Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #21
Wewe ni Bashite?Eti ni kweli covid vaccine ni "safe and effective" ila inaleta myocarditis?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni Bashite?Eti ni kweli covid vaccine ni "safe and effective" ila inaleta myocarditis?
Hahahaa.Nakumbuka Nyani Ngabu katika mdahalo wako na bibie FaizaFoxy uliibuka kidedea ..Debate moja kali sana ilikua ...Ngoja tuone na hii kama mpinzani atajitokeza
Fine. Tena ndo itakuwa vizuri zaidi.Makonda atahitaji kujua ana debate na nani.
Huo huo mkuu umaarufu wa mazezeta tunatamani hata ndugu yetu Nyani Ngabu aupate tupate watu wenye akili wanaoweza kuwachallenge hao waliopata umaarufu wa mazezeta 😂😂Umaarufu kapewa na Mazezeta.
Kama watu usiowajua tu debate zao hapa JF zinakushinda hadi unawablock utawezana na Makonda?Paul Makonda kadai anataka mdahalo na viongozi wa CHADEMA.
Wao wamemjibu kwa kuweka masharti ili mdahalo huo ufanyike.
Here I come. Mbeba maboksi niliyeishia kidato cha nne na kufeli.
Siweki masharti yoyote yale. Mimi na yeye tufanye mdahalo kuhusu mada yoyote ile…katiba mpya, ufisadi, global geopolitics, Hamas-Israel war, inflation, recession, weight loss, bbl, 50 years of hip hop, elements of hip hop, Magufuli, Gwajima, n.k.
Mimi niko tayari kufanya mdahalo popote pale, muda wowote ule, kuhusu chochote kile.
I know for a fact I’ll wipe the floor with him.
So what’s up Bashite? Come debate me.
I know you are an empty suit. But since you seem to be so gung-ho about debates, let’s have one. Just me and you, Lincoln - Douglas type of debate.
Bring it Bashite. Just bring it.
When you lose
When you lose control, you lose balance. When you lose balance, you lose reason. When you lose reason, you lose logic. And when you lose logic, you basically lose your moral compass. Enter Paul Makonda or whatever his name is. He has lost all the above. An argument can be made he never had...www.jamiiforums.com
Nipo Ngulyati hapa…miaka 10 ijayo hizi ndo pisi zitakazokuwa kwenye chati.Kaka njoo huku isukamahela kuna pis za maana achana hiyo ng'ombe iliookotwa kwenye mkaa malamba mawili leo hii anajiona ni mtu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]you'll wipe the floor with him nimeipenda hiyoPaul Makonda kadai anataka mdahalo na viongozi wa CHADEMA.
Wao wamemjibu kwa kuweka masharti ili mdahalo huo ufanyike.
Here I come. Mbeba maboksi niliyeishia kidato cha nne na kufeli.
Siweki masharti yoyote yale. Mimi na yeye tufanye mdahalo kuhusu mada yoyote ile…katiba mpya, ufisadi, global geopolitics, Hamas-Israel war, inflation, recession, weight loss, bbl, 50 years of hip hop, elements of hip hop, Magufuli, Gwajima, n.k.
Mimi niko tayari kufanya mdahalo popote pale, muda wowote ule, kuhusu chochote kile.
I know for a fact I’ll wipe the floor with him.
So what’s up Bashite? Come debate me.
I know you are an empty suit. But since you seem to be so gung-ho about debates, let’s have one. Just me and you, Lincoln - Douglas type of debate.
Bring it Bashite. Just bring it.
When you lose
When you lose control, you lose balance. When you lose balance, you lose reason. When you lose reason, you lose logic. And when you lose logic, you basically lose your moral compass. Enter Paul Makonda or whatever his name is. He has lost all the above. An argument can be made he never had...www.jamiiforums.com
Hahahahaha sasa huu mdahalo ufanyike wapi humu au tutafute ukumbi ? Na km ni humu yupo muhusika?Hahahaa.
Mdahalo na Bashite katika lugha yoyote ile atakayochagua.
He knows he can’t F with me 😀.
Hata akitaka kwa Kisukuma sawa tu.Mmeshakubaliana lugha ya kudibetia? Kwa yai la ngabu makonda ule mdomo utazidi kupinda.
Ngabu ni maarufu humu JF na kama sote tujuavyo humu Mazezeta labda kabaki Lucas Mwashambwa.Huo huo mkuu umaarufu wa mazezeta tunatamani hata ndugu yetu Nyani Ngabu aupate tupate watu wenye akili wanaoweza kuwachallenge hao waliopata umaarufu wa mazezeta 😂😂
Unaweza kufanyika popote pale. Tunaweza kufanya kwa Zoom, spaces, ana kwa ana, mtaani, makao makuu ya CCM pale Lumumba, au hata nyumbani kwake.Hahahahaha sasa huu mdahalo ufanyike wapi humu au tutafute ukumbi ? Na km ni humu yupo muhusika?
I’ll fold him like a pretzel 🥨. With his big ass BBL 🤣.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]you'll wipe the floor with him nimeipenda hiyo
Hahahaha, kudadeki kweli uko vzr , nakuaminia Ngosha , ktk haya mambo huniangushi.....Unaweza kufanyika popote pale. Tunaweza kufanya kwa Zoom, spaces, ana kwa ana, mtaani, makao makuu ya CCM pale Lumumba, au hata nyumbani kwake.
Sasa funguka hapa.Fine. Tena ndo itakuwa vizuri zaidi.
Wewe ni agent wa Bashite?Sasa funguka hapa.
Wewe jina lako nani?
Ukishindwa hilo ni disqualification.
HeeNakumbuka Nyani Ngabu katika mdahalo wako na bibie FaizaFoxy uliibuka kidedea ..Debate moja kali sana ilikua ...Ngoja tuone na hii kama mpinzani atajitokeza
Mimi si agent, ila naona kama mtu asiyejulikana hata jina lake kwa uhakika kusema anataka mdahalo na mtu anayejulikana kuna mizani fulani ya kuweka mambo sawa inakuwa haijatimia.Wewe ni agent wa Bashite?
Mimi jina langu naitwa Nzagamba.