Ukweli utabaki kuwa ukweli ma DED walidhurumu haki wakati wa uchaguzi.Kuna mfadhili wa chadema alikufa juzi Kati nae aliwanyima haki ndipo akafa?
Kuna siku hamuongei humu jukwaani au maongezi gani ndiyo yahusianishwa na vifo vya walio kinyume na mawazo yenu?
Shindaneni kwa hoja, mnapofurahia vifo kana kwamba mnayo kinga dhidi ya kifo Ni kuonyesha wazi upeo wenu. Kila nafsi itaonja mauti, Basi mwanadamu aliezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi duniani si nyingi nazo zahesabika .......
Walidhulumu......Ukweli utabaki kuwa ukweli ma DED walidhurumu haki wakati wa uchaguzi.
Wala sihitaji nafasi ya uongozi hata akifa jambazi kifo hakiwezi kusababisha watu wasahau matendo yake.Walidhulumu......
Kuna ukweli na hisia za kushindwa, zote zikiwekwa katika mizani ya kisiasa na zikapata waunga mkono wanaokubali kuchezeshwa ngoma za wenzao zinaleta tafsiri tofauti kulingana na upande wa muunga mkono husika.
Sasa Basi hakuna uhusiano wa kifo na Aina yoyote ya wewe kukosa nafasi ya uongozi.
Kifo Ni sehemu ya kila mmoja aitwaye mwanadamu.
Wakati ukifika hakika utakufa, hakika nitakufa na yoyote yule atakufa bila kujali anahisia na chama gani.
Utahitaji vipi wakati umeshaikosa kwa Sasa? Na uliotaka wawe wameikosa, subirini wakati ujao ikiwa uhai utaendelea...jambazi Ni binadamu Kama ulivyo wewe, hivyo kifo ni sehemu ya Safari yake na yako. Endelea kutenda wema na ukimaliza kuwasimanga unaodhani waovu dhidi yako Basi uwaombee wawe wema kukuzidi.Wala sihitaji nafasi ya uongozi hata akifa jambazi kifo hakiwezi kusababisha watu wasahau matendo yake.
Ushindi mlioupata hata wenyewe unawasuta, mmlikatalaliwa na wapiga kura pamoja na mifugo yao. Siasa za CCM ni za kutumia dola kulazimisha kuwa madarakani.Utahitaji vipi wakati umeshaikosa kwa Sasa? Na uliotaka wawe wameikosa, subirini wakati ujao ikiwa uhai utaendelea...jambazi Ni binadamu Kama ulivyo wewe, hivyo kifo ni sehemu ya Safari yake na yako. Endelea kutenda wema na ukimaliza kuwasimanga unaodhani waovu dhidi yako Basi uwaombee wawe wema kukuzidi.
Asante
Poole, jaribu Tena wakati ujao, ukiweza kuwashawishi wapiga kura unaweza fanikiwa pia.Ushindi mlioupata hata wenyewe unawasuta, mmlikatalaliwa na wapiga kura pamoja na mifugo yao. Siasa za CCM ni za kutumia dola kulazimisha kuwa madarakani.
Tushindane kwa hoja weeee coma Lissu aliwashinda kwa hoja mkachapa 16 bila aibu.Kuna mfadhili wa chadema alikufa juzi Kati nae aliwanyima haki ndipo akafa?
Kuna siku hamuongei humu jukwaani au maongezi gani ndiyo yahusianishwa na vifo vya walio kinyume na mawazo yenu?
Shindaneni kwa hoja, mnapofurahia vifo kana kwamba mnayo kinga dhidi ya kifo Ni kuonyesha wazi upeo wenu. Kila nafsi itaonja mauti, Basi mwanadamu aliezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi duniani si nyingi nazo zahesabika .......
Baada ya kifo au sio?Kumbuka tu kuwa kila kitu kina mwisho wake, hamtakua madarakani milele.
Umeshakufa, kuwekwa ndani na kupotea lini tangu uanze kuwa mwanasiasa uchwara?
Endelea kujifukiza....Tushindane kwa hoja weeee coma Lissu aliwashinda kwa hoja mkachapa 16 bila aibu.
Jakaya aliwaambia hoja haipigwi rungu nyie bila aibu mkaipiga 16 bullets sporadically n shamelessly.Endelea kujifukiza....
Ma DED wana dedi sana, au ndio malipo ya haki kwa kutotangaza ushindi wa wapinzani?View attachment 1703408
Kama ulisimamia haki wakati wa uchaguzi u R.I.P
upinzani bongo[emoji706]Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.
Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
upinzani ubadilike kwanza, Kama utaendelea huu huu wa kinjaa njaa basi watakaa milele madarakaniKumbuka tu kuwa kila kitu kina mwisho wake, hamtakua madarakani milele.
upinzani ubadilike kwanza, Kama utaendelea huu huu wa kinjaa njaa basi watakaa milele madarakani
wapi na wapi waliingiza kura kweny mabegi!? kwani lini upinzan walizuiwa kutumia wasanii kujaza uwanja!?Utabadilika pale mtakapoacha kuingiza kura katika mabegi na kutumia wasanii kujaza uwanja.
Nan kanyamazishwa?Mnatumia risasi kunyamazisha upinzani as if umeharamishwa na katiba shit hole wewe
Mama yacoNan kanyamazishwa?