900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
Ukionyesha tu dalili ya kutajirika mara pap barua mezani unatakiwa ukaripoti eneo jipya la kazi nanguruwe huko mtwara na huku nyuma vijana wa bajaji wanafanya yao mjini, biashara yoyote ili ifanikiwe wewe uwe wa kwanza kutia mguukwa io kama nimeajiriwa na mm nikaajiri vijana sita wa bajaji je bado sitatajirika??