Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Namuonea huruma wema kwasbb dai ni mwanaume na kiumri bado sn kutulia...ss yy mwanamke anataka kushindana na mwanaume anashangaa muda haurudi nyuma...dai ana uwezo wa kuoa ht miaka 10 ijayo yy ajiulize atakuwa wapi huo muda?
Nilisha Sema sana kuwa wema ni mgonjwa wa akili!