900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
Ukionyesha tu dalili ya kutajirika mara pap barua mezani unatakiwa ukaripoti eneo jipya la kazi nanguruwe huko mtwara na huku nyuma vijana wa bajaji wanafanya yao mjini, biashara yoyote ili ifanikiwe wewe uwe wa kwanza kutia mguukwa io kama nimeajiriwa na mm nikaajiri vijana sita wa bajaji je bado sitatajirika??
😀😀😀 Mamy , we live only once , kila sekunde ni ya thaman Sana, na ikisepa imesepa huku unaelekea umri wa kufunga mahesabu😁Unanipa mzuka we jamaa!
Mama ako typical na mama angu[emoji1787][emoji1787]
Na ndo mana MO alianza na unga wa ngano lakn sa hv anatengeneza mpak pipi Ukiachilia mbali tambi, tanuka Mzee Baba , loss ikitembea upande huu , faida inaingia upande wa pili , kujiajiri akli inatakiwa iwe active 24 hrsNaona kila mtu anasifia kujiajiri. Naombeni muelewe tunaojiajiri tunapata changangomoto nyingi sana.siku hazifanani kuna siku unapata sanaa na maanisha faida ila kuna siku unaingia a big loss mpaka unajuta.
Natolea mfano wangu ninajikita na biashara ya ufugaji , kunakipindi soko linakuwa Zuri ila kuna kipindi unapata hasara soko sio Zuri au pale ambapo umeingiwa ugonjwa inafika wakati vifo vinatokea ndio hapo mtaji unakataa.omba usipatwe na ugonjwa usiotibika ni hasara...
Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
mfanyabiashara anajibana sanaa hana matumizi ya hovyo akiwaza kuendeleza biashara yake..huku mfanyakazi akitumia anajua kitaingia tu mwisho wa mweziMfanyabiashara anayepata Faida TZS 1,500,000/- na mwajiriwa anayepata mshahara TZS 1,500,000/- hawana tofauti ya mapato kwa mwezi. Issue ni matumizi ya Faida wanayopata kwa mwezi. Hilo Moja!
Jambo la pili namna kila mmoja anajiongeza kujazia kipato. Mfanyabiashara kukuza biashara yake na mwajiriwa kuwa na kipato Cha ziada. Then tunarejea pale pale, matumizi yakoje?
Ima tuweke Hili jedwali yaishe!
______&&&&&:&&Kipato. Matumizi
Mfanyabiashara
Mwajiriwa
njia mojawapo ya kuzijua ni kuwauliza waliofanikiwa tayarMimi naamini dunia hii ina siri za mafanikio na endapo tukizijua siri hizo basi tunatoboa
kupata password ni ngumu kila mtu na siri zakewanakwambia Pambana tu utafanikiwa sasa hii ni too general kwa current generation
100% correct! Watu wanawahimiza 'wasomi' wajiajiri lakini hili sio jambo rahisi kwao kulingana na elimu inayotolewa mashuleni/vyuoniElimu ni msingi wa mambo mengi muhimu, japo kuna watakaosema huhitaji elimu kuwa mfanya biashara lakini mifano hai niliyonayo, wafanya biashara wakubwa duniani kama Bill Gate na Microsoft, Marck Zuckerbergs na Facebook walipata mawazo ya biashara wakiwa ni wanafunzi wa elimu ya juu. Elimu yetu ni kinadharia sana kuliko vitendo.
Kijana aliyeanzisha New Convert Garden Soup, alikua ni mwanafunzi wa Biashara katika chuo kikuu cha Oxford. Hii ilikua project ya shule aliyopewa akiwa ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu.
Tuangalie kwanza ufundishaji wa mitaala yetu ni wapi tunakosea.
Utapata maelezo mengi sana lakini shika haya ya muhimu maana nimepita kote.Good wish to all
Moja ya definition ya maisha ni mapambano na moja ya definition ya mafanikio ni ushindi,
Nilikuwa natafakari kitu nikasema ngoja nishare na home of great thinker. Dunia ya sasa watu wengi sana tunahimizwa kujiajiri hasa kipindi hiki cha tatizo la kidunia la ajira.
