Mmh mawakala wa wapinzani ilikua mbinde kuapishwa na matokeo ya litangazwa na DED baada ya kuongezewa viungo. Haukua uchaguzi. Sasa waliowapa ushindi wanaondoka.wapi na wapi waliingiza kura kweny mabegi!? kwani lini upinzan walizuiwa kutumia wasanii kujaza uwanja!?
haterMama yaco
Real I hate u people ain't joking kwanza mmeifanya nchi yetu kuwa kituko duniani 😠😠😠😠😈😈😈hater
Hujafa hujaumbika ndugu yangu.Bora mpungue...mkajibie huko huko midhambi yenu ahera..mxiew
Ni matatizo ya kupumuaWapuuzi wachache watasema Korona
Kwa Amani ipi!? Yuda iskariote anapumzikaje kwa Amani...Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.
Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
Huu ndo ukweli wenyeweUkweli utabaki kuwa ukweli ma DED walidhurumu haki wakati wa uchaguzi.
Upinzani huu huu ikiwepo Tume huru mnagaragazwa asubuhi.upinzani ubadilike kwanza, Kama utaendelea huu huu wa kinjaa njaa basi watakaa milele madarakani
fanya kaz tafuta hela uepuke chuki ndogo ndogo km hiziReal I hate u people ain't joking kwanza mmeifanya nchi yetu kuwa kituko duniani [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji48][emoji48][emoji48]
nawewe utafuata tuUpinzani huu huu ikiwepo Tume huru mnagaragazwa asubuhi.
Hamna aibu mnataka kujichagualia aina ya upinzani!
Bora mkae kimya mfe mmoja baada ya mwingine.
Nipo njia moja!nawewe utafuata tu
BibleKuna faida gani kuyapata yote duniani kwa ghiriba huku ukiiangamiza roho?
Ww ni matanga pia.Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.
Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.