DED/DEO Magu watoto wako hatarini Magu Shule ya Msingi

Hao Uliowataja Bado Wapo Kwenye Vyeo Vyao
Hawajaachia Ngazi
 
Duuu mmejipanga aisee, wasiwasi wangu ni hii njia mnayotumia.
 
Kiujumla kuwa mkaazi au mtumishi ktk wilaya hii ya magu nikama laana vile, navionea wivu vijiji vitakavyotengwa kuwa ndani ya wilaya ya kisesa, au sanjo, au isangijo, sijajua itapewa jina gani hii wilaya mpya ambayo
Mh magufuri kawaahidi wana kisesa,
Maana magu hata umpeleke Dr au pr . Hamna kitu, hata magufuri ataiacha km ilivyo.
We jiulize kunajengo la makao makuu ya wilaya mpaka sasa miaka 7 limekwama, sio rais wala waziri mkuu au makamu wa rais analizungumzia , nalipo njiani.
Huduma zte ni mbovu, wabunge wanaopitishwa mpk unasema hivi hakuna watu ndani ya wilaya na jimbo hilo?
Magu imewahi kutoa mpaka manaibu waziri wa fedha lakini hamna kitu.

Tunamshukuru magufuri kuikata magu , ili wanamagu waumizane wenyewe ni moja ya wilaya ambazo hazifai hii nchi .
Kisesa ikipewa wilaya, itawaka sana, wadau na wana jf nitaftieni kiwanja cha 2ml. Ukipata ni pm, ila kiwe maeneo ya kisesa na viunga vyake, pembezoni mwa barabara.
 
Taarifa nzuri sana.Huu uwanja haushindwi kwa lolote hili litaisha kwa muda mfupi.
Huwa natafakari sana, "kwa nini mtu anashindwa kuwajibika mpaka asukumwe sukumwe?" Why? Mtu anakuwa so disorganized. Kufanya kazi na watu wa design hii ni ngumu sana. Halafu mara nyingi ni wabishi mnoo!
 
Umenena vema Hagwila; DED na DEO Msingi Magu, wafanye uchunguzi wa hayo majongolito ya mwalimu huyo ambaye yuko chini yao. Shule ipo, waalimu wapo, wanafunzi wapo na wazazi wapo; ukweli utathibitika tu.
Na kama itashindikana, TAKUKURU iingie kazini, full stop!! Msilete mchezo hapa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…