Hoja yangu, wapo watu wameajiriwa serikalini na sekta binafsi na wanalipwa mshahara mzuri tu may be 3m ambao kwa tz unaweza ukaishi vizuri sana wanahimizwa wajiajiri ambapo kwenye upande wa kujiajiri ni biashara chache sana zinaweza kukupa pato hilo kwa mwezi kama faida na tena sio uhakika. Na kwa nn mtu akiamua kuajiriwa na akatumia sehemu ya kipato chake kujiajiri wengi wao huwa wanapitwa mafanikio na watu waliocha ajira na wakajiajiri completely. Kuna siri gani katika ulimwengu wa kujiajiri ambao unamtaka mhusika awe direct involve kwenye hicho alichojiajiri na mafanikio yake.
Au kujiajiri ni overarated?
Au kuajiriwa ni underated? or it depend with month salary?
Kuna siri gani iliyojificha nyuma ya kujiajiri ambayo ni msingi wa mafanikio. Kuna mtu aliacha kazi yenye mshahara wa 6m plus bonus akaenda kujiajiri.
Je mishahara ya kwa mwezi na faida za kwenye biashara zote zikiwa sawa nini kitatokea Nani atakuwa amewin na nani atakuwa amelose.
Mlioacha kazi na mkajiajiri tupeni hizo siri na sisi tufanikiwe.
Help me guyz
Umeweka elimu kama chanzo cha mafanikio,kitu ambacho siyo kweliElimu ni msingi wa mambo mengi muhimu, japo kuna watakaosema huhitaji elimu kuwa mfanya biashara lakini mifano hai niliyonayo, wafanya biashara wakubwa duniani kama Bill Gate na Microsoft, Marck Zuckerbergs na Facebook walipata mawazo ya biashara wakiwa ni wanafunzi wa elimu ya juu. Elimu yetu ni kinadharia sana kuliko vitendo.
Kijana aliyeanzisha New Convert Garden Soup, alikua ni mwanafunzi wa Biashara katika chuo kikuu cha Oxford. Hii ilikua project ya shule aliyopewa akiwa ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu.
Tuangalie kwanza ufundishaji wa mitaala yetu ni wapi tunakosea.
kufokewa
We acha tu[emoji848][emoji3][emoji3][emoji3] Mamy , we live only once , kila sekunde ni ya thaman Sana, na ikisepa imesepa huku unaelekea umri wa kufunga mahesabu[emoji16]
Endelea kujifariji mkuu..labda kama una ajira ya Ubunge au pale BOT.Tena waliojiajiri wanacheza sebene hasa[emoji848]
Endelea kujifariji mkuu..labda kama una ajira ya Ubunge au pale BOT.Tena waliojiajiri wanacheza sebene hasa[emoji848]
We mwehu nini unawaona waliojiriwa waoga na wavivu wakati ukianzisha hicho kibiashara chako unataka uajiri watu utaajirije watu unaowaona wavivu pumba kabisaKuajiriwa ni Hulka ya mtu muoga na mvivu kimwili na kiakili na kujiajiri ni Hulka ya mtu mchapakazi na mwenye uwezo mkubwa kiakili na uthubutu wa kuona na kuzitumia fursa ipasavyo.. PERIOD!!
Wewe mi namiliki kampuni tatu upo nyonyoo[emoji108]Endelea kujifariji mkuu..labda kama una ajira ya Ubunge au pale BOT.
Lakini sio hizi za take home laki mbili au 3
Mjadala mzuri kwako mkuu, huo mwingine ni mzuri kwao ndo maana wako bize naoMjadala mzuri lakn wachangiaji wako kwenye zile nyuzi zetu pemdwa za ulishwahi kula tunda kimasiara... huku hawana habar nako..
Hata akitake home 1milion bado atasanda tu..hayo maisha si tumeyaishi tunayajuaEndelea kujifariji mkuu..labda kama una ajira ya Ubunge au pale BOT.
Lakini sio hizi za take home laki mbili au 3