyakati hizo pamoja
mimi mtu kama hawezi kunisaidia kwa kweli siwezi kukaa nae . kama anaona shida zangu hazimuhusu basi hanifai ,acha nife na shida zangu
besides mwili wangu anaoutumia na maisha yangu vina thamani sana kuliko hata misaada yake
Hahahaahahahaahah! umenifanya nicheke sana, yaani pesa hiyo kidogo sana nafikiri ni ya perfume na Pedy .
Hata perfume haitoshi kwa sababu perfume nzuri iliyotulia harufu inaanzia laki na ishini
Hata mie nimecheka sana....bora umekuwa wazi kutudhihirishia hapa jamvini kwamba...wewe ni mchafu na unanuka ndio maana unatumia pafyumu ambazo unajua ukitupulizia kidogo tu itaondoa lile shombo la samaki....teheteheteheeee...mwanamke wa kweli kitu pureeee...kikipigwa maji tu tosha...No fangasi, No mijiharufu inayofanana na shombo la samaki
asipokwambia ww amwambie nani?
Ila mkuu kuna wengine wamezid,yaan mmeanza tu kufahamiana na hela tayar kakuomba!wengine hata hamjawah ongelea issue za kugegedana,yeye tayari kashaomba hela!n in reality unakuta hata rohoni huna mawazo naye..ooh I am broke,can u lend me 200,000 hapo ooh,my laptop is this n that plz buy me a new Laptop!etc! I hate dependent women wanaotanguliza matatizo yao mbele yaan hata hamna any love related issues!
I always admire independent women! Big up sana kwa wewe mdada unayejijua ni independent! N to those wanaodhan their job is to snatch men's money,wake up,u need to be independent,heshima yako itapanda zaidi!
si ndio hawa hawa wanaoleta thread za kulialia humu ndani wanasalitiwa na madem zao...maana elfu 80 tu umekuja JF.. akikwambia umlipie kodi si utakwenda kushtak polisi...
Kumbe anasifiwa nini